Kamtongoza Mke wangu, nikamla mke wake

Kamtongoza Mke wangu, nikamla mke wake

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]aisee hizi comments wa wakuu zinafurahisha mnoooo daah siku yangu inaenda kuisha vzuriii


😃😃😃

Hapa utajua waliozoea kuchapiwa wake zao wanafikiri kila mtu Duniani anapitia Kama wao
 
Mabaunsa wengi siku hizi ndio mashoga,huo ubaunsa ni wakuzugia tu ila malinda hawana.
Hizi kauli zako za kibabe,kishujaa na kitemi nazifananisha na mbinu za kibaunsa tu ili kuzuga watu ila wajanja wanaelewa kilichopo kati kati ya hiyo mikwara mbuzi.
 
Boss kwa swaga hizi utakuwa unagongewa sana trust me. Nilifikiri mkeo alikwambia kwamba jamaa anamtongoza, kumbe wewe ndio ulifumania mkonyezo. Huwezi jua labda almkonyeza kumkumbusha asisahau ahadi ya kukutana tena loji kama kawaida yao.
Hii ndio JF raha tupu[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
 
Habari Wakuu!

Moja Kwa moja kwenye Uzi!

Kuna kajamaa kana fanya kazi pale Hazina, ninakaa mtaa mmoja nako, kalianza mazoea na Mke wangu, kana mchekea chekea,
Kama mshobokea, na kujifanya kana-Care. Sasa hakakujua kanadili na Jokajeusi lisilo na huruma, lenye hila za kiwango cha lami.

Nili
Unagongewa ww boya acha maneno mengi kutuaminisha
 
Mi wa kijijini mzee, nampiga wife wako machine mpaka anazima, yani mi nikimtaka mwanamke simkosi awe mke wa nani walah, january nakuja Dar lazima nimtanue mkeo, sitaki tujuane we nipe namba ya mkeo. Ndo utajua hujui
Ushakula kina Mobetto na mastaa kibao we jamaa masta
 
Bro nilikua nnawasiwasi umepita na wife naona umenithibitishia sasa we mwenyewe. Naomba uendelee tu maana saivi ananiheshimu sana, anahisi mimi najua chochote. We faidi mautamu ya wife [emoji23]
 
Hongera sana una roho mbaya kama yangu. Kuna zoba alipigia simu mke wangu saa 4 ya usiku akaanza tongoza. Jamaa anaishi Musoma kikazi na yeye kaoa. Nilichofanya nilimuuliza wife huyo nani akanijibu fulani.

Nilitumia njia za kigaidi nikazama mitandaoni kumtafuta, nikafika Meta nikacheck profile yake nikaona ana mke, nikamcheck mkewe tukaanza chart haikupita mwezi nikamvuta Dar nikaja kumuulia mtaani kwetu. Kwa sababu yeye alikuwa ajui nini kinachoendelea wala hakupinga kupiga picha za mahaba. Kumpa onyo nikamtumia yule bwege picha moja ya mkewe akiwa peke yake kitandani.

Nilichoshangaa jamaa kawa mkali kama pilipili, nikacheka saaaana.
 
Hongera sana una roho mbaya kama yangu. Kuna zoba alipigia simu mke wangu saa 4 ya usiku akaanza tongoza. Jamaa anaishi Musoma kikazi na yeye kaoa. Nilichofanya nilimuuliza wife huyo nani akanijibu fulani.

Nilitumia njia za kigaidi nikazama mitandaoni kumtafuta, nikafika Meta nikacheck profile yake nikaona ana mke, nikamcheck mkewe tukaanza chart haikupita mwezi nikamvuta Dar nikaja kumuulia mtaani kwetu. Kwa sababu yeye alikuwa ajui nini kinachoendelea wala hakupinga kupiga picha za mahaba. Kumpa onyo nikamtumia yule bwege picha moja ya mkewe akiwa peke yake kitandani.

Nilichoshangaa jamaa kawa mkali kama pilipili, nikacheka saaaana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]oneni na huyu fala mwingine .....mna brag ufala tu
 
Back
Top Bottom