Kampuni ya Titan Lithium Inc ya Marekani yagundua Madini ya Lithium Kilimanjaro

Kampuni ya Titan Lithium Inc ya Marekani yagundua Madini ya Lithium Kilimanjaro

Hakukuwa na haraka na hayo madini
Mkuu kila madini ni ya muhimu kulingana na mahitaji ya tech inavyokuwa.

Huu ni muda sahihi kuchimba haya mkuu.

Titan lithium inahitajika muda huu kwa ajili ya betri ..huenda siku zijazo yatahitajika mengine kwa ajili ya tech mpya
 
Daaah sasa ayo madini wameyagundua wao inamaana tayari niya kwao? Hivi nani katuloga, Raisi samia kama upo huku angalia haya mambo aisee...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kwani ukisomea ndio inakuaje? Wao Wana umiliki sehemu kubwa maana ndio wamefanya utafiti na kugundua na ndio wataweka mtaji wa kuchimba na ndio Wana soko..

Wewe una nini Hadi upate Haki sawa? Subiria mrahaba,Kodi ndogo ndogo na CSR basi.
 
Nikikumbuka mambo ya ugunduzi wa gas huko mtwara, na taifa hatuoni manufaa yoyote ya moja kwa moja ya hiyo gas! Basi najikuta nasoma taarifa hii as if nasoma story za kina madenge na baba ubaya tu.
Uone manufaa ya Moja kwa Moja umegundua wewe?
 
Sasa nimeelewa kwa nini Kamara kafunga safari kuja Tanzania, wamarekani hawanaga safari za hasara hasara
Kwani Marekani wako Tanzania baada ya Kamala? Si wapo kitambo tuu kwenye sekta mbalimbali sio Madini tuu..

Wamarekani ndio wamejenga mradi wa umeme wa malagarasi Kigoma,Barabara za Tunduma Sumbawanga,Songea Masasi just Kwa uchache tena Kwa kutoa pesa za Msaada
 
Useless hamna chochote maana sio sehemu ya kwanza kila kona ebu kumbukeni gas kule mtwara Ina nn mpaka sasa...Hapo labda watu wachimbe binafsi kaka Mererani ila sio kwa serikali hiii..

Halafu sio madini Yale ya maana ni kawaida bado sio precious metals kama Gold ...

Yaani ton moja unapata around $60,000 kazi kichaa yaani kulisha mgodi upate ivyo kwa ton.

Laizer jiwe tu la kushika na mkono kapta mabillion hayo madini useless kama makaa ya mawe ..

Kikubwa wainvest wenyewe ila kwa mbongo atakula hasara aje kuyauza kama raw materials hayana thamani atakula hasara
 
Hawa wazungu wamegundua inamaana walikuwa wanafanya tafiti kwenye iyo ardhi apo moshi? Na kama ndio serikali ilikuwa inajua kuhusu hili? Mwisho wa siku tutakuja kuuzwa kwenye nchi yetu wenyewe how come marekani anafanya tafiti kwenye nchi yetu? Hivi kuna mtu anaweza kwenda marekani akaanza kufanya tafiti ndani ya taifa lao na akawa salama?
Tenda hizo serikali huwa wanatoa vibari Mzee sio wanakuja tu sisi hatuna technology ya kutafuta hizo mambo
 
Ila ulitaka uchelewe au? Hii ni aina nyingine ya upumbavu

Jiheshimu jamaa.... unaweza kuchangia bila kuwa na maneno ya hovyo,

Wewe unaona ni sawa mzungu kuchimba ayo madini umejiuliza kama taifa tutafaidikaje na hayo madini?

Kuchelewa unaelewa maana yake? Weww unaisi hayo madini niya leo? Au izo batter zimeanza kuuzwa leo? Tunatakiwa kuwaza na kutoa ushauri wa nini kifanyike.... hatuna utaalamu na hayo madini kwanini tusisome tuje kuchimba wenyewe?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwani ukisomea ndio inakuaje? Wao Wana umiliki sehemu kubwa maana ndio wamefanya utafiti na kugundua na ndio wataweka mtaji wa kuchimba na ndio Wana soko..

Wewe una nini Hadi upate Haki sawa? Subiria mrahaba,Kodi ndogo ndogo na CSR basi.

Nonsense
 
Back
Top Bottom