darubin ya mbao
JF-Expert Member
- Aug 3, 2016
- 1,899
- 4,055
Tangazo limekaa poa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muziki na dawaMbona lipo na tangazo la biashara?
Nimekupenda bureMuziki na dawa
Kuna majina mengine ya samaki ambayo hutumika sehemu za Kanda ya Ziwa lakini watu wa Pwani wakasema ni matusi. Yupo samaki anaitwa Nembe. Watu wa Pwani kwa kuchelea kutamka jina hilo wakawaita Matusi ya Mwanza.Ndugu ndo wanaita hivyo mi mwenyewe nilishangaa! Utanihukumu bure tu Ila huyo samaki ndugu yupo!
Hapana. Matusi ya Mwanza ni samaki aina ya Nembe. Kwa kuchelea kulitamka jina hilo, watu wa Pwani wakawaita hivyo. Gogogo ana mwiba mmoja mkali sana pale mgongoni kwake.gogogo A.K.A matusi ya mwanza
Domodomo ana kimdomo chembamba na kirefuKuna aina nyingi za samaki toka Ziwa Victoria ambao ama wamepotea ama upatikanaji wake umekuwa wa nadra. Baadhi yao ni Domodomo, Soga, Nkuyu, Ghombhengobhe na wengineo ambao nikikumbuka majina yao nitayaleta hapa ili kuongeza majina ya samaki tulio nao.
Mgebuka nao waitwaje kigeniKibua kwa Kingereza mackerel fishView attachment 1617863
Supu yake tamu sanaNimesikia harufu kabisa