Kamwe tusiaminishane upuuzi wa Wahuni! Nchi inajengwa na sisi

Kamwe tusiaminishane upuuzi wa Wahuni! Nchi inajengwa na sisi

Jasho la watanzania limeshindwa kuleta maendeleo miaka 60 uhuru, itawezaje leo? Tatizo siyo kujitegemea tatizo ni ujamaa na kujitegemea ndiyo sera zilizofeli. Mnataka elimu ya bure, mnataka matibabu ya bure, mnataka miundo mbinu ijengwe, mnataka ajira serikalini, mnataka viinua mgongo na pensheni mkistaafu, mnataka majeshi makubwa, polisi wengi, mnataka serikali iwafanyie kila kitu, mnataka big government. Halafu mnazaliana kiholela kama sungura. Mtajitegemea vipi kwa hali hiyo?
Tz kama tukiwa na utu na uafilifu hata kidogo tu tungekuwa mbali sana
 
Jasho la watanzania limeshindwa kuleta maendeleo miaka 60 uhuru, itawezaje leo? Tatizo siyo kujitegemea tatizo ni ujamaa na kujitegemea ndiyo sera zilizofeli. Mnataka elimu ya bure, mnataka matibabu ya bure, mnataka miundo mbinu ijengwe, mnataka ajira serikalini, mnataka viinua mgongo na pensheni mkistaafu, mnataka majeshi makubwa, polisi wengi, mnataka serikali iwafanyie kila kitu, mnataka big government. Halafu mnazaliana kiholela kama sungura. Mtajitegemea vipi kwa hali hiyo?
Kwani hao wengine waliwezaje kujitegemea na sisi tunashindwaje?
China waliweza huko malasiya waliweza je sisi na umli huu mpaka lini?
Mnadekezwa na miaka yote hii y uhuru bila kuchukua hatua?
Kilichobaki ni nyie kuombwa malinda basi.
 
watanzania wako tayari kukamuliwa kujenga nchi yao?, Watanzania wako tayari kufanya kazi kwa bidii kujenga nchi yao.?

Kuijenga Tanzania kwa sasa na ije ijetegemee, unahitaji watu wachape kazi kuanzia sasa non stop mpaka miaka 100 ijayo....na manufaa yataonekana kwa vitukuu huko sio sasa..
 
Tuongeze tozo na Kodi? Utarudi hapa na Uzi wa kilio, kwa hiyo america, ulaya na Asia wanaokopa ni wajinga? Sisi ndio tuna akili? Kwa makusanyo ya trilioni 1.5 ufanye miradi ya trilioni 50? Ulipe Mishahara, ununue mafuta ya magari, dawa hospitali, ujenge shule na zahanati, madawa.....
Wanakopa kufanyia nini je ulishawahi kuwaona tanzania wanataka mkopo?
Acheni upumbavu wenu.
Mtu anakopa kwenda kwenye sayari na tena anajikopesha mwenyewe, kisha wewe ujilinganinshe nae wakati unakopa kujenga choo?
Acheni upumbavu wa akili.
Huko serikali zai hawakopi kununua chakula ila kwa kufanyia ziada tu.
Tumia akili.
 
Kwani hao wengine waliwezaje kujitegemea na sisi tunashindwaje?
China waliweza huko malasiya waliweza je sisi na umli huu mpaka lini?
Mnadekezwa na miaka yote hii y uhuru bila kuchukua hatua?
Kilichobaki ni nyie kuombwa malinda basi.

Shida ni hiyo safari ya miaka mingi kuelekea kujitegemea ya milima na mabonde, Watanzania wataiweza kusubiri maendeleo kwa vitukuu..?

China na hiyo Malyasia hazikujengwa overnight, ni miaka mingi ya mateso na uvumilivu..
 
Matajiri wengi wana kopa, we fanya savings zako kuna mtu ana akili ya kuchukua hiyo pesa na kuizungusha na kupata faida na akarudisha na riba. Sioni ubaya. Sasa reli ya matrillions uta tegemea tozo? Tozo zenyewe watu wana lalamika kila siku. Watanzania sijui tuna taka nini. Makodi na makato kibao kwa wafanyakazi wa uma alafu nyie wengine hamtaki kulipa kodi
Mkuu Tanzania sio tunalalamika, tunapenda matokeo mkuu! Lets see impact uone kama kuna mtu atalalamika.

Kwa akili ya viongozi wetu hawa ya kufisadi na kujilimbikizia mali bila kuboresha welfare ya watu hamna mtu atafurahia kulipa kodi. Serikali inakomalia tozo halafu badala maisha yawe mepesi yanazidi kuwa mabovu.

