Kamwe Kanisa Katoliki haliwezi badilisha msimamo kwa unafiki wa Imani kwa yeyote yule iwe jana, leo na hata milele

Kamwe Kanisa Katoliki haliwezi badilisha msimamo kwa unafiki wa Imani kwa yeyote yule iwe jana, leo na hata milele

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Hello JF

Ifahamike ya kwamba kanisa la Mungu aliye wa kweli Kanisa Katoliki kamwe halina tamaduni ya unafiki na kumuogopa awaye yeyote yule katika kusimamia ukweli na Imani ya Mungu wetu wa mbinguni na asitokee chawa ama ngedere awaye yeyote yule ama tumbili ama kambale ama kajoka kokote kale.

Kanisa Katoliki ni kanisa la Mungu aliye hai jana Leo na hata milele.

Masikio yapo, macho yapo midomo ipo na mikono ipo hata maruhani, majini na mashetani wana viungo.

Shukrani ni hayo tu

Wadiz
 
".. na asitokee chawa ama ngedere awaye yeyote yule ama tumbili ama kambale ama kajoka kokote kale." 🤣🤣
 
"Hakuna anaeweza kutunishiana misuri na serikali kwenye kuwagawa watanzania"

Tafsiri ya kimtaani
"Acheni unoko watu tushakula kibunda ndefu hatuwezi warudishia kama vipi tupambane kihuni"
 
Kabisa mkuu, enjoy kwa afya yako. Iuna ya kujifunza na kuchekesha pia.
Binafsi nimecheka hapo tu PhD zinapoanza kutoa matusi. Najiuliza kunani tena?!!!!!!
🤣🤣 all in all i leqrn in this situation is that our leadees they need to be wazqlendo money is just something to pass
 
Hello JF

Ifahamike ya kwamba kanisa la Mungu aliye wa kweli Kanisa Katoliki kamwe halina tamaduni ya unafiki na kumuogopa awaye yeyote yule katika kusimamia ukweli na Imani ya Mungu wetu wa mbinguni na asitokee chawa ama ngedere awaye yeyote yule ama tumbili ama kambale ama kajoka kokote kale.

Kanisa Katoliki ni kanisa la Mungu aliye hai jana Leo na hata milele.

Masikio yapo, macho yapo midomo ipo na mikono ipo hata maruhani, majini na mashetani wana viungo.

Shukrani ni hayo tu

Wadiz
Usitake kudanganya watu. Fitina za kanisa katoliki ndiyo chanzo cha mauaji ya Kimbari Rwanza, hata francis amekiri hayo:

Makala hii ni zaidi ya miaka 6

Papa Francis aomba msamaha kwa kuhusika kwa kanisa katika mauaji ya kimbari Rwanda​


Papa Francis amekiri baadhi ya mapadri wa Kikatoliki na watawa 'wameshindwa na chuki na vurugu' kwa kushiriki katika mauaji ya mwaka 1994.

Harriet Sherwood Religion correspondent
@harrietsherwood
Mon 20 Mar 2017 17.39 GMT

Papa Francis ameomba msamaha kwa kuhusika kwa kanisa katoliki katika mauaji ya kimbari ya Rwanda ya mwaka 1994, ambapo watu 800,000 waliuawa katika siku 100 za ghasia. "Dhambi na kushindwa kwa kanisa na waumini wake" "vimeuharibu uso" wa Ukatoliki, alisema.
Akizungumza baada ya kukutana na rais wa Rwanda, Paul Kagame, Vatican imekiri kuwa baadhi ya mapadre na watawa wa Kanisa Katoliki "wamejipata katika chuki na vurugu" kwa kushiriki katika mauaji ya kimbari.

