KotelaMamba
JF-Expert Member
- Apr 8, 2020
- 701
- 1,241
Na kuwa na passport ni haki ya kila raia. Wanafanya urasimu na hawazitoi bure. 150k sio pesa ndogo.Bongo wanaona kuwa na passport ni anasa au ni kwa ajili ya wa watu fulani tu, akili zetu zimelala sana
Gari linaingilia wapi pale Mambo ya ndani Kama wwe siyo stuff wa pale!? Naomba ufafanuzi kidogo hapo unaposema ukienda na gari!!Copy wakati wa passport huwa ni ya nini?
anyway pale Mambo ya Ndani wako straight forward.
Hata hayo mambo yakukaguliwa mabegi sio kihivyo.
Nimeingia pale mara nyingi bila ukaguzi wowote hasa ukienda na gari. Sijawahi kukaguliwa.
Linaingia, Unaingilia main gate.Gari linaingilia wapi pale Mambo ya ndani Kama wwe siyo stuff wa pale!? Naomba ufafanuzi kidogo hapo unaposema ukienda na gari!!
Kuna Nyaraka niliiambatanisha katika Fomu ya Ombi ya Pasipoti Mpya ( Electronic ) ndipo nikatakiwa kwenda Nje kutoa Copy ndipo nikakumbana na hili la Copy Moja tu ya Kawaida ( siyo Coloured ) kuwa ni Tsh 500/= kwa Ukurasa ( Page )Sijui kwa kweli, nimewahi kwenda Uhamiaji kurasini Mara moja tu.
Ila mara nyingine zote nimeenda pale Mambo ya Ndani hawana mambo mengi.
Ukiingia pale maingate kuna askari police wanaofungua geti kwa remote.
Ukiingia na Begi utalipitisha kwenye ile scanner yao upande wako wa kulia. Na utaendelea na mambo yako.
Pale mlango wa uhamiaji utajaza lile daftari lao basi.
Kwa kweli hakuna mambo mengi pale.
Ila bado hujanijibu kitu, hizo photocopy kwenye kuchukua/kulipia/kuprocess passport huwa ni kwa ajili ya nini?
Pole sana.Kuna Nyaraka niliiambatanisha katika Fomu ya Ombi ya Pasipoti Mpya ( Electronic ) ndipo nikatakiwa kwenda Nje kutoa Copy ndipo nikakumbana na hili la Copy Moja tu ya Kawaida ( siyo Coloured ) kuwa ni Tsh 500/= kwa Ukurasa ( Page )
Stationery yenyewe inatazamana perpendicular na Geti Kuu la Kuingia UHAMIAJI Kurasini utakikuta Kidada Kimoja kina Nyodo fulani hivi ( japo ana Sura mbaya ) na kuna Kijana Mmoja ana Pua Kubwa na Kichwa Kikubwa pengine ndiyo maana hana Akili na ana Roho Mbaya ile.
Nina hasira nao sana hawa Wapuuzi.
