Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Kwa Samsung sisi Region yetu inaitwa EMEA, yaani Europe, Middle East na Africa, simu za ulaya, Nchi za Kiarabu na huku Kwetu zinafanana.Samsung!!!
Most of time bootloader inakuwa haipo locked, zinatumia exynos, hazitoki mitandao ya simu etc?