Kampuni ya Masdar ya Falme za Kiarabu (UAE) itashirikiana na TANESCO kuzalisha umeme

Kampuni ya Masdar ya Falme za Kiarabu (UAE) itashirikiana na TANESCO kuzalisha umeme

Wakati tukijadili kuhusu DP World na TPA, tusisahau kwamba kampuni nyingine ya falme za kiarabu ya UAE inayoitwa MASDAR ilisaini mkataba wa ushirikiano na kuzalisha umeme na TANESCO.

Tusisahau pia kwamba Shirika la Posta limeanzisha ushirikiano na kampuni ya posta ya Falme za Kiarabu.

Sio hilo tu, TPDC imeansisha ushirikiano na kampuni nyingine ya falme za kiarabu.

Waarabu wanauziwa kampuni zetu tu.

=====
View attachment 2662153

Masdar Signs Agreement with Tanzania’s TANESCO to Develop 2 GW Renewable Energy Capacity

Masdar, one of the world’s leading renewable energy companies, announced that it has signed an agreement with Tanzania Electric Supply Company Ltd. (TANESCO) related to the development of renewable energy projects with a total capacity of up to 2 gigawatts (GW).

Abdulla Zayed, Head of Business Development & Investment at Masdar and Maharage Chande, Managing Director of TANESCO, signed the Joint Development Agreement (JDA) on the sidelines of the Tanzania Energy Congress in the presence of Hon. January Makamba, Minister for Energy for Tanzania. The JDA envisages the establishment of a co-owned joint venture (JV) company by the two organizations to progress the project development.

Maharage Chande, The Executive Director of TANESCO, said: “The agreement we are signing today will bring about a big revolution in the development of renewable energy in the country. Through the first phase of the collaboration, we expect to generate approximately 600 megawatts, and we will continue with other projects until we reach 2,000 megawatts.”

Abdulla Zayed, Head of Business Development & Investment at Masdar, said: “Masdar and TANESCO are working together to support Tanzania’s sustainable development and to provide a secure, clean source of energy for the people of Tanzania. The signing of this agreement demonstrates Masdar’s commitment to the Tanzanian market and to the nation’s energy transition, supporting the target to reach 5,000 MW capacity by 2025. We look forward to working with TANESCO to develop this ambitious program and to provide a clean pathway for growth for Tanzania.”

Through the JV, the two companies are initially targeting the development of renewable energy projects with a capacity of about 600 megawatts (MW) starting with solar photovoltaic (PV) and onshore wind. The JV will further explore the development of projects with a total capacity of at least 2,000 megawatts.

TANESCO, the sole provider of electricity in Tanzania, is looking to add more renewable energy sources to the national grid to meet the country’s growing demand for power and increase energy access. The Tanzanian government is targeting an electrification rate for the entire country of 75 percent by 2035.

Masdar News
Warabu tunao awamu hii, allahmdudillah.
 
tushawashtukia ila nakuhakikishia Tanganyika ni imara na itasimama huo mpango wao wa kutaka tufanane nao hautofanikiwa
kumaamaae tutachinjana. miktaba mingi mbona imeingiwa na wachina na nchi nyingi za ulaya mbona hamkusema kuwa hamtaki .ila kisa muarabu ndoo nongwa sio. sasa na sisi waislamu tumewashtukia michezo yenu. ngoja tuchinjane ili adabu ikae sawa mamaae zenu. nyuzi hapa naguful kabla hajafa si aliwapa wazungu mgodi wa nickel huko ngara kabanga? mbona hamkusema? mbwa nyiee . sasa mwageni ugali tumwage mboga tumewavumlia tumechoka
 
Wakati tukijadili kuhusu DP World na TPA, tusisahau kwamba kampuni nyingine ya falme za kiarabu ya UAE inayoitwa MASDAR ilisaini mkataba wa ushirikiano na kuzalisha umeme na TANESCO.

Tusisahau pia kwamba Shirika la Posta limeanzisha ushirikiano na kampuni ya posta ya Falme za Kiarabu.

Sio hilo tu, TPDC imeansisha ushirikiano na kampuni nyingine ya falme za kiarabu.

Waarabu wanauziwa kampuni zetu tu.

=====
View attachment 2662153

Masdar Signs Agreement with Tanzania’s TANESCO to Develop 2 GW Renewable Energy Capacity

Masdar, one of the world’s leading renewable energy companies, announced that it has signed an agreement with Tanzania Electric Supply Company Ltd. (TANESCO) related to the development of renewable energy projects with a total capacity of up to 2 gigawatts (GW).

