Kampuni ya Masdar ya Falme za Kiarabu (UAE) itashirikiana na TANESCO kuzalisha umeme

Kampuni ya Masdar ya Falme za Kiarabu (UAE) itashirikiana na TANESCO kuzalisha umeme

Labda atakae mrithi Samia awe kutoka msoga au hawa minions kwenye baraza lake la mawaziri. Vinginevyo akija mzalendo kama Magufuli atakutana na mikataba ya ovyo kibao.

Maza amesha haribu nchi vya kutosha; busara ni watu kumtoa Ikulu 2025.
Apumzike tu la sivyo
 
Watanzania mnatukanana bure na kuchagua upande kwa watu ambao wenyewe ni washirika nyuma ya pazia.

Masdar anamiliki Arlington Energies; kampuni inayotengeneza batteries za kuhifadhi renewable energies yenye makao makuu uingereza.

Huo uwekezaji unaipa biashara kampuni zake kuuza hizo batteries na solar panels ambazo hazipo UAE. Watakaofaidika ni waingereza kupata ajira na kodi, Masdar yeye huko anabaki na retained earnings after tax na sehemu kubwa anaacha huko huko uingereza to fund growth ya Arlington.

Ukipekuwa funds ya kuwekeza Tanzania na kwenyewe inatoka wapi utakuta hizo hela azitoki mfukoni kwao. Chances are kuna nyuma yao kuna kampuni ya kizungu inayochafua mazingira huko kwao, kupunguza gharama carbon taxes inatafuta carbon trade off deals kwa ivyo watachangia kuchukua carbon credentials na kupunguza kodi wanazolipa huko.

Wawekezaji wengine ni banks za uarabuni au EU au US; wanaotafuta biashara it’s good opportunity maana serikali ya Tanzania inaweka guarantee ya kununua huo umeme regardless kwa ivyo ni rahisi kwa Masdar kupata mikopo ya kufanya huo uwekezaji.

Sasa nyie kutukanana na kuchagua upande kati ya wazungu na waarabu ni ulimbukeni uliopitiliza; wakati hao watu wanaungana kwenye kuinyonya damu nchi.

Busara ni kupima faida ya mradi kwa mradi na faida zake na kuchagua kuutetea au kuupinga kutokana na maslahi yake kwa nchi.

Lakini kufikiria kwa muarabu na mzungu yupi bora ni upopoyo uliopitiliza. Baada ya kusema haya huo uwekezaji ni mmbaya mno Tanzania aihitaji haya mambo kwa sasa; given TANESCO financial position they can’t afford it ni kuwatengenezea walipa kodi madeni huko mbele yasiyo na lazima.
 
Watanzania mnatukanana bure na kuchagua upande kwa watu ambao wenyewe ni washirika nyuma ya pazia.

Masdar anamiliki Arlington Energies; kampuni inayotengeneza batteries za kuhifadhi renewable energies yenye makao makuu uingereza.

Huo uwekezaji unaipa biashara kampuni zake kuuza hizo batteries na solar panels ambazo hazipo UAE. Watakaofaidika ni waingereza kupata ajira na kodi, Masdar yeye huko anabaki na retained earnings after tax na sehemu kubwa anaacha huko huko uingereza to fund growth ya Arlington.

Ukipekuwa funds ya kuwekeza Tanzania na kwenyewe inatoka wapi utakuta hizo hela azitoki mfukoni kwao. Chances are kuna nyuma yao kuna kampuni ya kizungu inayochafua mazingira huko kwao, kupunguza gharama carbon taxes inatafuta carbon trade off deals kwa ivyo watachangia kuchukua carbon credentials na kupunguza kodi wanazolipa huko.

Wawekezaji wengine ni banks za uarabuni au EU au US; wanaotafuta biashara it’s good opportunity maana serikali ya Tanzania inaweka guarantee ya kununua huo umeme regardless kwa ivyo ni rahisi kwa Masdar kupata mikopo ya kufanya huo uwekezaji.

Sasa nyie kutukanana na kuchagua upande kati ya wazungu na waarabu ni ulimbukeni uliopitiliza; wakati hao watu wanaungana kwenye kuinyonya damu nchi.

Busara ni kupima faida ya mradi kwa mradi na faida zake na kuchagua kuutetea au kuupinga kutokana na maslahi yake kwa nchi.

Lakini kufikiria kwa muarabu na mzungu yupi bora ni upopoyo uliopitiliza. Baada ya kusema haya huo uwekezaji ni mmbaya mno Tanzania aihitaji haya mambo kwa sasa; given TANESCO financial position they can’t afford it ni kuwatengenezea walipa kodi madeni huko mbele yasiyo na lazima.
Mkuu kwa nini tanesco hawawezi ama hawataweza
 
Mkuu kwa nini tanesco hawawezi ama hawataweza
Hoja hapo ni Financial position yao kwa sasa.

