Kamusi ya kichaga cha Marangu kwenda kiswahili

Kuna ndege mnyama na ndege eroplen
 
Haitusaidii kitu, naona ni utapeli tu mwingine wa Kichagga
 
Hivi kuna lugha bora duniani kama kiarabu!! Matamshi yake tu unapenda kuyasikiliza 😃

Kiswahili ni lugha yangu, ila linapokuja suala la kuchagua lugha ipi bora na inaongelewa na mataifa mengi duniani basi nitachagua Arabic language
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…