Sax JF-Expert Member Joined Aug 16, 2015 Posts 3,578 Reaction score 6,740 Feb 14, 2025 #21 wahindi wanapitia magumu sana kwa hiki kizazi cha kisasa ule ubepari naona unaelekea tamati.
castieltsar JF-Expert Member Joined Jun 3, 2016 Posts 1,528 Reaction score 2,723 Feb 14, 2025 #22 safi kabisa raha ya hii dunia unapata unachostahili nakuombea kiongozi chakwako kije mapema ....
Poor Brain JF-Expert Member Joined Jul 5, 2019 Posts 19,644 Reaction score 40,546 Feb 14, 2025 #23 Kuna kampuni na mimi nilienda.. Hii ni kampuni ABC yaani wale mbwa wanajua kukuzingatia chakula tuu manina zaoooo. Yaani mda wa kula wapo radhi waje kukubeba kabisa ukale
Kuna kampuni na mimi nilienda.. Hii ni kampuni ABC yaani wale mbwa wanajua kukuzingatia chakula tuu manina zaoooo. Yaani mda wa kula wapo radhi waje kukubeba kabisa ukale
JOHNGERVAS JF-Expert Member Joined Mar 22, 2016 Posts 1,011 Reaction score 1,681 Feb 14, 2025 #24 Mimi nipo tayari hata wakate nusu mshahara kama service fee na hata bila mkataba nafanya t wala sinashida. Maisha ya huku mtaani unatamani hata upate chance ya kujitolea tu kwenye taasisi yoyote ili angalu nawe asubuhi utoke huko ndani
Mimi nipo tayari hata wakate nusu mshahara kama service fee na hata bila mkataba nafanya t wala sinashida. Maisha ya huku mtaani unatamani hata upate chance ya kujitolea tu kwenye taasisi yoyote ili angalu nawe asubuhi utoke huko ndani
jhope Senior Member Joined Nov 5, 2015 Posts 129 Reaction score 244 Feb 14, 2025 #25 Mbona husemi ni kampuni gani ama unawaogopa???
Pang Fung Mi JF-Expert Member Joined Nov 10, 2022 Posts 6,653 Reaction score 13,919 Feb 14, 2025 #26 🤣🤣🤣