Swahili AI
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 10,174
- 89,364
KingCross (Iringa to Dom)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks ntabadilishaLupelo ilikuwa Njombe not Iringa
[emoji1756][emoji1756][emoji1756]Kwacha Transport
Zainab's
Makete
Maranzana
Ngurwi
Bin Kleb supu ya mawe
Lupila Bus Service
Tweve Coach
Special Coach
Kwanini??[emoji848] au kwakua lilikodiwa na makamba na Lowasa?Walimkimbia mwendazake wakahamia mombasa, now wamerudi
Yule mwarabu porini baada ya Lami kukamilika sijui kaenda wapiKingCross (Iringa to Dom)
Alipakia watu na wanyama bila ya unyanyasajiYule mwarabu porini baada ya Lami kukamilika sijui kaenda wapi
Nahisi ishu za kodi zinahusikaKwanini??[emoji848] au kwakua lilikodiwa na makamba na Lowasa?
Yapo kwa kasi kubwaKuna route moja hamjaitaja ya Mwanza -Kigoma, nilipita miaka ya nyuma kidogo kuna machata kama:
SARATOGA
ADVENTURE
sijajua kama yako road bado ama la.
Air msae alibadili jina na kujiita metroScandinavia (Dar)
Metro (Dar)
Sumry (Sumbawanga)
Mohamed Trans (Shinyanga)
Hood (Morogoro)
Sabco (Moro)
Islam (Moro)
Sadick Bus (Moro)
Lupelo Inv. (Iringa)
Super Service (Singida)
Super Star (Dodoma)
Matema Beach (Mbeya)
Kiswele (Songea)
Fresh ya Shamba
No Challenge
Safina
Inter City
Zafanana (Korogwe)
Air Msae
Blue Ship
Amiti
Wifi Nae
Central Line
Masiya
Hawa wawekezaji walikwama wapi, mbona kama walikuwa na Mitaji mikubwa, saivi kuna kampuni mpya tena ndogo na zinapambana hatari.
Ongeza unazozijua
Metro nae kapoteaAir msae alibadili jina na kujiita metro
Ila mdau kuna kampuni hapo zilikua na basi moja tu au mbili kupotea kawaida ila waliofikisha basi kumi wengi walifirisika....
Thubutuuuuu unaota weweOngeza na DAR EXPRESS ndio inaishia
Jamani ee, mbona kwetu Lushoto hakuzungumzii!Waulize wahenga broo,watu wazamni walikuwa na akili nyingi Sana,mfano USAI(eti usafirishaji Iramba)UVITAB(umoja wa vijii Tarafa B)
... Kwa mfano?Nawasihi wale wasioelewa baadhi ya wamiliki wa mabasi (a.k.a matajiri) tusiseme wamefirisika bora ukae kimya kama hujui kitu.
Wee mtu wa Tanga!Umenikumbusha bembea ya dar-tanga, inaondoka saa 10 jioni ubungo ndani kuna vigoda vya kutosha muda wa kufika haufahamiki ni saa ngapi
Sumry na Scandinavia.... Kwa mfano?
Zuberi ipo mkuuHindocha, Zuberi