Yes,Kawaida baadhi ya mitandao wanazuia matumizi bila kifurushi, so ni mpaka uruhusu, unaweza kuwa na Salio la kawaida lakini ukipiga simu hazitokinor kutuma txt na kuperuzi,
Hii husaidia hata kama unakuwa online bundle likiisha Salio la kawaida halitumiki.
actually mimi ninayo lini hapa ya kazi ya mtandao fulani, natumai sana kwenye internet na huwa naiacha nyumbani juzi nimejaribu kutumia kumpigia mtu naambiwa salio halitoshi na ina 889, nikasema sio kesi mbona pesa ninayo kwenye lini hiii nikaongeza salia la elfu5, sikujiunga kifurushi stili napiga simu naambiwa salio halitoshi kupiga simu 🐒
nikagundua wanapushi zaidi watu kutumia vocha za kukangua coz kutumia miamala, wateja wananunua mno vocha na vifurushi naturally kuliko za kukangua ambapo mauzo yake kwasasa yapo chini sana 🐒
so,
kumbe pia unaweza kua unafanya transaction kibao na still utahitajika kurecharge line yako otherwise kuna siku itasitishwa for few hrs utalazimika kuwapigia na watakwambia namna ya kuricharge na watakua wamekushika tu vizuri watakwambia weka jero tu 🐒
too much of something is harmful ndio hiyo sasa 🐒wanayumba sasa kuna kipindi walikua na campen kabisa ya kuhamasisha watu wanunue salio kwa njia za kielektronic
maana inawapunguzia gharama ya kuchapisha voucher pia ni rafiki kwa mazingira watu wamehamasika sasa wanaanza kulialia nadhan walisahau kwamba mifumo yao inatambua voucher ya kukwangua pekee ili kumtambua active user mimi mwenyewe kuna services flan nmepigwa pin eti kisa siwekagi salio
Ni jambo la kushangaza kidogo, kwasabu ni jambo ambalo halipo kisheria, hata katika makubaliano wakati unasajili laini laini za Tigo.
Hii Leo nimepokea ujumbe unaonilazimisha kuweka Salio ndani ya siku tatu, ikiwa Leo ni tarehe 2 mwisho tarehe 5.
Na naambiwa laini yangu itafungiwa kupiga simu kwasabu sijaweka Salio muda mrefu, na kawaida Huwa naweka kupitia tigopesa na hata ninavyopokea ujumbe wao namba yangu Ina Salio. Na kawaida muda mwingi namba inakuwa hewani Sasa wanasema watanifungia, na hakuna lolote zaidi ya ubabe wakijinga kwenye soko,
Huwezi kumfungia mtu namba kama account ya benki, kwanini mteja alazimishwe kuweka Salio hata kama ni kweli haweki, Tigo umekuwa mtandao wa hovyo sana.
Ndio vinini hivyo??Wamekufungia TikTok na fesibuku 😁
Nadhhani hii iko kwenye T&C za mitandao yote. Unatakiwa angalau uweke vocha ya TZS. 500 (minimum) ndani ya siku 90. Ili kuifanya laini yako iwe active katika huduma zote.Hii Leo nimepokea ujumbe unaonilazimisha kuweka Salio ndani ya siku tatu, ikiwa Leo ni tarehe 2 mwisho tarehe 5.
Na naambiwa laini yangu itafungiwa kupiga simu kwasabu sijaweka Salio muda mrefu
Uzoefu wangu: Kwa simu card iliyo hewani na haidawi na mtandao husika deni lolote, itaendelea kuwa hewani ila kuna sms fulani utakuja kuzipokea inakuwa kanakwamba ndio umesajiri upya laini yako siku hiyo.Na kawaida muda mwingi namba inakuwa hewani Sasa wanasema watanifungia, na hakuna lolote zaidi ya ubabe wakijinga kwenye soko,
Miezi mitatu (3), Minimum ni ile salio la vocha ya TZS. 500.Lazima uweke salio lisilopungua nadhani 1000 ndani ya miezi 6
Mkuuu punguza kupenda vya bure. Bure ina gharama zake. Lkn Mkuu, hivi buku 1 ndio inakutoa povu kiasi hiki???Ni jambo la kushangaza kidogo, kwasabu ni jambo ambalo halipo kisheria, hata katika makubaliano wakati unasajili laini laini za Tigo.
Hii Leo nimepokea ujumbe unaonilazimisha kuweka Salio ndani ya siku tatu, ikiwa Leo ni tarehe 2 mwisho tarehe 5.
Na naambiwa laini yangu itafungiwa kupiga simu kwasabu sijaweka Salio muda mrefu, na kawaida Huwa naweka kupitia tigopesa na hata ninavyopokea ujumbe wao namba yangu Ina Salio. Na kawaida muda mwingi namba inakuwa hewani Sasa wanasema watanifungia, na hakuna lolote zaidi ya ubabe wakijinga kwenye soko,
Huwezi kumfungia mtu namba kama account ya benki, kwanini mteja alazimishwe kuweka Salio hata kama ni kweli haweki, Tigo umekuwa mtandao wa hovyo sana.
Hapana, sio kwa njia hiyo, inatakiwa uweke vocha ya kawaida angalau ya TZS. 500. Unachopitia nilisha pitia.nilinunua kutoka Tigopesa