Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes, namjua mwana, kufuani akivuliwa anakuwa na kitu kama chekecheMkuu Bujibuji ... Kuna huyu samaki anaitwa Songoro .... wanatumika Sana kwenye mishikaki ya samaki ... No mtamu Sana akichomwa
Lates stappersii, The Sleek latesMgebuka nao waitwaje kigeni
Kaka yupo huyo samaki ni mtamu balaa ana mwiba wa kati tu hivi
Weka picha yakeKuna samaki anaitwa boro la mvuvi nan anamjua
Swadakta
Unachokitafuta utakipata [emoji23][emoji23]Kuna mmoja anafanana na John naomba picha yake, mwalimu kashasha....
Comments zako nazifuatilia sana
YesEti nguva sio samaki mtu ila ng'ombe Bahari, amazing fact
SawaEti nguva sio samaki mtu ila ng'ombe Bahari, amazing fact
Yes.Bujibuji kuna hawa samaki wanaitwa tasi, ndo wale wana mwiba mmoja tu katikati ,?View attachment 1750870