Kampuni za mabasi zilizotamba na kupotea

Yarabi toba ,,,tanga ..dar
Yarabi salama ...tanga ..dar
Mkaramo ..tanga ....dar..
Kidato...tanga ..dar
Ambiasi...tanga ...dar.
Maranzana...tanga.. .dar
Saad...tanga ..dar
Amtico...tanga ..dar.
Kamata...tanga ..dar..
Zafanana,,,tanga ..dar..
Siri yako.Dodoma ...dar
Kipengule..dar ...Dodoma..
Super star..dar ...Dodoma,,
 
Bila shaka we jamaa mkazi wa Tanga kitambo saana
 
Wewe kama si wa Lizaboni, au Mateka basi wa Matalawe wewe...!!! ahahaha huwezi kutaja hivyo banaa...!!! Kwacha stendi ilikuwa kwa mama Sabena au sisi kwa sisi pale... Siku hizi soko la manzese

Mkuu AirMsae na Shengena zimeacha Historia ya majonzo balaa ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…