Tozo zichajiwe ila tuone unafuu flani wa maisha then waseme kodi na tozo zenu ndio zinafanya wepesi ndio maana huduma ya hospitali kwa wajawazito ni nafuu...Tozo zenu mazolipa ndio maana shida ya pembejeo za kilimo hakuna tena..tozo mnazolipa ndio maana sasa hakuna shida ya maji wala umeme na gharama za kufungiwa huduma ni nafuu mno.

Sasa we matozo mnalipishwa na makodi ya REA ila bado kupata huduma ni kichefu chefu yani vita nikuvute ya ajabu. Mkopo wa madarasa, tozo za madarasa tutafika kweli. Ajira hamna za kutosha na bado tunakomalia kujenga madarasa tuendelee kujaza majobless mitaani badala ya kufikiria suluhu ya kuwapunguza.
 
Inawezekana kabisa washauri na actors mbalimbali ndani ya Serikali kwa sasa ni waamini wa mikopo. They might have good sweeter arguments for now.
Lakini wazalendo wa kweli tutabaki na msimamo wetu.
Ni upuuzi kutegemea walami kutuneemesha watanzania... Hii ni fallacy.

Jingalao atasimama daima kwenye Sera za kujitegemea na sio upuuzi mwingine.

Nilisimama kipindi cha JK, Magufuli na sasa Samia.

I will never change on this.
Nipo tayari tozo iongezwe kama inahitajika lakini si mikopo ya kuhuni!!!

Maendeleo yataletwa na jasho la watanzania and not otherwise tusidanganye,tusidanganywe na kamwe tusichekelee misimamo mibovu.

Nchi hii itajengwa,italindwa na kustawishwa na watanzania.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Magufuli aliyekuwa muumini wa kujitegemea ndie anaeongoza kwakukopa pesa nyingi kwa kipindi kifupi,kakopa 29trln kwa miaka mitano tu record ambayo haijawahi kufikiwa na watangulizi wake.

Ila wakati Magufuli anajua kabisa anakopa,wananchi alikua anatudanganya kwamba ni makusanyo ya ndani na anachukia mabeberu.

Na ieleweke kwamba huyu anaeonekana hapendi kujitegemea ndie aliyeweka record ya juu ya makusanyo TRA kwa mwezi kuliko watangulizi wake.

Kinachomgarimu mama ni kusema ukweli kwamba tunakopa,mnapenda kudanganywa.

Hemu tueleze Magufuli ametekeleza dhana yakunitegemea kivipi?na kivipi mama hatekelezi dhana yakujitegemea?
 
Mkopo siyo pesa yako. Ingekuwa pesa yako utaikopaje? Hiyo ni pesa ya watu wengine ndo maana unadaiwa.
Sasa utasemaje mkopo Ni msaada wakati unalipa. Mkopo Ni strategy ya ya kiuchumi. Ungekuwa umesoma finance ungeona ujinga wako lakini ndo hivyo Tena. Kuna kitu kinaitwa debt financing versus equity financing . Debt financing is more profitable than equity financing. Google ujielemishe vinginevyo itabaki na ujinga huohuo.
 
Inawezekana kabisa washauri na actors mbalimbali ndani ya Serikali kwa sasa ni waamini wa mikopo. They might have good sweeter arguments for now.
Lakini wazalendo wa kweli tutabaki na msimamo wetu.
Ni upuuzi kutegemea walami kutuneemesha watanzania... Hii ni fallacy.

Jingalao atasimama daima kwenye Sera za kujitegemea na sio upuuzi mwingine.

Nilisimama kipindi cha JK, Magufuli na sasa Samia.

I will never change on this.
Nipo tayari tozo iongezwe kama inahitajika lakini si mikopo ya kuhuni!!!

Maendeleo yataletwa na jasho la watanzania and not otherwise tusidanganye,tusidanganywe na kamwe tusichekelee misimamo mibovu.

Nchi hii itajengwa,italindwa na kustawishwa na watanzania.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Badili jina tafadhali, hizi nondo siyo za jitu jinga,ila za jitu lililo elimika
 
Inawezekana kabisa washauri na actors mbalimbali ndani ya Serikali kwa sasa ni waamini wa mikopo. They might have good sweeter arguments for now.
Lakini wazalendo wa kweli tutabaki na msimamo wetu.
Ni upuuzi kutegemea walami kutuneemesha watanzania... Hii ni fallacy.

Jingalao atasimama daima kwenye Sera za kujitegemea na sio upuuzi mwingine.

Nilisimama kipindi cha JK, Magufuli na sasa Samia.

I will never change on this.
Nipo tayari tozo iongezwe kama inahitajika lakini si mikopo ya kuhuni!!!

Maendeleo yataletwa na jasho la watanzania and not otherwise tusidanganye,tusidanganywe na kamwe tusichekelee misimamo mibovu.

