ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Sio nyie tu hata wengine wamepigwa hicho kifurushiSimba sio wa kipigwa goli 5 na utopolo.watu walibet. Wakaweka over 4.5.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio nyie tu hata wengine wamepigwa hicho kifurushiSimba sio wa kipigwa goli 5 na utopolo.watu walibet. Wakaweka over 4.5.
Amesema LOGO ni yenu kweli , lakini Hata zile 5 ni za kwenu.Jibu lipo wapi?
Umecomment uchafuSawa ni haki yao kufanya wanachokifanya Lakini sikuona sababu ya Yanga kufanya hiki wanachokifanya Maana hizi timu huwa zinapokezana vipigo . Ipo siku upande wa pili nao utajibu mapigo wataifunga yanga na simba watafanya kero ambazo zinaweza sababisha Yanga wajutie walichokianzisha wao.
Hovyo..Nyie hamjui sheria na sheria ni pana sana na kwenye sheria kila mtu ana specialization yake ni kama kwenye udaktari vile yaani leo hii ukimchukua tundu lisu kwenye mambo ya mpira licha ya kujua sheria ila atatoka patupu wanasheria wanaohojiwa hawajui chochote kuhusu football kuna kitu kinaitwa psychological torture yaani hapo simba wakiamua yanga hatoboi kuna mtu nakumbuka alikuwa na kesi ya kusimamishwa kazi kisheria sehemu anayofanyia kazi licha ya kulipwa stahiki zake zote ila alifungua kesi na akashinda ya psychological torture sheria ni pana labda simba watumie busara tu ila wakiamua ngoma inakuwa ngumu hyo sio utani ni uzwazwa.
5 za mchongo?mpaka manula abet ndo mshinde.Sio nyie tu hata wengine wamepigwa hicho kifurushi