Kamwe: Simba ijifunze Kwa Yanga jinsi ya kumchapa Mwarabu

Mkuu Sasa unadhani kwann huyu wa klabu bingwa ana ng'ang'aniwa na waarabu
Hata Al Ahly, Zamalek, Ismailia, JS Saoura, Al Harrach, El Merrikh, RS Berkane nao ni waarabu, na wote hao wamekufa kwa Mkapa. Unataka sample ipi ya Waarabu zaidi unayosema imewang'ang'ania Simba?
 
Huyu njiti utapiamlo unamsumbua. Hapa Taifa
Js Soura alikula tatu
Al shandy tatu
Al harrach tatu
Arab contractor mbili
Al ahly moja
Zamalek moja
Hiyo juzi raja kuotea ndiyo kimeamua kitingishe matako kama kijehu!!
 
Zero brain

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Hawa vilaza ushamba na ulimbukeni unawasumbua sana

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Huyu njiti utapiamlo unamsumbua. Hapa Taifa
Js Soura alikula tatu
Al shandy tatu
Al harrach tatu
Arab contractor mbili
Al ahly moja
Zamalek moja
Hiyo juzi raja kuotea ndiyo kimeamua kitingishe matako kama kijehu!!
Mechi Gani Simba kashinda au draw ugenini Kwa warabu
 
Ww sisi hatukujui kwenye chama letu la mnyama.. [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Kwa mechi ngapi huyo Yang'a ambazo wamecheza mpk Simba ijifunze
Mm npo mkuu....muulize broo popoma[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…