Chanzo: Pope Francis asks for forgiveness for church's role in Rwanda genocide
 
Usitake kudanganya watu. Fitina za kanisa katoliki ndiyo chanzo cha mauaji ya Kimbari Rwanza, hata francis amekiri hayo:

Makala hii ni zaidi ya miaka 6

Papa Francis aomba msamaha kwa kuhusika kwa kanisa katika mauaji ya kimbari Rwanda​


Papa Francis amekiri baadhi ya mapadri wa Kikatoliki na watawa 'wameshindwa na chuki na vurugu' kwa kushiriki katika mauaji ya mwaka 1994.

Harriet Sherwood Religion correspondent
@harrietsherwood
Mon 20 Mar 2017 17.39 GMT

Papa Francis ameomba msamaha kwa kuhusika kwa kanisa katoliki katika mauaji ya kimbari ya Rwanda ya mwaka 1994, ambapo watu 800,000 waliuawa katika siku 100 za ghasia. "Dhambi na kushindwa kwa kanisa na waumini wake" "vimeuharibu uso" wa Ukatoliki, alisema.
Akizungumza baada ya kukutana na rais wa Rwanda, Paul Kagame, Vatican imekiri kuwa baadhi ya mapadre na watawa wa Kanisa Katoliki "wamejipata katika chuki na vurugu" kwa kushiriki katika mauaji ya kimbari.

Chanzo: Pope Francis asks for forgiveness for church's role in Rwanda genocide
Kwa hio genocide inhusika vipi hapa labda uzungumzie wala tumbili waliojaribu amani ya Nchi kule rufiji, kibiti na mkuranga
 
Kanisa Katoliki likishatoa tamko, ndiyo imetoka hiyo. Wahusika watachagua wenyewe kusuka au kunyoa. Ila kwa upande wa Kanisa, tayari linakuwa limeshatimiza wajibu wake.
 
Hello JF

Ifahamike ya kwamba kanisa la Mungu aliye wa kweli Kanisa Katoliki kamwe halina tamaduni ya unafiki na kumuogopa awaye yeyote yule katika kusimamia ukweli na Imani ya Mungu wetu wa mbinguni na asitokee chawa ama ngedere awaye yeyote yule ama tumbili ama kambale ama kajoka kokote kale.

Kanisa Katoliki ni kanisa la Mungu aliye hai jana Leo na hata milele.

Masikio yapo, macho yapo midomo ipo na mikono ipo hata maruhani, majini na mashetani wana viungo.

Shukrani ni hayo tu

Wadiz
Baba mtakatifu shoo mtumishi wa kanisa la kkkt alisema kuwa mwanzo wa jambo hili la bandari walienda viongozi wa dini zote tena wakiongozwa na bakwata na kanisa la Kiroma mpaka ikuru wanakutana na rais wakampa mapendekezo yao kuhusu kasolo zilizomo kwenye mkataba na rais kahaidi kuwapa wataalamu wake kisha walifanyie

Kitendo cha kanisa la roma kugeuka na kujifanya hawataki mkataba huo huo ni uhuni sababu mwanzo walikubali ndio maana baba mtakatifu shooo hakutaka kuwa mnafiki shikamoo baba mtakatifu askofu shooo kwa kuwa mkweli wewe sio mnafq
 
Baba mtakatifu shoo mtumishi wa kanisa la kkkt alisema kuwa mwanzo wa jambo hili la bandari walienda viongozi wa dini zote tena wakiongozwa na bakwata na kanisa la Kiroma mpaka ikuru wanakutana na rais wakampa mapendekezo yao kuhusu kasolo zilizomo kwenye mkataba na rais kahaidi kuwapa wataalamu wake kisha walifanyie

Kitendo cha kanisa la roma kugeuka na kujifanya hawataki mkataba huo huo ni uhuni sababu mwanzo walikubali ndio maana baba mtakatifu shooo hakutaka kuwa mnafiki shikamoo baba mtakatifu askofu shooo kwa kuwa mkweli wewe sio mnafq
Hujielewi huyo Bibi yenu anachokitaka Mungu atampa kwa namna ileile Tanganyika sio ya mashetani
 
Back
Top Bottom