Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Ccm imefeli na kama taifa lazima tuchukue maamuzi sahihi kwa wakati ili kuliokoa taifa letu.Tuko pamojaa
Muda ni sasa wa kuiondoa ccm madarakani maana imeshindwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm imefeli na kama taifa lazima tuchukue maamuzi sahihi kwa wakati ili kuliokoa taifa letu.Tuko pamojaa
Tunaitengeneza zenji ya kibluuu ili iwe kama dubaiNa fedha hazijawahi kuwa ndio chanzo cha maendeleo.
Tunachopata tunapokopa ni fedha tu.
Na kukopa ni pale inapolazimu.
Sio kukopa kopa kopa kopa tuuuu.
Huyo ni sukuma gangMbona hatujakuona ukijitokeza kumtetea Ndugai??
Wakifanya hivyo hawataweza kutupiga ili wakanunulie ma v8888Tozo iongezeke bila transparency hapana!
Tozo iwe kama mfumo wa Forex tuweze kuona kilichokusanywa daily in realtime.
Kwenye web ya BOT kama ambavyo zile bei za USD, GBP, CAD zinavyodisplay kwenye web za benki zingine.
Utajua kuwa haujuihaihusiani
Hata kujitegemea hutaki ndugu? Sasa utakuwa tafa huru kweli kama hutaki kujitegemea...si utakuwa taifa dangaji?Jasho la watanzania limeshindwa kuleta maendeleo miaka 60 uhuru, itawezaje leo? Tatizo siyo kujitegemea tatizo ni ujamaa na kujitegemea ndiyo sera zilizofeli. Mnataka elimu ya bure, mnataka matibabu ya bure, mnataka miundo mbinu ijengwe, mnataka ajira serikalini, mnataka viinua mgongo na pensheni mkistaafu, mnataka majeshi makubwa, polisi wengi, mnataka serikali iwafanyie kila kitu, mnataka big government. Halafu mnazaliana kiholela kama sungura. Mtajitegemea vipi kwa hali hiyo?
Hueleweki....mmejipiga na kitu kizitoInawezekana kabisa washauri na actors mbalimbali ndani ya Serikali kwa sasa ni waamini wa mikopo. They might have good sweeter arguments for now.
Lakini wazalendo wa kweli tutabaki na msimamo wetu.
Ni upuuzi kutegemea walami kutuneemesha watanzania... Hii ni fallacy.
Jingalao atasimama daima kwenye Sera za kujitegemea na sio upuuzi mwingine.
Nilisimama kipindi cha JK, Magufuli na sasa Samia.
I will never change on this.
Nipo tayari tozo iongezwe kama inahitajika lakini si mikopo ya kuhuni!!!
Maendeleo yataletwa na jasho la watanzania and not otherwise tusidanganye,tusidanganywe na kamwe tusichekelee misimamo mibovu.
Nchi hii itajengwa,italindwa na kustawishwa na watanzania.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Ndio Mimi nikamjibu kuwa haelewekiJK kambarage au JK Kikweye? Kama ni kikwete alikuwana sera gani nzuri ya kujitegemea kama taifa? Zaidi ya kutalii huku na huko kuomba omba na kukopa pesa.
Wanatapatapa hawajui hata washike lipi waache lipi.Ndio Mimi nikamjibu kuwa haeleweki
Huu ni mwanzo tuWanatapatapa hawajui hata washike lipi waache lipi.
Watu aina yenu mnaishi kwenye utopia! Hata huyo Mwalimu ambae ndie Mwasisi wa Kujijitegemea, nae alikuwa anakopa! Hata hizo nchi tajiri hadi kesho zinakopa!! Issue sio kukopa bali unakopa mkopo wa aina gani na kwa matumizi gani!!Taifa maskini kama Tanzania linatakiwa kujihadhali sana na mikopo ya kibiashara! Kwa bahati mbaya sana, Mpendwa wenu alikuwa ndie mfuasi wa Mikopo ya Kibiashara kwa sababu alifahamu kwa staili ya uongozi wake, taasisi kama IMF zingekuwa zinamfungia vioo au inawezekana alidhani mikopo ya mabeberu ni ile inayotoka IMF na Benki ya Dunia lakini mikopo kutoka private sectors kama vile Standard Chartered Bank, hiyo sio ya mabeberu!Inawezekana kabisa washauri na actors mbalimbali ndani ya Serikali kwa sasa ni waamini wa mikopo. They might have good sweeter arguments for now.
