Kampuni za mabasi zilizotamba na kupotea

Kampuni za mabasi zilizotamba na kupotea

Scandinavia (Dar)
Metro (Dar)
Sumry (Sumbawanga)
Mohamed Trans (Shinyanga)
Hood (Morogoro)
Sabco (Moro)
Islam (Moro)
Sadick Bus (Moro)
Lupelo Inv. (Iringa)
Super Service (Singida)
Super Star (Dodoma)
Matema Beach (Mbeya)
Kiswele (Songea)
No Challenge
Safina
Inter City
Zafanana (Korogwe)
Air Msae
Blue Ship
Amiti
Wifi Nae
Central Line

Hawa wawekezaji walikwama wapi, mbona kama walikuwa na Mitaji mikubwa, saivi kuna kampuni mpya tena ndogo na zinapambana hatari.

Ongeza unazozijua
Lupelo na matema beach umenikumbusha mbali sana

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Kuna basi moja la mtumba lilikuwa linaitwa kikondo dar-mbeya lilivunja record ya kufika saa saba na nusu mbeya stend!
Na kuna siku matema alikimbizana nalo tukalikuta pale comfort kitonga likatuacha kama dk3 jamaa alilitafuta wapi tukalikuta mbeya lishafika na abiria hata mmoja hakuna!
 
Sijui ni Mimi tu? Mbona huwa nikifikiria au kukumbukia vitu vya Zamani naona kama Zamani nchi ilikua imeendelea sana kuliko sasa?
Imagine Zamani kulikua na viwanda vingi na mabasi ktk kila kampuni na viwanda hapa Dar..... Wafanyakazi walikuwa hawapandi dala dala
Urafiki textiles
Besco
Tipper
Bima
Uhamiaji
Wazo Hill
Bora shoes
General Tyre
Chuo kikuu
Nasaco
Tanzania Breweries
Tanzania Elimu supply
Akiba
Tafico
R. T. D
UFI
Police
Jwtz
Air Tanzania,
Sukita
Sungura textiles
Tanzania Railway
Tanganyika Packers
Muhimbili... Na wizara zote pamoja na taasisi
 
Shabaha ndio Kilimanjaro Bus
Ngorika ndio Kaprikoni
Bufallo ndio Happy Nation
Akamba imenunuliwa na Modern Coach
Mohamedi Trans ndio Scorpion bus
Tahmeed imekombine Yale matawfiq, taqwa nk nk
Ngorika ametawanyika sasa kuna Mberesero na Kaprikon.
 
Back
Top Bottom