Samahan ndugu nataka kufaham ,kwa mfano ktk hiz huduma za kifedha kivip kampun za sim zinaiba au ilitakiwa iweje ili waonekane wasiibe ,maana kwa uwelewa wang mm ni kwamba kabla ya aya makato ya serikal mfano elf 10 walikua kampun za cm zilikua zinakata elf 1 mia nne ela iyo inagawanyika kama mara nne hiv wa kwanza wao wenyewe ,pil wakala apa wakala analipwa mara mbil yan mfano umekatwa elf 1 mia nne mteja wakala watakupa labda mia 3 alaf apo apo ukituma wakala elf 10 kumbuka ukituma mteja hakatwi watakulpa tena wakala kama mia 2 hiv ,fungu la tatu linaenda serikalin,lakn sasa iv elf kum iyo iyo utakatwa kwanza elf 1 mia 400 ya mtandao alaf utakatwa utakatwa 320 ya serikal ,kumbuka ktk iyo elf 1 mia 400 kuna kodi ya serikal ,sasa apo mwiz nan apo nimezungumzia kutoa tu bado kuituma iyo elf 10