Lakini wazalendo wa kweli tutabaki na msimamo wetu.
Ni upuuzi kutegemea walami kutuneemesha watanzania... Hii ni fallacy.
Jingalao atasimama daima kwenye Sera za kujitegemea na sio upuuzi mwingine.
Na huu ndio ukweli wenyewe.Jasho la watanzania limeshindwa kuleta maendeleo miaka 60 uhuru, itawezaje leo? Tatizo siyo kujitegemea tatizo ni ujamaa na kujitegemea ndiyo sera zilizofeli. Mnataka elimu ya bure, mnataka matibabu ya bure, mnataka miundo mbinu ijengwe, mnataka ajira serikalini, mnataka viinua mgongo na pensheni mkistaafu, mnataka majeshi makubwa, polisi wengi, mnataka serikali iwafanyie kila kitu, mnataka big government. Halafu mnazaliana kiholela kama sungura. Mtajitegemea vipi kwa hali hiyo?
Halija shindwa mkuu serikali siyo rafiki kwa wa tz maana ukitaka tz ibadirike haraka,wawawezeshe kwenye kilimo na masoko yake watz. Maana aslimia 90 wanaishi mashambani,mkuu baada ya 10yrs tz haitakuwa hivi.Jasho la watanzania limeshindwa kuleta maendeleo miaka 60 uhuru, itawezaje leo? Tatizo siyo kujitegemea tatizo ni ujamaa na kujitegemea ndiyo sera zilizofeli. Mnataka elimu ya bure, mnataka matibabu ya bure, mnataka miundo mbinu ijengwe, mnataka ajira serikalini, mnataka viinua mgongo na pensheni mkistaafu, mnataka majeshi makubwa, polisi wengi, mnataka serikali iwafanyie kila kitu, mnataka big government. Halafu mnazaliana kiholela kama sungura. Mtajitegemea vipi kwa hali hiyo?
Nahisi bwana lameki anajichotea sana kwenye fuko la Tozo hapo hazinaWakifanya hivyo hawataweza kutupiga ili wakanunulie ma v8888
Asisahau kuwa hata roman empire haikujengwa kwa siku mojaNahisi bwana lameki anajichotea sana kwenye fuko la Tozo hapo hazina
Tuongeze tozo na Kodi? Utarudi hapa na Uzi wa kilio, kwa hiyo america, ulaya na Asia wanaokopa ni wajinga? Sisi ndio tuna akili? Kwa makusanyo ya trilioni 1.5 ufanye miradi ya trilioni 50? Ulipe Mishahara, ununue mafuta ya magari, dawa hospitali, ujenge shule na zahanati, madawa.....Inawezekana kabisa washauri na actors mbalimbali ndani ya Serikali kwa sasa ni waamini wa mikopo. They might have good sweeter arguments for now.
Lakini wazalendo wa kweli tutabaki na msimamo wetu.
Ni upuuzi kutegemea walami kutuneemesha watanzania... Hii ni fallacy.
Jingalao atasimama daima kwenye Sera za kujitegemea na sio upuuzi mwingine.
Nilisimama kipindi cha JK, Magufuli na sasa Samia.
I will never change on this.
Nipo tayari tozo iongezwe kama inahitajika lakini si mikopo ya kuhuni!!!
Maendeleo yataletwa na jasho la watanzania and not otherwise tusidanganye,tusidanganywe na kamwe tusichekelee misimamo mibovu.
Nchi hii itajengwa,italindwa na kustawishwa na watanzania.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!