KAMUSI
"Vijana ndio kundi lenye nguvu za kufanya kazi ndio maana wanaitwa nguvu kazi ya Taifa, ni watu wenye ubunifu, watu wenye uthubutu na ujasiri na ndio waliobeba maono ya Taifa kwa sasa na siku zijazo" - Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan
Asante Mama kwa imani hii kwetu vijana, hakika mapenzi yako kwa vijana yanakwenda sambamba na vitendo vya serikali ya awamu ya 6 kwa vijana. Miradi yote ya Maendeleo inagusa vijana, Mikopo ya Halmashauri, Mradi wa Kilimo wa BBT, Vyuo vya Ufundi na Ruzuku ya Mbolea. Asante Mhe. Rais, vijana Hatukudai.
Tufuatilie kupitia kurasa zetu kwenye mitandao ya kijamii kwa jina la @kamusi_halisi
#WikiYaVijana
#TukutaneMwanza
#KamusiYaMaendeleo
"Vijana ndio kundi lenye nguvu za kufanya kazi ndio maana wanaitwa nguvu kazi ya Taifa, ni watu wenye ubunifu, watu wenye uthubutu na ujasiri na ndio waliobeba maono ya Taifa kwa sasa na siku zijazo" - Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan
Asante Mama kwa imani hii kwetu vijana, hakika mapenzi yako kwa vijana yanakwenda sambamba na vitendo vya serikali ya awamu ya 6 kwa vijana. Miradi yote ya Maendeleo inagusa vijana, Mikopo ya Halmashauri, Mradi wa Kilimo wa BBT, Vyuo vya Ufundi na Ruzuku ya Mbolea. Asante Mhe. Rais, vijana Hatukudai.
Tufuatilie kupitia kurasa zetu kwenye mitandao ya kijamii kwa jina la @kamusi_halisi
#WikiYaVijana
#TukutaneMwanza
#KamusiYaMaendeleo