Kampuni ya vodacom mna nini mwaka huu? Nimekuwa nikipokea offer mfulululizo mfano sms hii hapa na kabla ya hapo MB kama zote.

Kampuni ya vodacom mna nini mwaka huu? Nimekuwa nikipokea offer mfulululizo mfano sms hii hapa na kabla ya hapo MB kama zote.

sinaham

Member
Joined
Mar 31, 2024
Posts
76
Reaction score
90
Najuaga hakunaga vya bure. Nimekuwa nikipokea sms za kupokea vifurushi bure.

Una Dakika 20(Voda) na SMS 100 mpaka 2024-04-08 07:05:35 kuwasiliana na ndugu, jamaa na marafiki. Kujua salio Piga *149*60#. Vigezo kuzingatiwa

nimajiuliza sana kwa ile kanuni ya HAKUNA CHA BURE HAPA DUNIANI yasije yakanikuta huko.mbeleni.

yaani ni muda sasa mimi ni mwendo wa kupiga na kutuma sms tu. Leo nimetumia muda za tangia majuzi na muda huu huu nimepokea dkk 20 tena. Vodacom mmeshanipa dkk Mia huko nyuma mb500 nakadhalika.

Jamani chondechonde msije nikuna kunako
 
Najuaga hakunaga vya bure. Nimekuwa nikipokea sms za kupokea vifurushi bure.

Una Dakika 20(Voda) na SMS 100 mpaka 2024-04-08 07:05:35 kuwasiliana na ndugu, jamaa na marafiki. Kujua salio Piga *149*60#. Vigezo kuzingatiwa

nimajiuliza sana kwa ile kanuni ya HAKUNA CHA BURE HAPA DUNIANI yasije yakanikuta huko.mbeleni.

yaani ni muda sasa mimi ni mwendo wa kupiga na kutuma sms tu. Leo nimetumia muda za tangia majuzi na muda huu huu nimepokea dkk 20 tena. Vodacom mmeshanipa dkk Mia huko nyuma mb500 nakadhalika.

Jamani chondechonde msije nikuna kunako
Usitupe line tu, watakavyo anza kukushangaza vizuri.
 
Ni mimi nikiingia kazini huwa nakutumia offer
 
Back
Top Bottom