Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
-
- #61
View attachment 2073605View attachment 2073606
Huyu anaitwa Kikande, wajuzi wa samaki humuita sharifu.
Samaki huyu ana ngozi ngumu na huwezi kumla hadi umchune ngozi yake.
Samaki huyu ni mtamu sana na ni mnofu mtupu
Basi tumbadilishe jinaSitaki Samaki aitwe Changu.
Ukipata picha ya kikande mkubwa itakuwa vyema sana
Sijamuona Taa
Aisee.View attachment 2073605View attachment 2073606
Huyu anaitwa Kikande, wajuzi wa samaki humuita sharifu.
Samaki huyu ana ngozi ngumu na huwezi kumla hadi umchune ngozi yake.
Samaki huyu ni mtamu sana na ni mnofu mtupu
Samaki wana mengiAisee.
Asante kwa elimu, ndiyo najua leo kuna samaki haliwi mpaka achunwe ngozi
Ningu sio mberere.View attachment 2091078
Huyu samaki anaitwa Ningu na sehemu nyingine huitwa Mberere. Ni samaki mwenye miiba mingi kwenye minofu yake.
Miiba yake imekaa kama herufi Y, ni mtamu sana, ila kwa wakazi wa mwambao wa ziwa Victoria, samaki hawa kwa sasa wamepotea sana, kwani ni chakula pendwa cha sangara.
Samaki Fuso TandamMeli ni jamii ya samaki gani