Kampuni za mabasi zilizotamba na kupotea

Kampuni za mabasi zilizotamba na kupotea

Sumry amefariki mwaka huu
Kumbe unamzungumzia Sumry mtu na siyo kampuni🙂🙂 hivi unadhani hizi kampuni za mabasi zilizopo waanzilisha wote wapo hai?

Nakupa mfano wa MARANGU EXPRESS mwazilishi kafa basi zinadunda na zingine nyingi
 
Scandinavia (Dar)
Metro (Dar)
Sumry (Sumbawanga)
Mohamed Trans (Shinyanga)
Hood (Morogoro)
Sabco (Moro)
Islam (Moro)
Sadick Bus (Moro)
Lupelo Inv. (Iringa)
Super Service (Singida)
Super Star (Dodoma)
Matema Beach (Mbeya)
Kiswele (Songea)
Fresh ya Shamba
No Challenge
Safina
Inter City
Zafanana (Korogwe)
Air Msae
Blue Ship
Amiti
Wifi Nae
Central Line
Masiya

Hawa wawekezaji walikwama wapi, mbona kama walikuwa na Mitaji mikubwa, saivi kuna kampuni mpya tena ndogo na zinapambana hatari.

Ongeza unazozijua
Bembea, Ngorika.
 
Scandinavia (Dar)
Metro (Dar)
Sumry (Sumbawanga)
Mohamed Trans (Shinyanga)
Hood (Morogoro)
Sabco (Moro)
Islam (Moro)
Sadick Bus (Moro)
Lupelo Inv. (Iringa)
Super Service (Singida)
Super Star (Dodoma)
Matema Beach (Mbeya)
Kiswele (Songea)
Fresh ya Shamba
No Challenge
Safina
Inter City
Zafanana (Korogwe)
Air Msae
Blue Ship
Amiti
Wifi Nae
Central Line
Masiya

Hawa wawekezaji walikwama wapi, mbona kama walikuwa na Mitaji mikubwa, saivi kuna kampuni mpya tena ndogo na zinapambana hatari.

Ongeza unazozijua
Wewe siyo wa siku nyingi...huijui super najimunisa?? Aisee
 
Scandinavia (Dar)
Metro (Dar)
Sumry (Sumbawanga)
Mohamed Trans (Shinyanga)
Hood (Morogoro)
Sabco (Moro)
Islam (Moro)
Sadick Bus (Moro)
Lupelo Inv. (Iringa)
Super Service (Singida)
Super Star (Dodoma)
Matema Beach (Mbeya)
Kiswele (Songea)
Fresh ya Shamba
No Challenge
Safina
Inter City
Zafanana (Korogwe)
Air Msae
Blue Ship
Amiti
Wifi Nae
Central Line
Masiya

Hawa wawekezaji walikwama wapi, mbona kama walikuwa na Mitaji mikubwa, saivi kuna kampuni mpya tena ndogo na zinapambana hatari.

Ongeza unazozijua
Dar Xepres
 
Z
Scandinavia (Dar)
Metro (Dar)
Sumry (Sumbawanga)
Mohamed Trans (Shinyanga)
Hood (Morogoro)
Sabco (Moro)
Islam (Moro)
Sadick Bus (Moro)
Lupelo Inv. (Iringa)
Super Service (Singida)
Super Star (Dodoma)
Matema Beach (Mbeya)
Kiswele (Songea)
Fresh ya Shamba
No Challenge
Safina
Inter City
Zafanana (Korogwe)
Air Msae
Blue Ship
Amiti
Wifi Nae
Central Line
Masiya

Hawa wawekezaji walikwama wapi, mbona kama walikuwa na Mitaji mikubwa, saivi kuna kampuni mpya tena ndogo na zinapambana hatari.

Ongeza unazozijua Zainabu Siri yako Mwafrica Wa kwetu Wifinae
 
Huoni kwamba hili ni Jambo jema kwakuwa fedha nyingi zitabaki kwa wananchi ambao ni abiria tufauti na awali ambapo walionufaika zaidi walikuwa wamiliki wa mabasi na vituo vya mafuta?
bora pesa zibaki kwa wafanya biashara kuliko kwenye zikae tu kwenye taasisi za serikali zikawanufaisha viongozi wakubwa wa serikali
 
Kumbe unamzungumzia Sumry mtu na siyo kampuni🙂🙂 hivi unadhani hizi kampuni za mabasi zilizopo waanzilisha wote wapo hai?

Nakupa mfano wa MARANGU EXPRESS mwazilishi kafa basi zinadunda na zingine nyingi
zilikuwa za baba akafa,akaja mtoto nae akazifufua zikaja kasi nae juzi kati kafa,uzuri wa familia nyingi za kichaga ni kama wahindi wanalishishana biashara wangali wadogo ndio maana kampuni zao bado zipo kwenye soko
 
Wewe siyo wa siku nyingi...huijui super najimunisa?? Aisee
Naifahamu na hata hivyo miaka kama miwili ilikuwepo na gari kama mbili chakavu saivi nadhani kapotea. Naifahamu kitambo ila siwezi kukumbuka zote ndio.maana nikasema.muongezee wadau
 
Hao hua hawawezi biashara..Scandinavia ilikuaja kua Green star,ikaja kua Dar lux lakini kwisha habari yao

Hawawezagi
[emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1306]
 
Back
Top Bottom