Kamwe tusiaminishane upuuzi wa Wahuni! Nchi inajengwa na sisi

Kamwe tusiaminishane upuuzi wa Wahuni! Nchi inajengwa na sisi

Na fedha hazijawahi kuwa ndio chanzo cha maendeleo.
Tunachopata tunapokopa ni fedha tu.
Na kukopa ni pale inapolazimu.
Sio kukopa kopa kopa kopa tuuuu.
Tunaitengeneza zenji ya kibluuu ili iwe kama dubai
 
Tozo iongezeke bila transparency hapana!

Tozo iwe kama mfumo wa Forex tuweze kuona kilichokusanywa daily in realtime.
Kwenye web ya BOT kama ambavyo zile bei za USD, GBP, CAD zinavyodisplay kwenye web za benki zingine.
Wakifanya hivyo hawataweza kutupiga ili wakanunulie ma v8888
 
Jasho la watanzania limeshindwa kuleta maendeleo miaka 60 uhuru, itawezaje leo? Tatizo siyo kujitegemea tatizo ni ujamaa na kujitegemea ndiyo sera zilizofeli. Mnataka elimu ya bure, mnataka matibabu ya bure, mnataka miundo mbinu ijengwe, mnataka ajira serikalini, mnataka viinua mgongo na pensheni mkistaafu, mnataka majeshi makubwa, polisi wengi, mnataka serikali iwafanyie kila kitu, mnataka big government. Halafu mnazaliana kiholela kama sungura. Mtajitegemea vipi kwa hali hiyo?
Hata kujitegemea hutaki ndugu? Sasa utakuwa tafa huru kweli kama hutaki kujitegemea...si utakuwa taifa dangaji?
 
Inawezekana kabisa washauri na actors mbalimbali ndani ya Serikali kwa sasa ni waamini wa mikopo. They might have good sweeter arguments for now.
Lakini wazalendo wa kweli tutabaki na msimamo wetu.
Ni upuuzi kutegemea walami kutuneemesha watanzania... Hii ni fallacy.

Jingalao atasimama daima kwenye Sera za kujitegemea na sio upuuzi mwingine.

Nilisimama kipindi cha JK, Magufuli na sasa Samia.

I will never change on this.
Nipo tayari tozo iongezwe kama inahitajika lakini si mikopo ya kuhuni!!!

Maendeleo yataletwa na jasho la watanzania and not otherwise tusidanganye,tusidanganywe na kamwe tusichekelee misimamo mibovu.

Nchi hii itajengwa,italindwa na kustawishwa na watanzania.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Hueleweki....mmejipiga na kitu kizito
 
JK kambarage au JK Kikweye? Kama ni kikwete alikuwana sera gani nzuri ya kujitegemea kama taifa? Zaidi ya kutalii huku na huko kuomba omba na kukopa pesa.
Ndio Mimi nikamjibu kuwa haeleweki
 
Inawezekana kabisa washauri na actors mbalimbali ndani ya Serikali kwa sasa ni waamini wa mikopo. They might have good sweeter arguments for now.
Lakini wazalendo wa kweli tutabaki na msimamo wetu.
Ni upuuzi kutegemea walami kutuneemesha watanzania... Hii ni fallacy.

Jingalao atasimama daima kwenye Sera za kujitegemea na sio upuuzi mwingine.
Watu aina yenu mnaishi kwenye utopia! Hata huyo Mwalimu ambae ndie Mwasisi wa Kujijitegemea, nae alikuwa anakopa! Hata hizo nchi tajiri hadi kesho zinakopa!! Issue sio kukopa bali unakopa mkopo wa aina gani na kwa matumizi gani!!Taifa maskini kama Tanzania linatakiwa kujihadhali sana na mikopo ya kibiashara! Kwa bahati mbaya sana, Mpendwa wenu alikuwa ndie mfuasi wa Mikopo ya Kibiashara kwa sababu alifahamu kwa staili ya uongozi wake, taasisi kama IMF zingekuwa zinamfungia vioo au inawezekana alidhani mikopo ya mabeberu ni ile inayotoka IMF na Benki ya Dunia lakini mikopo kutoka private sectors kama vile Standard Chartered Bank, hiyo sio ya mabeberu!
 
Jasho la watanzania limeshindwa kuleta maendeleo miaka 60 uhuru, itawezaje leo? Tatizo siyo kujitegemea tatizo ni ujamaa na kujitegemea ndiyo sera zilizofeli. Mnataka elimu ya bure, mnataka matibabu ya bure, mnataka miundo mbinu ijengwe, mnataka ajira serikalini, mnataka viinua mgongo na pensheni mkistaafu, mnataka majeshi makubwa, polisi wengi, mnataka serikali iwafanyie kila kitu, mnataka big government. Halafu mnazaliana kiholela kama sungura. Mtajitegemea vipi kwa hali hiyo?
Na huu ndio ukweli wenyewe.
 
Jasho la watanzania limeshindwa kuleta maendeleo miaka 60 uhuru, itawezaje leo? Tatizo siyo kujitegemea tatizo ni ujamaa na kujitegemea ndiyo sera zilizofeli. Mnataka elimu ya bure, mnataka matibabu ya bure, mnataka miundo mbinu ijengwe, mnataka ajira serikalini, mnataka viinua mgongo na pensheni mkistaafu, mnataka majeshi makubwa, polisi wengi, mnataka serikali iwafanyie kila kitu, mnataka big government. Halafu mnazaliana kiholela kama sungura. Mtajitegemea vipi kwa hali hiyo?
Halija shindwa mkuu serikali siyo rafiki kwa wa tz maana ukitaka tz ibadirike haraka,wawawezeshe kwenye kilimo na masoko yake watz. Maana aslimia 90 wanaishi mashambani,mkuu baada ya 10yrs tz haitakuwa hivi.
 
Matajiri wengi wana kopa, we fanya savings zako kuna mtu ana akili ya kuchukua hiyo pesa na kuizungusha na kupata faida na akarudisha na riba. Sioni ubaya. Sasa reli ya matrillions uta tegemea tozo? Tozo zenyewe watu wana lalamika kila siku. Watanzania sijui tuna taka nini. Makodi na makato kibao kwa wafanyakazi wa uma alafu nyie wengine hamtaki kulipa kodi
 
Inawezekana kabisa washauri na actors mbalimbali ndani ya Serikali kwa sasa ni waamini wa mikopo. They might have good sweeter arguments for now.
Lakini wazalendo wa kweli tutabaki na msimamo wetu.
Ni upuuzi kutegemea walami kutuneemesha watanzania... Hii ni fallacy.

Jingalao atasimama daima kwenye Sera za kujitegemea na sio upuuzi mwingine.

Nilisimama kipindi cha JK, Magufuli na sasa Samia.

I will never change on this.
Nipo tayari tozo iongezwe kama inahitajika lakini si mikopo ya kuhuni!!!

Maendeleo yataletwa na jasho la watanzania and not otherwise tusidanganye,tusidanganywe na kamwe tusichekelee misimamo mibovu.

Nchi hii itajengwa,italindwa na kustawishwa na watanzania.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Tuongeze tozo na Kodi? Utarudi hapa na Uzi wa kilio, kwa hiyo america, ulaya na Asia wanaokopa ni wajinga? Sisi ndio tuna akili? Kwa makusanyo ya trilioni 1.5 ufanye miradi ya trilioni 50? Ulipe Mishahara, ununue mafuta ya magari, dawa hospitali, ujenge shule na zahanati, madawa.....
 
Back
Top Bottom