EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
- Thread starter
- #481
Yawezekana yupo mkoani ndanindani hukoThubutuuuuu unaota wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yawezekana yupo mkoani ndanindani hukoThubutuuuuu unaota wewe
City boy na Buti la zungu wato hapoMombasa Raha
Lushanga
Nchambi
City Boy
Buti la Zungu
Sumry kabadili biashara kajikita kwenye kilimo hule Katavi Scandnavia alibadili jina na kuwa Green starSumry na Scandinavia.
Sumry amefariki mwaka huuSumry kabadili biashara kajikita kwenye kilimo hule Katavi Scandnavia alibadili jina na kuwa Green star
Kumbe unamzungumzia Sumry mtu na siyo kampuni🙂🙂 hivi unadhani hizi kampuni za mabasi zilizopo waanzilisha wote wapo hai?Sumry amefariki mwaka huu
Bembea, Ngorika.Scandinavia (Dar)
Metro (Dar)
Sumry (Sumbawanga)
Mohamed Trans (Shinyanga)
Hood (Morogoro)
Sabco (Moro)
Islam (Moro)
Sadick Bus (Moro)
Lupelo Inv. (Iringa)
Super Service (Singida)
Super Star (Dodoma)
Matema Beach (Mbeya)
Kiswele (Songea)
Fresh ya Shamba
No Challenge
Safina
Inter City
Zafanana (Korogwe)
Air Msae
Blue Ship
Amiti
Wifi Nae
Central Line
Masiya
Hawa wawekezaji walikwama wapi, mbona kama walikuwa na Mitaji mikubwa, saivi kuna kampuni mpya tena ndogo na zinapambana hatari.
Ongeza unazozijua
Wewe siyo wa siku nyingi...huijui super najimunisa?? AiseeScandinavia (Dar)
Metro (Dar)
Sumry (Sumbawanga)
Mohamed Trans (Shinyanga)
Hood (Morogoro)
Sabco (Moro)
Islam (Moro)
Sadick Bus (Moro)
Lupelo Inv. (Iringa)
Super Service (Singida)
Super Star (Dodoma)
Matema Beach (Mbeya)
Kiswele (Songea)
Fresh ya Shamba
No Challenge
Safina
Inter City
Zafanana (Korogwe)
Air Msae
Blue Ship
Amiti
Wifi Nae
Central Line
Masiya
Hawa wawekezaji walikwama wapi, mbona kama walikuwa na Mitaji mikubwa, saivi kuna kampuni mpya tena ndogo na zinapambana hatari.
Ongeza unazozijua
Hao hua hawawezi biashara..Scandinavia ilikuaja kua Green star,ikaja kua Dar lux lakini kwisha habari yaoHuyu scandinavia sijui alikumbwa na balaa gani
Dar XepresScandinavia (Dar)
Metro (Dar)
Sumry (Sumbawanga)
Mohamed Trans (Shinyanga)
Hood (Morogoro)
Sabco (Moro)
Islam (Moro)
Sadick Bus (Moro)
Lupelo Inv. (Iringa)
Super Service (Singida)
Super Star (Dodoma)
Matema Beach (Mbeya)
Kiswele (Songea)
Fresh ya Shamba
No Challenge
Safina
Inter City
Zafanana (Korogwe)
Air Msae
Blue Ship
Amiti
Wifi Nae
Central Line
Masiya
Hawa wawekezaji walikwama wapi, mbona kama walikuwa na Mitaji mikubwa, saivi kuna kampuni mpya tena ndogo na zinapambana hatari.
Ongeza unazozijua
Scandinavia (Dar)
Metro (Dar)
Sumry (Sumbawanga)
Mohamed Trans (Shinyanga)
Hood (Morogoro)
Sabco (Moro)
Islam (Moro)
Sadick Bus (Moro)
Lupelo Inv. (Iringa)
Super Service (Singida)
Super Star (Dodoma)
Matema Beach (Mbeya)
Kiswele (Songea)
Fresh ya Shamba
No Challenge
Safina
Inter City
Zafanana (Korogwe)
Air Msae
Blue Ship
Amiti
Wifi Nae
Central Line
Masiya
Hawa wawekezaji walikwama wapi, mbona kama walikuwa na Mitaji mikubwa, saivi kuna kampuni mpya tena ndogo na zinapambana hatari.
Ongeza unazozijua Zainabu Siri yako Mwafrica Wa kwetu Wifinae
bora pesa zibaki kwa wafanya biashara kuliko kwenye zikae tu kwenye taasisi za serikali zikawanufaisha viongozi wakubwa wa serikaliHuoni kwamba hili ni Jambo jema kwakuwa fedha nyingi zitabaki kwa wananchi ambao ni abiria tufauti na awali ambapo walionufaika zaidi walikuwa wamiliki wa mabasi na vituo vya mafuta?
zilikuwa za baba akafa,akaja mtoto nae akazifufua zikaja kasi nae juzi kati kafa,uzuri wa familia nyingi za kichaga ni kama wahindi wanalishishana biashara wangali wadogo ndio maana kampuni zao bado zipo kwenye sokoKumbe unamzungumzia Sumry mtu na siyo kampuni🙂🙂 hivi unadhani hizi kampuni za mabasi zilizopo waanzilisha wote wapo hai?
Nakupa mfano wa MARANGU EXPRESS mwazilishi kafa basi zinadunda na zingine nyingi
uko njombe napo kulikuwaga na vyuma kama Grazia na UpendoLupelo ilikuwa Njombe not Iringa
Ipo tena ina Scania za kutoshaDar Xepres
Hawa wamepotea kweliBembea, Ngorika.
[emoji1756][emoji1756][emoji1756]SUPER STAR, ZAINABS, KIPENGULE, LUPELO INVESTIMENT,
Naifahamu na hata hivyo miaka kama miwili ilikuwepo na gari kama mbili chakavu saivi nadhani kapotea. Naifahamu kitambo ila siwezi kukumbuka zote ndio.maana nikasema.muongezee wadauWewe siyo wa siku nyingi...huijui super najimunisa?? Aisee
[emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1306]Hao hua hawawezi biashara..Scandinavia ilikuaja kua Green star,ikaja kua Dar lux lakini kwisha habari yao
Hawawezagi