Kampuni za mabasi zilizotamba na kupotea

Kampuni za mabasi zilizotamba na kupotea

Waulize wahenga broo,watu wazamni walikuwa na akili nyingi Sana,mfano USAI(eti usafirishaji Iramba)UVITAB(umoja wa vijii Tarafa B)
Hiv zaman majina ya mabas walikuwa wanayatoa wap maana yalikuwa ya ajabu kama ya member wa JF et Nyuki, kinanda, akamba, nk
 
Ally's karudi kwa kasi ya hatari na mabasi ya rangi ya machungwa
Hawa jamaa wapo vizuri sana. Ofisi kuu ipo Shinyanga. Mohamed Trans alilazimishwa kufa, kutokana na malimbikizo ya madeni. Mali zake nyingi zilipigwa mnada. Na hii yote ni baada ya kuingia awamu ya TANO!
Yahya Maganda 20200617_210726.jpg
 
Yap mzee kaingia kwenye kilimo ana Hector za kutosha na zana za kisasa za kilimo ,za kulima hadi kuvuna .

Ile Kashi Kashi ya kutouza mahindi nje ilimsumbua kidogo maana anazalisha kwa wingi sana huko swax

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee hana vina saba na Majinja kweli?. Pia kilimo kinampatia hela ya kutosha maana wateja wake wakubwa ni TBL na Serengeti anawauzia sana Shairi.
 
Sasa aliona ni ujinga kununja bas 300ml na ukalilipia kodi kubwa, bado barabaran mlogane akaamua aende kwenye kilimo kule unanunua mashine hailipiwi kodi na faida unapata kubwa.
Alikuwa na roho mbaya kama kutu, kauli mbovu kwa abiria utafikiri wasipopanda atapanda peke yake na familia yake.
 
Back
Top Bottom