Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Toa mfano mmoja tu wa dictatorship unayoiona
Kunajisi chaguzi za nchi hii kwa baraka zake. Kuingilia shughuli halali za vyama vya siasa kinyume kabisa na katiba ya nchi. Niongeze ama niache?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa mfano mmoja tu wa dictatorship unayoiona
yote haya tunapata kwa HISANI KUTOKA JALALANIPalamagamba hana uwezo wa kuona hayo, yule jamaa brain yake ilishakua contaminated, ni mtu wa kujipendekeza zaidi kuliko kawaida.
sheria inayozuia kushitaki nje ya Tanzania ni sheria mpya ya madini, mkulima anadai haki yake akiyopokwa. Ni vitu viwili tofautiMKuu hivi hili linatofauti gani na lkile la MKULIMA kupokonywa mashamba ?
na leo anakamata ndege zetu huko?
wanakujaje Zito na Tundu hapa?Tunawajua Zitto na Tundu wanawahujumu Watanzania ili tutoke kwenye Malengo ya kitaifa
DHAMBI YA KUMCHOMA ERICK KABENDERA ITAKUTESA SANA PASCAL.MARK MY WORDS NOTHING SHOULD GO FOR NOTHING.MIMI NAOMBA NIZIDI KUPATA AFYA NJEMA NIONE MWISHO WAKO UTAKUEJEsheria inayozuia kushitaki nje ya Tanzania ni sheria mpya ya madini, mkulima anadai haki yake akiyopokwa. Ni vitu viwili tofauti
P
Haya ndio matatizo ya kutokutumia akili na elimu ndogo. Nchi zote Duniani zinalilia uwekezaji wewe unasema hakuna nchi inaendelea sababu ya uwekezaji, una akili kweli? China imeendelea kwa kuuza korosho? Au unadhani Tanzania tunaweza kuendelea kwa kuuza utumbo wa kuku?
Ndio wanadai as hicho chsoKama kawaida yetu tuanze na zomea zomea ambayo haisaidii maisha yetu na ugumu wake. Muhimu tusikilize na kufahamishwa udhaifu uko wapi! Kinachofahamika ni upigaji wa awamu zilizopita bila kujali nini kinapatikana kwa wa-TZ wengine.
Kulikuwa na upuuzi kwa nchi za afrika ambao unarudiwa kwenye barua ya huyo mtu wa kampuni. Eti, foreign investment. Nchi gani imeendelea kutokana na kulegeza ili foreign investment ziingie? Foreign investment hufuata palipo pazuri basi! Sasa kama wao wanaona mazingira ni mabaya. waombe chao waondoke. Lakini nikionacho wanahangaika ili wabaki nchini kwa nguvu ya kisheria ya investments. Wabaki halafu tuwaone wataishije na usalama wao.
Hata hiyo sheria aliyoapishwa kwayo anaweza kuifuta au kuikiuka wakati wowote kwa vile haimhusu tena. Si alishaapishwa, sheria ya nini tena!Umeapishwa kwa katiba na sheria hizo hizo, lakini baada ya kuapishwa unaanza kuzipuuza, hutufai kabisa
sheria inayozuia kushitaki nje ya Tanzania ni sheria mpya ya madini, mkulima anadai haki yake akiyopokwa. Ni vitu viwili tofauti
P
TATIZO lingine lipo Kwa aliyemteua sikuzote watu wa type ya kabudi ndiyo wazalendo na wasomi,kama mkenge tumeshaingia tayari tusubiri maumivuKwa elimu yetu ilivyo Tanzania na jinsi nnavyomuona anapoongea kwa mikogo, hilo silishangai. He is more of an actor rather than academic.
Una mihemuko ninayoisikia kwa akina Halima Mdee. Wewe ni halima, labda?Kunajisi chaguzi za nchi hii kwa baraka zake. Kuingilia shughuli halali za vyama vya siasa kinyume kabisa na katiba ya nchi. Niongeze ama niache?
Wewe kama huna akili usijilinganishe na watu wengine. Kwa akilibyako ndogo unadhani unahitaji kua genius kupima akili ya mtu alietolewa jalalani? Mtu alietoka jalalani hata ukiwa na akili ndogo kama yako unajua kabisa huyu ni mchafu lakini pia ana njaa, mbele ya njaa hakuna akili. Sasa huyo kabudi wako alietoka jalalani unadhani ana tofauti yoyote na wasio na akili wenzio?Huna uwezo wa kupima brain ya Kabudi, uwezo ulionao ni kutoa maoni kwa mihemuko kupoza mkwamo ulio nao.
Hao wanaotaka kuitangaza Nchi yao vibaya wakiwa wakimbizi katika nchi za watu na ombaomba wataisoma namba,watafukuzwa hata uongozi wengine wamepewa huku ni wakimbiziHahaha haya majini yametoka wapi tena, Winshear, leo Indiana, kesho sijui itakuwa nini. Anyway tumeshakuwa "Dona Kantre" who cares, tutawalipa tu.
Acha upoyoyo,ukimjua mwenzio kichaa wewe ni kichaa kiongozi wa vichaa,kama hawana akili yaani wewe ndio mbumbumbu namba mojaWewe kama huna akili usijilinganishe na watu wengine. Kwa akilibyako ndogo unadhani unahitaji kua genius kupima akili ya mtu alietolewa jalalani? Mtu alietoka jalalani hata ukiwa na akili ndogo kama yako unajua kabisa huyu ni mchafu lakini pia ana njaa, mbele ya njaa hakuna akili. Sasa huyo kabudi wako alietoka jalalani unadhani ana tofauti yoyote na wasio na akili wenzio?
Una mihemuko ninayoisikia kwa akina Halima Mdee. Wewe ni halima, labda?
Kama unahitaji Urais umepata,tuone huko kulala majalalani vip,jalalani ulimuona vipi kama hamkuwa wote mnaokotaokota?Wewe kama huna akili usijilinganishe na watu wengine. Kwa akilibyako ndogo unadhani unahitaji kua genius kupima akili ya mtu alietolewa jalalani? Mtu alietoka jalalani hata ukiwa na akili ndogo kama yako unajua kabisa huyu ni mchafu lakini pia ana njaa, mbele ya njaa hakuna akili. Sasa huyo kabudi wako alietoka jalalani unadhani ana tofauti yoyote na wasio na akili wenzio?