Abdulla Zayed, Head of Business Development & Investment at Masdar and Maharage Chande, Managing Director of TANESCO, signed the Joint Development Agreement (JDA) on the sidelines of the Tanzania Energy Congress in the presence of Hon. January Makamba, Minister for Energy for Tanzania. The JDA envisages the establishment of a co-owned joint venture (JV) company by the two organizations to progress the project development.

Maharage Chande, The Executive Director of TANESCO, said: “The agreement we are signing today will bring about a big revolution in the development of renewable energy in the country. Through the first phase of the collaboration, we expect to generate approximately 600 megawatts, and we will continue with other projects until we reach 2,000 megawatts.”

Abdulla Zayed, Head of Business Development & Investment at Masdar, said: “Masdar and TANESCO are working together to support Tanzania’s sustainable development and to provide a secure, clean source of energy for the people of Tanzania. The signing of this agreement demonstrates Masdar’s commitment to the Tanzanian market and to the nation’s energy transition, supporting the target to reach 5,000 MW capacity by 2025. We look forward to working with TANESCO to develop this ambitious program and to provide a clean pathway for growth for Tanzania.”

Through the JV, the two companies are initially targeting the development of renewable energy projects with a capacity of about 600 megawatts (MW) starting with solar photovoltaic (PV) and onshore wind. The JV will further explore the development of projects with a total capacity of at least 2,000 megawatts.

TANESCO, the sole provider of electricity in Tanzania, is looking to add more renewable energy sources to the national grid to meet the country’s growing demand for power and increase energy access. The Tanzanian government is targeting an electrification rate for the entire country of 75 percent by 2035.

Masdar News
Safi sana , Waarabu ndio Wana pesa Kwa Sasa achana na vibwengo wengine
 
Sisi tumeshakubali tangu zamani hatuna, ndio maana tunawataka nyie mlio nayo muitumie vema sio kwa misingi ya chuki, upendeleo na kuchukia baadhi ya mataifa. Imagine, hao waarabu mnawataabisha hata kuwapatia passport. Ni nani haoni contribution ya waarabu katika nchi hii? Surely, sisi tumesoma juzuu zetu, zinatutosha and we very happy for it Sasa tungependa nyie vipanga wa 1.7 mtumie huo uvipanga wenu kuleta changes kwa jamii. Unfortunately, mko busy kwenye wizi, ulevi, roho mbaya, ubaguzi na hoja za kitoto kama hizi zinazoendelea.
nchi alipewa julias nyerere msomi wa seminary , watu akawafanya misukule wanatembea na viraka matakoni, wanapanga foreni kupata kilo ya sukar. kaja Mwinyi kasema huu ujinga karuhusu watu wawe huru . wakaanza kuona tv , kuvaa vizuri
 
Ndio wameshasaini na huo mkataka wa Pili ipo mingine 35 yote bado kuanza kazi tu kwa hio subiri waarabu waje wajomba wa Oman na Qatar walimpa Bibi connection ya UAE sasa anaitendea kazi

Alhabib rakatel
Amesain ila itamtokea puani ni swala mda
 
Tumechelewa sana... Kanyaga twende.... (Alisikika kijana mmoja ambaye anatoka jeshi la Nyuki wa mama)
nyiee hamna akili. kilsa siku mnasema mama anazurula ulaya . sasa mtwambie huko ulaya hakuna mikataba anayoingia na hayo mataifa? mbona humuisemi? mmekalia mikata ya warabu. au labda mtwambie ziara za raisi anaendaga kwa warabu tu.
 
nyiee hamna akili. kilsa siku mnasema mama anazurula ulaya . sasa mtwambie huko ulaya hakuna mikataba anayoingia na hayo mataifa? mbona humuisemi? mmekalia mikata ya warabu. au labda mtwambie ziara za raisi anaendaga kwa warabu tu.
Kwahiyo mikataba ya waarabu tusizungumzie sio?
 
nyiee hamna akili. kilsa siku mnasema mama anazurula ulaya . sasa mtwambie huko ulaya hakuna mikataba anayoingia na hayo mataifa? mbona humuisemi? mmekalia mikata ya warabu. au labda mtwambie ziara za raisi anaendaga kwa warabu tu.

Siyo kutokuwa na akili au kuwa na akili kinachozungumziwa ni kuwa mikataba haiwekwi wazi Kwa watanzania Kama mimi na wewe tujue, wanafanya mikataba kujinufaisha wao
 
Back
Top Bottom