Na ndio maana tunasema idara nyingi za serikali wapewe wawekezaji tu!kwa sababu wazawa wengi ni weziwatanzania ni watu wa ajabu sana wanapenda sana kutumia shida za watu kujiingizia kipato kisicho halali
mfano hapo kwenye kopi ya tsh 100 wao wanafanya tsh 500 na wanajua watawapata wengi,ujinga huo huo ulikuwepo Police pale ukienda kutafuta loss report
nchi imejaa laana hii watu wanawanyonya watu pesa isiyo halali na ndio mana shida haziishi 😎
Yaani hapa pia kuna TRA , TRC,ATCL,UDART napendekeza hivyo vyote wapewe wawekezaji maana wabongo wameshindwa kabisa hawa huko kote ni mapicha picha tuu , wanawaza wizi na uhujumu pamona na uzembe na uvivuMkuu hivi wale DP hawawezi kweli kutuendeshea uhamiaji,maana sisi ndio kama hivyo atuwezi kujiendesha,mtu akipata cheo anataka kuwa Mungu mtu na kuwaanyosha watanzania wenzake
Kulipuka kichaa ndio huanza hivyo hivyoEti mkuu wa uhamiaji atoe tamko la kupunguza gharama ya kopi kwenye biashara binafsi za Watanzania[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Hii ndio product ya Vyuo vya hovyo kama SAUT
Huko Mirembe Mental Hospital ningeshauri ungeanza Kwanza kuwapeleka Wazazi wako wenye hilo Tatizo Sugu ambalo nawe Umezaliwa nalo.Kulipuka kichaa ndio huanza hivyo hivyo
Badalabya kwenda kuwaomba wenye photocopy machine wampunguzie bei anaenda kwa kamishina wa uhamiaji
Mwenye namba ya simu ya Hospitali ya vichaa Mirembe ampe mleta mada yaweza msaidia amwambie aongee nao
Chuo ambacho sio cho hovyo ni kipi? Naomba usinitajie UDSM tafadhariKulipuka kichaa ndio huanza hivyo hivyo
Badala ya kwenda kuwaomba wenye photocopy machine wampunguzie bei anaenda kwa kamishina wa uhamiaji
Mwenye namba ya simu ya Hospitali ya vichaa Mirembe ampe mleta mada yaweza msaidia amwambie aongee nao
Kaangalie rank za vyuo bora duniani na Africa ambavyo wasomihu vi rankChuo ambacho sio cho hovyo ni kipi? Naomba usinitajie UDSM tafadhari
Mbona humwambii Kazi yako Kubwa hapo UVCCM ni Kusafisha Vyoo vinavyotumiwa na Makada na Mabosi zako?Kaangalie rank za vyuo bora duniani na Africa ambavyo wasomihu vi rank
Nenda Google utapata majibu sio nikujibu mimi .Kazi ya ku rank hufanywa na taasisi za kitaalamu sio.mimi na wewe nenda katizame huko utajua kila chuo kikiwemo.UDSM au SAUT ni cha ngapi duniani au Afrika kwa ubora
Kubali tu kichwani hazimoMkuu huyo yuko UVCCM na bahati nzuri hajui kuwa namjua vyema tu na sasa namtafutia timing ajae vizuri nimuumbue.
Kwa aina ya arguments zake hapa JamiiForums unaona ni Mtu aliyesoma Kweli?
Yuko UVCCM na ni Msafisha Vyoo wao.
Cc: YEHODAYA
Leo Makada wa CCM na UVCCM hawajachafua Vyoo unavyoviosha ( 24/7 ) ili nikutafutie Tenda ya Kusafisha Vyoo Kwingineko?Kubali tu kichwani hazimo
Huwezi kwenda kwa kamishina wa uhamiaji na hoja ya eti apunguze bei ya photocopy ya wafanyabiashara binafsi kutoka mia tano hadi 100 au 50
Kubali tu akili zilikuruka ukakumbula Milembe hospitali ulikowahi kulazwa akili ikakutuma kwa kamishina
Wabongo ukitaka wafanye kazi kwa ufanisi mkubwa sana,wwe wawekee Mtu mweupe Kama ndiyo msimamizi Mkuu,hapo Wabongo watapiga kazi sana kwa kumuogopa white skin color!!Yaani hapa pia kuna TRA , TRC,ATCL,UDART napendekeza hivyo vyote wapewe wawekezaji maana wabongo wameshindwa kabisa hawa huko kote ni mapicha picha tuu , wanawaza wizi na uhujumu pamona na uzembe na uvivu
Yaan miradi ya uma inatajirisha watu wachache halafu serikali inaambiwa eti mashirika mengi yanajiendesha kwa hasara ushenzi huu! Tuwape wawekezaji tuu kila kitu.Wabongo ukitaka wafanye kazi kwa ufanisi mkubwa sana,wwe wawekee Mtu mweupe Kama ndiyo msimamizi Mkuu,hapo Wabongo watapiga kazi sana kwa kumuogopa white skin color!!
Kwa hiyo unataka kusema wwe kwenda kule uhamiaji ndani kufuata passport ukija na gari yako unatumia gate la ma stuff including IGP kuingia ndani!!??Linaingia, Unaingilia main gate.
Baada ya Exim bank