Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Ni jambo la kushangaza unapopita mitandaoni kukutana na matangazo ya kampuni zinajinadi kuuza viwanja vya SQM 200, 300 nk, katika maeneo mbalimbali nje ya Jiji. Tena, mbaya zaidi wanaviuza kwa vipimo vya futi. Hivi kweli tunaruhusu viwanja vya SQM 200 miaka hii? Je, haya makampuni hayana mdhibiti? Waziri wetu mchapakazi, hili limekushinda au?
Aidha, sambamba na hilo sioni sababu ya nchi yetu viwanja kuuzwa bei kubwa kupita kiasi. Kunahitajika kuwa na regulator na bei kikomo katika ardhi, nadhani vinginevyo wananchi wanaumia kununulishwa viwanja kwa bei kubwa sana.
Aidha, sambamba na hilo sioni sababu ya nchi yetu viwanja kuuzwa bei kubwa kupita kiasi. Kunahitajika kuwa na regulator na bei kikomo katika ardhi, nadhani vinginevyo wananchi wanaumia kununulishwa viwanja kwa bei kubwa sana.