herzegovina
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 3,143
- 4,724
Nilicheka sana siku ile anahutubia the General Assembly (UN) anasema wametoa elimu bure, wamejenga vituo vya afya na madaraja😄😄😄😄Palamagamba hana uwezo wa kuona hayo, yule jamaa brain yake ilishakua contaminated, ni mtu wa kujipendekeza zaidi kuliko kawaida.
2 heads are better than 1
Kama ni hivyo madikteta ni wengi sokoni na stendi za mabasi maana wizi ni mwingi tena wa nguvu. Kwani hapa JF hujaweza kuongeza ufahamu wako kutokana na mijadala yetu? Maana haya unayoandika, dah! ni Elimu ya uraia kule Shule za msingi.Wizi wa rambirambi kibabe mchana kweupee
LIsu alisema wapi? Mbona Lisu anageuzwa ndo kichwa cha taifa. Hadithi ya Lisu ilikuwa Makinikia. Tulishitakiwa kama alivyosema na kutisha utadhani ndo aligundua sheria?Ndio matokeo ya watu kutenda bila ya kufikiria. Tundu Lissu alisema haya lakini watu toka mtaa wa Lumumba wakamkejeli vilivyo. Ndio maana Mchungaji Peter Msigwa aliwaambia kuwa ccm wanachukua muda mrefu sana kuelewa vitu wanavyoambiwa kwa muda huo.
Asipobadilisha hizo sheria na akakaidi hukumu za arbitrators tusubiri vikwazo vya uchumi.
Kama kuna mtu anadhani kuna siku wapinzani watachukua uongozi wa nchi, mtu kama huyu s/he needs h/is/er head seriously examined!.Swali ni je, wapinzani wakichukua uongozi wa nchi, watazifuta hizo sheria zinazolalamikiwa na hao wawekezaji? Watakuwa na ujasiri wa kuwaeleza wananchi juu ya hilo?
Kama una uhakika kuwa mnaibiwa kwanini hamuwashitaki wezi wenu badala yake mnashitakiwa nyie?
Hiyo sheria imekuja baada ya hao mabwana kuwa tayari wamesain mkataba nasi kwa hiyo hivyo vifungu ni irrelevant hapo na usifikiri kuwa hao wawekezaji hawalijui hilo.Hakimu Mfawidhi,
Mkuu Hakimu Mfawidhi,
Kwanza usiwe na wasiwasi wowote, hivi ni vitisho tuu, hawa jamaa hawawezi kutufanya chochote wala hawawezi kutushitaki popote kwasababu tumeisha badili sheria zetu za uwekezaji kwenye sheria mpya ya madini, kwenye extractive industries tumeweka kipengele hiki
View attachment 1324713
Hivyo hawa jamaa kama wana malalamiko yoyote, waende mahakama zetu za kizalendo.
Ila ile siku tulipo badili sheria, kuna watu tuliuliza humu
Zita Act Retroactively? Tutavunja Mikataba Yote Iliyopo? Can we Stand? Do we have the Guts?
Wanabodi, Kwanza naunga mkono marekebisho ya sheria hizi kufanyika, kwa sababu yanafanyika kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa na maslahi ya Watanzania badala ya maslahi ya wawekezaji, japo siungi mkono miswada hii kuletwa kwa hati ya dharura kwa sababu tayari kuna mikataba mingi iliyopo...www.jamiiforums.com
Sasa haya ni matokeo!.
P