claudematemu
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 279
- 437
Hamieni halotel nyiee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahhaKwani heading ya hii thread umeona inasemaje?
Vifurushi vya kawaida vipo vipi?Vifurushi Hivyo hua si vifurushi maalumu hua ni offer, Hivyo mtandao husika unaweza kubadili kadili uwezavyo.
Wasipende sifaTatizo hamsifii vya kutosha " huduma zao" sasa mnataka wafanyeje! Utadhani yananitoka moyoni.
hiyo hadi sasa nchi ya ngapi baada ya ushushaji huuTulishakubaliana kuwa TANZANIA ni kati ya NCHI 5 zenye unafuu wa gharama ya kujiunga na data
Sasatel ndio mtandao ganiMimi natumia Sasatel, sijaona mabadiliko yoyote
Mm nmenunua saizi Tigo 500 @ 150MbNimenunua Voda 2000 Gb 1.2
Ni kwenye menu za kawaida kwa Vodacom mfano wanazo kudirect kuwa voda voda au mitandao mingine na ile ya cheka tuVifurushi vya kawaida vipo vipi?
Gharama sanaMm nmenunua saizi Tigo 500 @ 150Mb
Walitanguliza jambo hili ili kutulainishaKwa
hiyo hadi sasa nchi ya ngapi baada ya ushushaji huu
Hongera , hata hivyo unashauriwa urudi nyumbani kumenoga, GB7 kwa shilingi elfu 10 kwa mwezi. TTCL hoyeee!!! Nitadai kamisheni baadaye kutoka TTCLNimenunua Voda 2000 Gb 1.2
unachosema ni sahihi mm airtel wamenipandishia kwa kuwa ni mtumiaji mkubwa na nimekuja gundua majuzi baada ya jamaa yangu kujiunga kwa 2000 akapata kifurushi kikubwa mm napata kidogo.acha na mm niwapige chini airtel nashukuru kwa kunifumbua macho.Ifahamike kwamba vifurushi hivi havina mfanano Kwa wateja wote.
Yani wanachofanya wakiona wewe ni mteja mzuri wanakupandishia wewe kama wewe,ukiwapiga chini Kwa muda wanakupa tena ofa kabambe.
Binafsi huwa ninacheza na voda na tigo, voda walinikazia nikapiga chini nikaishi na tigo Kwa kifurushi cha 5000 GB 2,dkk 200 Kwa wiki ,wakaniona kiazi wakafika level ya GB 1.2 dkk 150 Kwa 5000,nikapiga chini kurudi voda nikakuta washanilegezea
Tatizo ni mtandao na kasiHongera , hata hivyo unashauriwa iurudi nyumbani kumenoga, GB7 kwa shilingi elfu 10 kwa mwezi. TTCL hoyeee!!! Nitadai kamisheni baadaye kutoka TTCL
TTCL wanalipa vizuri, 1000 wiki GB 1.2 dakika 10Vodacom na Tigo walikuwa na kifurushi cha @1000tsh dk 100, sms 100 na 1Gb 3days au kwa @1500 tsh kwa 7days.
Sasa hivi voda cha 3days wameweka 800MB na tigo 750MN.
Airtel ndio wameua zaidi in short jionee mwenyewe.
Najua serikali ina mkono au baraka zake hapa.
View attachment 1958946
View attachment 1958947
Haya maneno waambie watu wa Dar na TANGA.Ttcl? Hawana mvuto ni kama simu ya Tecno tu hata ikiwa nzuri ila haina fashion