nizakale
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,035
- 2,938
Wewe Ndio huelewiNaamini waimba mapambio sasa nao wameanza kuelewa na kujua hali halisi. Kila siku zinavyosonga na mapambio yanazidi kupungua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe Ndio huelewiNaamini waimba mapambio sasa nao wameanza kuelewa na kujua hali halisi. Kila siku zinavyosonga na mapambio yanazidi kupungua.
Unaogopa kushitakiwa siyo ?Pole sana, hao waingereza mpaka wamefika hapo kiuchumi wamepitia misukosuko mingi. tuko tayari kwa hizo kesiNakumbuka Tundu Lissu alishauri njia sahihi za kuvunja mikataba zifuatwe; aliongelea sana hii kitu na akatahadharisha utaratibu sahihi usipozingatiwa nchi itashtakiwa. Naona yale yote aliyoongea yanaanza kutimia moja baada ya jingine. Kuna watu huko mbele ya safari watatakiwa kunyongwa ili iwe fundisho kwa wengine maana hasara waliyoliingiza taifa haina mfano. Yetu macho!
Kwa tuendelee kuibiwa siyo ?Magufuli hana nia njema kwa taifa hili. Anatuyumbisha sana!
Kaka nimekuelewa Uko vizuri kwa 100%Kama kawaida yetu tuanze na zomea zomea ambayo haisaidii maisha yetu na ugumu wake. Muhimu tusikilize na kufahamishwa udhaifu uko wapi! Kinachofahamika ni upigaji wa awamu zilizopita bila kujali nini kinapatikana kwa wa-TZ wengine.
Kulikuwa na upuuzi kwa nchi za afrika ambao unarudiwa kwenye barua ya huyo mtu wa kampuni. Eti, foreign investment. Nchi gani imeendelea kutokana na kulegeza ili foreign investment ziingie? Foreign investment hufuata palipo pazuri basi! Sasa kama wao wanaona mazingira ni mabaya. waombe chao waondoke. Lakini nikionacho wanahangaika ili wabaki nchini kwa nguvu ya kisheria ya investments. Wabaki halafu tuwaone wataishije na usalama wao.
Unataka Serikali itangaze kila kitu.Ukiisoma hiyo barua inaeleza kuna kampuni 10 tofauti ambazo zinamalalamiko ya aina moja kuhusiana na contractual dispute chanzo chake hiyo sheria ya madini.
Mbili tayari zisha wasilisha notice, ina maana zimebaki kampuni nane zingine.
Bado tu atutaki kuona kiini cha tatizo? Ukiwasikia tu wanasheria wa serikari na Kabudi pale amna contract lawyers.
Watu wanaposema wekeni hiyo mikataba wazi mpate perspective za kushindana na mabeberu mnawaona wapuuzi.
Wao wanaona kesi mnashindwa vipi ndio maana hawana shida kwenda mahakamani, wakati watanzania awajui details wawakosoe ata kupitia bunge.
Wewe nae ndio hujui kitu kabisa.Tunaposema ni dictator hatukosei, usitake kuleta utetezi mwepesi kwa kuchomeka mifano tofauti. Tunajua wapi ni hatua stahiki na wapi ni uonevu. Mvua ni nzuri lakini ikizidi inaleta mafuriko, uharibifu wa mazao na miundombinu, itakuwa wendawazimu watu wakijadili madhara ya mvua iliyozidi, halafu ww useme nyie si ndio mnalalamikia ukame!
Kanajisi kivipi ewe nyumbu ?Kunajisi chaguzi za nchi hii kwa baraka zake. Kuingilia shughuli halali za vyama vya siasa kinyume kabisa na katiba ya nchi. Niongeze ama niache?
Nadhani tuko salama pamoja na rasilimali zetu.Mapungufu yatawekwa mezani na sharing of risks and rewards among parties to contract itapatikana.Miezi sita itatoa ufumbuzi. Kikubwa zaidi na vizuri ni uthubuti wa kusema Hapana hata kama tumewaudhi uwekezaji lakini tumesema. Wasukuma wana usemi wao kwamba Acha kusema hata kama tutalala usingizi tukiwa tumesimama tayari tumesema.sheria inayozuia kushitaki nje ya Tanzania ni sheria mpya ya madini, mkulima anadai haki yake akiyopokwa. Ni vitu viwili tofauti
P
Hahahahah! Maisha yamekaba? Maana kwa povu hilo ni hatari! Pambana utoke kwenye mkwamo la sivyo utaishi maisha ya usononi mpaka mwisho.Wewe kama huna akili usijilinganishe na watu wengine. Kwa akilibyako ndogo unadhani unahitaji kua genius kupima akili ya mtu alietolewa jalalani? Mtu alietoka jalalani hata ukiwa na akili ndogo kama yako unajua kabisa huyu ni mchafu lakini pia ana njaa, mbele ya njaa hakuna akili. Sasa huyo kabudi wako alietoka jalalani unadhani ana tofauti yoyote na wasio na akili wenzio?