Kampuni ambayo aiwezi ata kujikimu kwa kutumia retained earning zake kufanya uwekezaji au ata kuaminika na banks kupewa mkopo bila ya government guarantee.

Kampuni hiyo maana yake aina hela ndio maana awawezi ata kulipia gas wanayouziwa na TPDC. Ili kuboresha miundombinu badala ya kutumia hela zao uwekezaji huo unafanywa na walipa kodi.

Sasa given their current financial burden, kipindi ambacho wanakaribia kumaliza mradi mkubwa utakao waongezea mapato na kupunguza gharama za serikali kwenye kulihudumia kimapato waanze kujitegemea wanaenda tafuta miradi ya uwekezaji isiyo na kujiongezea expenses; wakati sio financial independent.

Ni uwekezaji mmbovu mnoo, kwa shirika linaloishi kwa ruzuku na kutoweza kulipa ata gharama zake za ‘cost of sales’ TPDC ingekuwa private business sasa hivi TANESCO ishauzwa kwa lazima mahakamani.

Busara ni serikali kuacha kuendekeza tabia ya ‘much know’ ya Makamba hana anachojua wala kuelewa nitty-gritty za biashara. Ata huko kwenye LNG ipo siku sio leo watanzania wataumia sana uvunaji wa gas ukianza na kuona kiduchu nchi itakachokuwa inapata. Uhitaji $42 billion investment that is the second most expensive LNG plant in the world kwenye nchi ambayo aipo ata kwenye top 30 ya wenye gas reserve.

Kama wana akili timamu ni muda wa kumtoa Makamba hapo nishati, he is a financial burden to the nation.
 
Kuna uwezekano mkubwa waarabu waliingia dili na samia wamuue magu, yeye awe raisi ila kwa masharti haya
 
Halafu hawa UAE wapo fasta kuchukua sehemu nyeti za nchi
 
tushawashtukia ila nakuhakikishia Tanganyika ni imara na itasimama huo mpango wao wa kutaka tufanane nao hautofanikiwa
Nyie jamaa wadini sana. Halafu mtiana hofu za kinafki ambazo hazina sababu. Nyie mnatumika sana na mafisadi wanaooggopa mwekezaji kuweka mifumo imara ya kudhibiti ufisadi ambapo hawatoweza kupata mali za haramu kama sasa.
Wewe kama ni kafiri utabaki hivyo labda utake kusilimu mwenyewe siyo eti kuajiriwa lazima uwe na jina la kiislamu. Acheni hizo.
 
TUACHE NONGWA, TUACHE UZINDAKI, NIA NI NJEMA! TUSIBEBESHWE CHUKI ZA HOVYO NA WANALIONEA WIVU TAIFA LETU HILI, RAIS WETU SONGA MBELE TENA ZIDISHA KASI.
 
Nyie jamaa wadini sana. Halafu mtiana hofu za kinafki ambazo hazina sababu. Nyie mnatumika sana na mafisadi wanaooggopa mwekezaji kuweka mifumo imara ya kudhibiti ufisadi ambapo hawatoweza kupata mali za haramu kama sasa.
Wewe kama ni kafiri utabaki hivyo labda utake kusilimu mwenyewe siyo eti kuajiriwa lazima uwe na jina la kiislamu. Acheni hizo.
Warabu wabaguzi Wewe Sisi tunawajua,,Tunafanya NAO KAZI.. Hapa hatuvamii Dini Bali Tabia ya MTU.
 
Kinachonishangaza Ni kwamba hii miradi yote inaletwa bara. Wale ndugu zetu kule Zanzibar hawapendi maendeleo?
Mfano Ni rahisi zaidi kuvuna umeme wa solar na wa upepo wa baharini kule visiwani kuliko Rombo.
Ifike kipindi tuwagaiye wenzetu maendeleo kidogo.
 
nyiee hamna akili. kilsa siku mnasema mama anazurula ulaya . sasa mtwambie huko ulaya hakuna mikataba anayoingia na hayo mataifa? mbona humuisemi? mmekalia mikata ya warabu. au labda mtwambie ziara za raisi anaendaga kwa warabu tu.
Mikataba mibovu haifai.. haijalishi kaingia na nani!! Au wewe kijukuu cha mtume cha hiyari? Sisi tunaongelea usalama wa rasilimali za watanzania, na lengo kunufaisha wa tanzania wewe naona unataka kuleta udini hapa....
 
Back
Top Bottom