Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Primary ipi..!! Kiburang'oma, Majimaji, Matogoro, Mfaranyaki, Bombambili, Ruhuwiko? auaaaaa acha bwana nilisoma songea enzi hizo tokea primary hadi a level kwa babu na bibi likizo narudi dar.
AHahahahahahahaha Layland.. na tukifika Peramiho, chai kwa MokaHuko mlikuwa mnatumia Matimbula ile Leyland au Kisiwa family.
Tanganyika bus (mza)Scandinavia (Dar)
Metro (Dar)
Sumry (Sumbawanga)
Mohamed Trans (Shinyanga)
Hood (Morogoro)
Sabco (Moro)
Islam (Moro)
Sadick Bus (Moro)
Lupelo Inv. (Iringa)
Super Service (Singida)
Super Star (Dodoma)
Matema Beach (Mbeya)
Kiswele (Songea)
Zafanana (Korogwe)
Air Msae
Blue Ship
Amiti
Wifi Nae
Central Line
Hawa wawekezaji walikwama wapi, mbona kama walikuwa na Mitaji mikubwa, saivi kuna kampuni mpya tena ndogo na zinapambana hatari.
Ongeza unazozijua
Mwadera/mwangarukaTanganyika bus (mza)
Shironela line (mza)
Mashiku bus service (Mza)
Africa bus service (Mza)
Kitambo mazee ni kati ya 89 - 96
Bado anachechemeaSuper Sami bado zipo?
Hivi "Prince Muro" bado inapiga kazi ? Maana huwa nayaona yamewekwa huku maeneo ya GOBA.
zakaria yupo ndo anakimbiza barabara ya mza-sirari, ndugu unaandika ukiwa wapiKABANDORE.
LUSHANGA.
ZACHARIA.
BUNDA BUS.
TAWFIQ.
Najiuliza financial intelligence ya wabongo ikoje,hata haya mashule ya binafsi bila raisi kufanya uamuzi wa kufungua shule yangepotea kabisa,yangefungwa hata mwaka wangeuza mpaka madawati.
Huyo atakuwa dar maana zakaria walimfungia hiyo route. Jamaa alitoka dar saa 12 saa 12 akatoboa mwanza enzi hzo hakuna vya tochi, ninavyo sikia lakin. Maana ata route ya mwz- tarm jamaa uwa anasipid ya ovyo sana tena bora siku hivzakaria yupo ndo anakimbiza barabara ya mza-sirari, ndugu unaandika ukiwa wapi
Zuberi bado yupo sana na ndo kisesa. Nyuma zimeandikwa bujoraScandinavia zilikuwaga basi aisee.
Tashriff za Tanga nazo sizioni road.
Hivi Zuberi na Najmunisa bado zipo?
RATCO kahamisha biashara, kahamia DRC, hata mabus yote kapeleka kule.Mpaka wiki jana hawakuwepo.
Walisimama sababu ya corona.
Lakini makonda na wakata tikect wote wamehamia kampuni mpya inaitwa Nacharo.
Sasa was curious kama wameanza au bado au bado?
Yap ni Njombe
Kulikuwa na Widambe. Makete na Lupelo
Songea kulikuwa na Kiswele, Special Coach na Tawaqal