Nyumbu weweTunawajua Zitto na Tundu wanawahujumu Watanzania ili tutoke kwenye Malengo ya kitaifa
Nimekuja kugundua kitu Hawa mawakili wanajua vizuri Sana kinachoendelea unajua kwanini hawataki kumshauri magufuli kweli wakati athali wanaziona kwasababu wanataka wampige hell tuMawakili wetu kama nawaona vile... Wanapiga jalamba mkao wa kula na kwenda kusafisha macho ughaibuni... Hakimu Mfawidhi,
Jr[emoji769]
Mkuu nipe link ya hiyo habari humu jamii forumsEndeleeni kujidanganya na kuamini uongo mnaojitungia wenyewe.
Btw; umesikia habari ya kiwanda cha tiles kusimamisha uzalishaji kwa kuwa wameshindwa kuuza wanachozalisha? Kuinuka kwa uchumi my foot.
Hakimu Mfawidhi,
Mkuu Hakimu Mfawidhi,
Kwanza usiwe na wasiwasi wowote, hivi ni vitisho tuu, hawa jamaa hawawezi kutufanya chochote wala hawawezi kutushitaki popote kwasababu tumeisha badili sheria zetu za uwekezaji kwenye sheria mpya ya madini, kwenye extractive industries tumeweka kipengele hiki
View attachment 1324713
Hivyo hawa jamaa kama wana malalamiko yoyote, waende mahakama zetu za kizalendo.
Ila ile siku tulipo badili sheria, kuna watu tuliuliza humu
Zita Act Retroactively? Tutavunja Mikataba Yote Iliyopo? Can we Stand? Do we have the Guts?
Wanabodi, Kwanza naunga mkono marekebisho ya sheria hizi kufanyika, kwa sababu yanafanyika kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa na maslahi ya Watanzania badala ya maslahi ya wawekezaji, japo siungi mkono miswada hii kuletwa kwa hati ya dharura kwa sababu tayari kuna mikataba mingi iliyopo...www.jamiiforums.com
Sasa haya ni matokeo!.
P
Kampuni ya uchimbaji madini ya Indina Resources kutoka Uingereza imeitaarifu serikali ya Tanzania nia yake ya kuishitaki kwenye mabaraza ya usuluhishi kwa ukiukwaji wa mikataba ya uwekezaji kati ya Tanzania na Uingereza.
Kampuni inaituhumu Tanzania kwa kukiuka kitu kinaitwa protection and promotion of investments and international law on project hasa baada ya serikali kufanya marekebisho ya sheria ya madini ya mwaka 2010 na sheria yya haki za madini(mineral rights and regulations 2018) ambayo ilifuta na kuondoa haki za kimkataba zilizoingiwa huko nyuma bila kufuata utaratibu.
Indiana imemuandikia barua rasmi na kumkabidhi Mheshimiwa Rais, Msuluhishi mkuu wa serikali na wizara ya madini.
Kwenye hii notice yao wanasema kuna leseni zaidi ya 10 za makampuni ambayo serikali imevunja mikataba yao ya uwekezaji.
Mkurugenzi wao anaonya kua kuwekeza Tanzania ni hatari sana kwa sbaabu pesa yako inaweza kutaifishwa na serikali wakati wowote. Anaonya kua Tanzania sio salama kwa uwekezaji, haitaki wawekezaji.
Soma mwenyewe hapa.
Mkuu nipe link ya hiyo habari humu jamii forums
Pamoja sana mkuuHii hapa mkuu
Wafanyakazi zaidi ya 3000 wa kiwanda cha vigae cha Keda mkoani Pwani wako hatarini kupoteza kazi kutokana na kushuka kwa mauzo
Mnapata wazimu sasa! Cc Chakaza Retired Erythrocyte ili iweje ?www.jamiiforums.com