Kampuni za wahindi zina vituko sana aisee

Kampuni za wahindi zina vituko sana aisee

kyanyangwe

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
1,275
Reaction score
3,316
Yaani bwana kuna kituko kimetokea hapa nikajisemea tu hawa wahindi na kampuni zao wanadhani kila mbongo ana njaa za kijinga.

Iko hivi, nimefanya interview na kampuni X, mchakato umeenda vizuri kuanzia mwanzo mpaka napangiwa kituo cha kazi huko mkoani. Kila nikiomba mkataba wa kazi naambiwa ntatumiwa nisiwe na presha.

Sasa jana nikawaambia siko tayari kufanya kazi bila mkataba, wakanitumia huo mkataba. Sasa cha ajabu huo
Mkataba badala ya kuwa umetoka kwa mwajiri wangu ambae ni kampuni X, cha ajabu mkataba umetoka kampuni Y ambae hata sijawahi kumuona wala kufanya nae mazungumzo ya aina yoyote, na mbaya zaidi huyo kampuni Y ni recruitment agent na eti naambiwa mshahara wangu atakua anaukata asilimia flani kama service fee.

Hapa nilipo niko zangu kwenye bus narudi home, mhindi anahaha kunipigia simu tuyajenge nimemwambia baki na kazi yako tu boss, ubabaishaji sitaki.
 
Yani bwana kuna kituko kimetokea hapa nikajisemea tu hawa wahindi na kampuni zao wanadhani kila mbongo ana njaa za kijinga.
Iko hivi,nimefanya interview na kampuni X,mchakato umeenda vizuri kuanzia mwanzo mpaka napangiwa kituo cha kazi huko mkoani.kila nilikua nikiomba mkataba wa kazi naambiwa ntatumiwa nisiwe na presha.
Sasa jana nikawaambia siko tayari kufanya kazi bila mkataba,wakanitumia huo mkataba.Sasa cha ajabu huo
Mkataba badala ya kuwa umetoka kwa mwajiri wangu ambae ni kampuni X,cha ajabu mkataba umetoka kampuni Y ambae hata sijawahi kumuona wala kufanya nae mazungumzo ya aina yoyote,na mbaya zaidi huyo kampuni Y ni recruitment agent na eti naambiwa mshahara wangu atakua anaukata asilimia flani kama service fee.
Hapa nilipo niko zangu kwenye bus narudi home,mhindi anahaha kunipigia simu tuyajenge nimemwambia baki na kazi yako tu boss,ubabaishaji sitaki.
Mambo ya erolink na customer services companies.

Safi mkuu tungekuwa wote tuko hivi taaluma zingeheshimika ila inasikitisha hapo atapatikana mwingine ambaye Yuko tayar kufanya kazi hata chini ya huo mshahara.
 
Mambo ya erolink na customer services companies.

Safi mkuu tungekuwa wote tuko hivi taaluma zingeheshimika ila inasikitisha hapo atapatikana mwingine ambaye Yuko tayar kufanya kazi hata chini ya huo mshahara.
Hujawahi kukamatwa na njaa , watoto wanalia njaa sijui Kama utasimamia upande Gani. Kwa kiufupi jamaa Yuko sawa kihela , angekuwa hata amekopa hela sijui Kama angeweza kuongea
 
Yaani bwana kuna kituko kimetokea hapa nikajisemea tu hawa wahindi na kampuni zao wanadhani kila mbongo ana njaa za kijinga.

Iko hivi, nimefanya interview na kampuni X, mchakato umeenda vizuri kuanzia mwanzo mpaka napangiwa kituo cha kazi huko mkoani. Kila nikiomba mkataba wa kazi naambiwa ntatumiwa nisiwe na presha.

Sasa jana nikawaambia siko tayari kufanya kazi bila mkataba, wakanitumia huo mkataba. Sasa cha ajabu huo
Mkataba badala ya kuwa umetoka kwa mwajiri wangu ambae ni kampuni X, cha ajabu mkataba umetoka kampuni Y ambae hata sijawahi kumuona wala kufanya nae mazungumzo ya aina yoyote, na mbaya zaidi huyo kampuni Y ni recruitment agent na eti naambiwa mshahara wangu atakua anaukata asilimia flani kama service fee.

Hapa nilipo niko zangu kwenye bus narudi home, mhindi anahaha kunipigia simu tuyajenge nimemwambia baki na kazi yako tu boss, ubabaishaji sitaki.
Afadhali wewe umeondoka kimyakimya,mimi nilishawahi kumshushia Mhindi mmoja tajiri mmoja wa kampuni hadi leo anasema toka azaliwe hajawahi kutukanwa na ngozi nyeusi km mimi
Alinifanyia madharau nami nikawa maskini jeuri
 
Yaani bwana kuna kituko kimetokea hapa nikajisemea tu hawa wahindi na kampuni zao wanadhani kila mbongo ana njaa za kijinga.

Iko hivi, nimefanya interview na kampuni X, mchakato umeenda vizuri kuanzia mwanzo mpaka napangiwa kituo cha kazi huko mkoani. Kila nikiomba mkataba wa kazi naambiwa ntatumiwa nisiwe na presha.

Sasa jana nikawaambia siko tayari kufanya kazi bila mkataba, wakanitumia huo mkataba. Sasa cha ajabu huo
Mkataba badala ya kuwa umetoka kwa mwajiri wangu ambae ni kampuni X, cha ajabu mkataba umetoka kampuni Y ambae hata sijawahi kumuona wala kufanya nae mazungumzo ya aina yoyote, na mbaya zaidi huyo kampuni Y ni recruitment agent na eti naambiwa mshahara wangu atakua anaukata asilimia flani kama service fee.

