Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Kwanza hata bila Kodi Kampuni zinatoza tozo kubwa mno ukilinganisha na benki.Tokea lini kampuni za simu zikawaonea huruma wateja wake?
Mama anaupiga mwingi
Kazi iendelee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza hata bila Kodi Kampuni zinatoza tozo kubwa mno ukilinganisha na benki.Tokea lini kampuni za simu zikawaonea huruma wateja wake?
Mama anaupiga mwingi
Kazi iendelee
Watu wanatoa tu miamala ya kuweka haipoHapo kampuni za simu zinajaribu kuepuka mdororo utakaowakumba kwa kukimbiwa na wateja!
Unakumbuka kipindi cha JPM Jiwe jinsi mabenki walikimbiwa kwa watu kuhamisha pesa zao?
Dawa ni chukua chako mapema na ujipangie mwenyewe jinsi ya kukitumia!!
Nimeweka msimamo sitatumia tigo pesa wala mpesa.Mimi sijafanya muamala wowote tangu tozo za kizalendo pori zilivyoanza na sio kawaida yangu
Wajiandae kisaikolojia
Watu wakiamua wanaweza mbona hawa wa mitandao watakubali wenyewe
Niliposoma "magaseti" nikatosheka na kiwango chako cha uelewa.Hizi ni kelele za kitambo tuu kama mafuta afu mtatulia tuliii.
Yaani nchi ambayo unamwambia mwananchi adai risiti hafanyi afu umuwekee kodi mbadala ndio awe analia Lia? Sitegemei Serikali kusalimu amri kwa upuuzi.
Hayo makampuni yanatuibia Sana eti nao wanalia.Afu wauza magaseti wanatafuta habari za kuuzia magaseti hakuna chochote
Hatukuwatuma mnunue maBombadia yasiyo na abiria.Tuchangie Maendeleo mkuu , kodi inayokusanywa haiwezi kutosheleza kujenga miradi mkibuwa inayoendelea.
hii mepitishwa na bunge nduguHii inafutwa mda si mrefu ,nchi nyingi ziliwahi kuweka tozo angalau chini ya 2% lakini walizifuta
Wewe umewahi toa au kutuma pesa then ukakuta makato ya serikali yamezidi wanayopata kampuni za simu? Pumbavu zao wa me invest kutuibia?Kampuni za simu wameinvest sana mpaka hii system ya pesa kwenye simu kua apo ilipo .....
Then wapo kishetria na wanalipa kodi kama inavyotakiwa....:
Sasa anatokea bongo lala anaweka ela nyingi kuliko ni hlkuaribu uwekezaji
Samahan ndugu nataka kufaham ,kwa mfano ktk hiz huduma za kifedha kivip kampun za sim zinaiba au ilitakiwa iweje ili waonekane wasiibe ,maana kwa uwelewa wang mm ni kwamba kabla ya aya makato ya serikal mfano elf 10 walikua kampun za cm zilikua zinakata elf 1 mia nne ela iyo inagawanyika kama mara nne hiv wa kwanza wao wenyewe ,pil wakala apa wakala analipwa mara mbil yan mfano umekatwa elf 1 mia nne mteja wakala watakupa labda mia 3 alaf apo apo ukituma wakala elf 10 kumbuka ukituma mteja hakatwi watakulpa tena wakala kama mia 2 hiv ,fungu la tatu linaenda serikalin,lakn sasa iv elf kum iyo iyo utakatwa kwanza elf 1 mia 400 ya mtandao alaf utakatwa utakatwa 320 ya serikal ,kumbuka ktk iyo elf 1 mia 400 kuna kodi ya serikal ,sasa apo mwiz nan apo nimezungumzia kutoa tu bado kuituma iyo elf 10Wewe umewahi toa au kutuma pesa then ukakuta makato ya serikali yamezidi wanayopata kampuni za simu? Pumbavu zao wa me invest kutuibia?
Atukatai kulipa kodi mkuu ila kodi iwe kwa kiasi na kuzingatia uwezo wa walipaj, tozo imekua kubwa mno na haivumiliki....Tuchangie Maendeleo mkuu , kodi inayokusanywa haiwezi kutosheleza kujenga miradi mkibuwa inayoendelea.
Angalia kwenye kutumaWewe umewahi toa au kutuma pesa then ukakuta makato ya serikali yamezidi wanayopata kampuni za simu? Pumbavu zao wa me invest kutuibia?
Sasa kumbe unabisha kitu usicho kijuaWewe umewahi toa au kutuma pesa then ukakuta makato ya serikali yamezidi wanayopata kampuni za simu? Pumbavu zao wa me invest kutuibia?
Nishalizwa sana Ijumaa ilitumwa 10 sema aliweka na yakutolea jumamosi imetumwa 50 makato ikawa juu yangu nikalambwa 3850 Leo tena imetumwa 15 makato juu yangu 1770☹️Mimi sijafanya muamala wowote tangu tozo za kizalendo pori zilivyoanza na sio kawaida yangu
Wajiandae kisaikolojia
Watu wakiamua wanaweza mbona hawa wa mitandao watakubali wenyewe
lazima walalamike kwasababu watu wakisusia kutuma miamala, kampuni za simu zinapungua mapato sana. walikuwa wanapiga sana pesa kwenye maMPESA huko, sasa watu kama hawatumi tena ndani ya wiki tu hapa wamepoteza mabilioni, bila hata sababu ya msingi. walitakiwa kushirikishwa halafu waweke reasonable rate ambayo haitaleta maumivu. reasonable rate ikiwepo na kwa watu wengi zitakusanywa nyingi. excessive rate ikiwepo watu watakatwa nyingi ila watumiaji watakuwa wachache hivyo utapata kidogo kuliko ile rate ya chini. akili kumkichwa.Tokea lini kampuni za simu zikawaonea huruma wateja wake?
Mama anaupiga mwingi
Kazi iendelee
Atukatai kulipa kodi mkuu ila kodi iwe kwa kiasi na kuzingatia uwezo wa walipaj, tozo imekua kubwa mno na haivumiliki....
Kifupi kaboronga sana jamaa,
Angeongeza kiasi ata kwenye mamia miamala ingekua mingi na angepata tofaut ni apo watu watatumia kwa emegency tu
Hivyo atua hii biashara kwenye kampuni, mawakala wakuu na mawakala...
Muda utaongea.
Yani mwigulu ni Kengee sanaa.. Kweli hesabu gani huwa anapiga sijuii[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]lazima walalamike kwasababu watu wakisusia kutuma miamala, kampuni za simu zinapungua mapato sana. walikuwa wanapiga sana pesa kwenye maMPESA huko, sasa watu kama hawatumi tena ndani ya wiki tu hapa wamepoteza mabilioni, bila hata sababu ya msingi. walitakiwa kushirikishwa halafu waweke reasonable rate ambayo haitaleta maumivu. reasonable rate ikiwepo na kwa watu wengi zitakusanywa nyingi. excessive rate ikiwepo watu watakatwa nyingi ila watumiaji watakuwa wachache hivyo utapata kidogo kuliko ile rate ya chini. akili kumkichwa.
Wizi wa makampuni ya simu unaujua wewe tu? Serikali pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama havijui?Hizi ni kelele za kitambo tuu kama mafuta afu mtatulia tuliii.
Yaani nchi ambayo unamwambia mwananchi adai risiti hafanyi afu umuwekee kodi mbadala ndio awe analia Lia? Sitegemei Serikali kusalimu amri kwa upuuzi.
Hayo makampuni yanatuibia Sana eti nao wanalia.Afu wauza magaseti wanatafuta habari za kuuzia magaseti hakuna chochote