G.25
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 1,737
- 1,891
Ni kweli mkuu nilikuwa natumia redmi y2 nilikuwa nikicheza game online hata cm ikiwa inaongea game linaendelea bila kukwama kwama, nzuri zaidi ya hii samsung A10s.Daaahh hizi SIM zinekuja kuuwa soko la I phone kama unapenda Gems zenye nguvu na speed Mi is the best choice na kwenye Being sio pasua kicwaa xana ila no Durable na reliable Mchina Oyeee...