Kampuni ya Titan Lithium Inc ya Marekani yagundua Madini ya Lithium Kilimanjaro

Kampuni ya Titan Lithium Inc ya Marekani yagundua Madini ya Lithium Kilimanjaro

Vijana wamesoma miaka mingi chuo UDSM shahada ya jiologia mbona? Si ndio wanafanya kazi ktk migodi na kampuni za utafiti. Wengi pia wamesomea uhandisi wa migodi (mining engineeerig) nchi mbalimbali nao wanatumika vivyo hivyo. Tuseme sasa hawa na wanaosomea chuo cha madni Dodoma watapata kazi

Inawezekana upo sawa, kama tuna vijana wamesoma na wapo vizuri kwenye tafiti kwanini wamarekani ndo wafanye tafiti nakugundua hili waliloleta nasi vijana wakitanzania??
Kuna kijana yoyote wa tanzania amewai kugundua chochote huko marekani?

Inamaana serikali haiamini vijana ambao wamepata izo elimu? Ningefurahi kusikia vijana wakitanzania wamegundua haya madini maana najua nchi ndo ingefaidika.... sehemu zote za migodi ambapo kuna mali nyingi kaburu ndo wamejaa huko, sisi niwafanya kazi tu, (lini watz watafaidika na haya madini? Hili ndo swali la msingi mkuu

And the issue sio ajira tu je ni mali kiasi gani itapigwa hapo? Na tujiulize wataishia hapo kwenye hayo madini tu? Maana wapo kwenye mlima kilimanjaro
 
Ndugu hakuna utafiti km wa aina hiyo unafanyika bila serikali kujua. Awe mgeni (kampuni) au mwenyeji.

Hivyo kuuliza serikali haijui ni ufinyo tu wa kufikiria, ww unadhani wanaweza vipi kutembea maeneo hayo kitafiti bila serikali, ya kuanzia kijiji,wilaya mkoa kujua?

Sijakataa mkuu sawa serikali inajua na tunasema marekani kagundua je nini kinafuata baada ya ugunduzi?
 
Naona sasa ni kipindi cha ugunduzi wa madini ya Lithium.

Nakumbuka hivi karibuni ilikuwa Afghanistan, halafu India na sasa imekuwa Tanzania.
 
Wachaga watarudi kilimanjaro kwa speed ya radi.
Tanzania kila pahala Pana mali, shida ugunduzi tu.
Lithium ndiyo future fuel for everything, laptop battery, e-car battery, which is environment friendly, quit uses of petroleum and diesel!
N. B, TANZANIA TUMEPATA LITHIUM TUILINDE TUSIIACHIE ITOKE OVYO, WENZETU WANAYO LAKINI BADO WANATAKA YETU HATUJIULIZI TU, HAWA WATAKUWA WANAENDA KUICHIMBIA CHINI, KAMA KUHIFADHI, FUTURE INATEGEMEA SANA HII KITU.
 
Hawa wazungu wamegundua inamaana walikuwa wanafanya tafiti kwenye iyo ardhi apo moshi? Na kama ndio serikali ilikuwa inajua kuhusu hili?

Mwisho wa siku tutakuja kuuzwa kwenye nchi yetu wenyewe how come marekani anafanya tafiti kwenye nchi yetu? Hivi kuna mtu anaweza kwenda marekani akaanza kufanya tafiti ndani ya taifa lao na akawa salama?
Satelite picture ndio zinafanya wafike hapo kuhakiki...
 
Tanzania kila pahala Pana mali, shida ugunduzi tu.
Lithium ndiyo future fuel for everything, laptop battery, e-car battery, which is environment friendly, quit uses of petroleum and diesel!
N. B, TANZANIA TUMEPATA LITHIUM TUILINDE TUSIIACHIE ITOKE OVYO, WENZETU WANAYO LAKINI BADO WANATAKA YETU HATUJIULIZI TU, HAWA WATAKUWA WANAENDA KUICHIMBIA CHINI, KAMA KUHIFADHI, FUTURE INATEGEMEA SANA HII KITU.
Sioni faida ya ugunduzi wowote wa madini tanzania
 
Kampuni ya Lithium Inc ya Marekani imefanikiwa kufanya Ugunduzi Mkubwa wa Madini ya Lithium kwenye maeneo mawili yaliyo jirani na mlima Kilimanjaro.

Ugunduzi huo unatajwa kuiweka Tanzania kwenye ramani ya Nchi 10 Zenye Madini ya Lithium Duniani.

==========

A US-based company has joined the list of multinationals looking for a slice of Tanzania’s lithium reserves

A US-based company has joined the list of multinationals looking for a slice of Tanzania’s lithium reserves
  • US company Titan Lithium Inc. is attempting to strengthen its position in Tanzania owing to the discovery of large lithium reserves in the country.
  • The preliminary findings from two separate soil geochemical samplings conducted in Tanzania were described as encouraging.
  • The new discoveries surpass earlier lithium finds discoveries in Tanzania confined to Mohanga, a region in central Tanzania close to Dodoma.

Following the discovery of lithium deposits south of Mount Kilimanjaro with large enough reserves to make Tanzania a global market leader for the increasingly popular mineral, US company Titan Lithium Inc. is attempting to strengthen its position in Tanzania.

This past week, the US-based company released preliminary findings from two separate soil geochemical samplings conducted in two locations that straddled the Kilimanjaro and Arusha regions, indicating high lithium grades up to 2.79 percent lithium oxide.

The results were "encouraging enough," to warrant additional investigation, the Titan Lithium Chairman Harp Sangha noted. He was quoted as saying, "we're still at a preliminary stage but are now committed to start pursuing formal drilling approvals from the authorities.

All of this could take time, so we can’t commit to any specific timelines to start proper drilling." The new discoveries surpass earlier lithium finds discoveries in Tanzania confined to Mohanga, a region in central Tanzania close to Dodoma, where at least two Australian multinational companies have stakes.

In Mohanga, lithium deposits with values greater than 1.5% lithium oxide was discovered by Liontown Resources in 2017. Cassius Mining Ltd. purchased prospecting licenses covering about 300 square kilometers in the same region in July 2022. About 200 square kilometers are occupied by the Titan 1 and Titan 2 project areas in the Mt. Kilimanjaro region. Surface samplings have revealed high-value lithium over a wide area, according to Sangha, and they are still working to define the discovery's boundaries throughout the entire region.

Additionally, he claimed that the region was developing into a "repository for a vast area of volcanic ash collection," which would make for a lithium-rich environment. The larger Titan 1 prospect is compared to Titan Lithium's primary West End Lithium project in Nevada, the US, which the company claims is "one of the largest lithium resources in the world, both morphologically and depositionally.

Source: Africa Business Insider
Baada ya taarifa hii, kuna mtumishi wa tume ya madini amechora PL mlima Kilimanjaro wote Ili aje kuwauzia hiyo leseni.
Upigaji kama kawa awamu ya sita iliyopatikana bila uchaguzi.
 
Back
Top Bottom