Nchi hii itajengwa,italindwa na kustawishwa na watanzania.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Kwa hiyo ukiwa umenuna unamwaga kiingereza cha tuisheni?😝😝😝😝😝
 
Inawezekana kabisa washauri na actors mbalimbali ndani ya Serikali kwa sasa ni waamini wa mikopo. They might have good sweeter arguments for now.
Lakini wazalendo wa kweli tutabaki na msimamo wetu.
Ni upuuzi kutegemea walami kutuneemesha watanzania... Hii ni fallacy.

Jingalao atasimama daima kwenye Sera za kujitegemea na sio upuuzi mwingine.

Nilisimama kipindi cha JK, Magufuli na sasa Samia.

I will never change on this.
Nipo tayari tozo iongezwe kama inahitajika lakini si mikopo ya kuhuni!!!

Maendeleo yataletwa na jasho la watanzania and not otherwise tusidanganye,tusidanganywe na kamwe tusichekelee misimamo mibovu.

Nchi hii itajengwa,italindwa na kustawishwa na watanzania.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Achaneni na kuabudu mtu/watu/kikundi.
Tukiwaambia kuwa katiba mpya ndio mwarobaini wa upumbavu kama huu unaoendelea,mnaleta "uchama" mkiamini kuwa katiba mpya itawatilia kitumbua chenu "mchanga".
Mimi ni mfuasi wa sera ya kujitegemea pia. Lakini tunajitegemea kwenye nini na nini? Tunaweza kweli kujitosheleza kimahitaji yetu bila kukopa au bila misaada!!?
Kama tunakopa au tunasaidiwa,tunakopa kwa ajili ya nini na wapi, kwa masharti yapi, na kwa uwazi upi!!??
Je,tunao utaratibu mzuri wa kuamua kuhusu mikopo na misaada au ni mtu mmoja tu anaamua!!??
Je,tuna utaratibu mzuri wa usimamizi wa pesa za umma (kodi,tozo,misaada,mikopo) ili kuhakikisha inatumika vyema!!??
 
Shida ni hiyo safari ya miaka mingi kuelekea kujitegemea ya milima na mabonde, Watanzania wataiweza kusubiri maendeleo kwa vitukuu..?

China na hiyo Malyasia hazikujengwa overnight, ni miaka mingi ya mateso na uvumilivu..
Kwani sisi tunashindwa?
 
Haya maneno ungemwambia magufuli wakati anakopa kujenga SGR kipande cha Dar - Moro ningekuona wa maana sana otherwise na wewe nakuona kama JoBo tu

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Utengeneze na ARV zako acha kubugia za msaada.
Inawezekana kabisa washauri na actors mbalimbali ndani ya Serikali kwa sasa ni waamini wa mikopo. They might have good sweeter arguments for now.
Lakini wazalendo wa kweli tutabaki na msimamo wetu.
Ni upuuzi kutegemea walami kutuneemesha watanzania... Hii ni fallacy.

Jingalao atasimama daima kwenye Sera za kujitegemea na sio upuuzi mwingine.

Nilisimama kipindi cha JK, Magufuli na sasa Samia.

I will never change on this.
Nipo tayari tozo iongezwe kama inahitajika lakini si mikopo ya kuhuni!!!

Maendeleo yataletwa na jasho la watanzania and not otherwise tusidanganye,tusidanganywe na kamwe tusichekelee misimamo mibovu.

Nchi hii itajengwa,italindwa na kustawishwa na watanzania.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
 
Mkopo siyo pesa yako. Ingekuwa pesa yako utaikopaje? Hiyo ni pesa ya watu wengine ndo maana unadaiwa.
Nikiwa nimekaa hapa nikiota moto, imenijia akilini kuwa maadui wetu wa maendeleo TZ ni watatu tu.

• Uchawa ProMax wa Viongozi na Vijana wa UVCCM
• Kipaumbele Ni kwenye Next Election na sio Next Generation
• Presence of many Clueless Citizens

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana kabisa washauri na actors mbalimbali ndani ya Serikali kwa sasa ni waamini wa mikopo. They might have good sweeter arguments for now.
Lakini wazalendo wa kweli tutabaki na msimamo wetu.
Ni upuuzi kutegemea walami kutuneemesha watanzania... Hii ni fallacy.

Jingalao atasimama daima kwenye Sera za kujitegemea na sio upuuzi mwingine.

Nilisimama kipindi cha JK, Magufuli na sasa Samia.

I will never change on this.
Nipo tayari tozo iongezwe kama inahitajika lakini si mikopo ya kuhuni!!!

Maendeleo yataletwa na jasho la watanzania and not otherwise tusidanganye,tusidanganywe na kamwe tusichekelee misimamo mibovu.

Nchi hii itajengwa,italindwa na kustawishwa na watanzania.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Nani alikopa trillion 29
 
Back
Top Bottom