Hapa nilipo niko zangu kwenye bus narudi home, mhindi anahaha kunipigia simu tuyajenge nimemwambia baki na kazi yako tu boss, ubabaishaji sitaki.
Mambo ya ajabuuu kabisaa! Hao wanapaswa kushtakiwa.
 
Yaani bwana kuna kituko kimetokea hapa nikajisemea tu hawa wahindi na kampuni zao wanadhani kila mbongo ana njaa za kijinga.

Iko hivi, nimefanya interview na kampuni X, mchakato umeenda vizuri kuanzia mwanzo mpaka napangiwa kituo cha kazi huko mkoani. Kila nikiomba mkataba wa kazi naambiwa ntatumiwa nisiwe na presha.

Sasa jana nikawaambia siko tayari kufanya kazi bila mkataba, wakanitumia huo mkataba. Sasa cha ajabu huo
Mkataba badala ya kuwa umetoka kwa mwajiri wangu ambae ni kampuni X, cha ajabu mkataba umetoka kampuni Y ambae hata sijawahi kumuona wala kufanya nae mazungumzo ya aina yoyote, na mbaya zaidi huyo kampuni Y ni recruitment agent na eti naambiwa mshahara wangu atakua anaukata asilimia flani kama service fee.

Hapa nilipo niko zangu kwenye bus narudi home, mhindi anahaha kunipigia simu tuyajenge nimemwambia baki na kazi yako tu boss, ubabaishaji sitaki.
Mkuu unajielewa!
 
Hujawahi kukamatwa na njaa , watoto wanalia njaa sijui Kama utasimamia upande Gani. Kwa kiufupi jamaa Yuko sawa kihela , angekuwa hata amekopa hela sijui Kama angeweza kuongea
Ndio kazi ya pesa,,, ukiacha saula la kukupa uaezo wa kukojolea pazuri, pesa inapaswa kukusaidia to walk away fromsuch situations and people u dnt like
 
Sasa wewe ndio wanaume wa Tanzania wanao hitajika na taifa hili... Nimeona kuna baadhi ya wapuuzi wanasema umeacha kazi kwasababu huna njaa huna majukumu...
Ila niseme WaTz wengi wanafanya kazi za kisenge kwasababu ya kuendekeza njaa zao za muda mfupi...
Mungu akubariki sana hivi karibuni upate ajira ya uhakika...
 
Unaacha kaz unarud nyumbani kulala?...
Kula bure shida ipo wap bwana

Watanzania wengi ni walimbukeni sana wa kazi....

Wengine wataifanya vizur tu..

Wewe rudi nyumbani usubir kaz nzur yenye mkataba mzuri
 
Yaani bwana kuna kituko kimetokea hapa nikajisemea tu hawa wahindi na kampuni zao wanadhani kila mbongo ana njaa za kijinga.

Iko hivi, nimefanya interview na kampuni X, mchakato umeenda vizuri kuanzia mwanzo mpaka napangiwa kituo cha kazi huko mkoani. Kila nikiomba mkataba wa kazi naambiwa ntatumiwa nisiwe na presha.

Sasa jana nikawaambia siko tayari kufanya kazi bila mkataba, wakanitumia huo mkataba. Sasa cha ajabu huo
Mkataba badala ya kuwa umetoka kwa mwajiri wangu ambae ni kampuni X, cha ajabu mkataba umetoka kampuni Y ambae hata sijawahi kumuona wala kufanya nae mazungumzo ya aina yoyote, na mbaya zaidi huyo kampuni Y ni recruitment agent na eti naambiwa mshahara wangu atakua anaukata asilimia flani kama service fee.

Hapa nilipo niko zangu kwenye bus narudi home, mhindi anahaha kunipigia simu tuyajenge nimemwambia baki na kazi yako tu boss, ubabaishaji sitaki.
Good
 
Yaani bwana kuna kituko kimetokea hapa nikajisemea tu hawa wahindi na kampuni zao wanadhani kila mbongo ana njaa za kijinga.

Iko hivi, nimefanya interview na kampuni X, mchakato umeenda vizuri kuanzia mwanzo mpaka napangiwa kituo cha kazi huko mkoani. Kila nikiomba mkataba wa kazi naambiwa ntatumiwa nisiwe na presha.

Sasa jana nikawaambia siko tayari kufanya kazi bila mkataba, wakanitumia huo mkataba. Sasa cha ajabu huo
Mkataba badala ya kuwa umetoka kwa mwajiri wangu ambae ni kampuni X, cha ajabu mkataba umetoka kampuni Y ambae hata sijawahi kumuona wala kufanya nae mazungumzo ya aina yoyote, na mbaya zaidi huyo kampuni Y ni recruitment agent na eti naambiwa mshahara wangu atakua anaukata asilimia flani kama service fee.

Hapa nilipo niko zangu kwenye bus narudi home, mhindi anahaha kunipigia simu tuyajenge nimemwambia baki na kazi yako tu boss, ubabaishaji sitaki.
Fvck idiot Indians
 
Ok nazidi kukusanya Khabar

Ila makazini Kuna mengi

Nikikumbuka Niliambiwa nimeiba taa za godown mimi huyu!

Tunakutana sehem yule bibiye anamwambia mlinzi yule pale mwizi... Then asubuhii kanipigia simu!

Hajakaa sawa anahitaji nimwelekeze kufanya auditing ya stock zake!

Ni mengi siwezi andika hapa

Msione watu wanakosa watoto mengine ni karma for sure
 
Back
Top Bottom