Tz kama tukiwa na utu na uafilifu hata kidogo tu tungekuwa mbali sanaJasho la watanzania limeshindwa kuleta maendeleo miaka 60 uhuru, itawezaje leo? Tatizo siyo kujitegemea tatizo ni ujamaa na kujitegemea ndiyo sera zilizofeli. Mnataka elimu ya bure, mnataka matibabu ya bure, mnataka miundo mbinu ijengwe, mnataka ajira serikalini, mnataka viinua mgongo na pensheni mkistaafu, mnataka majeshi makubwa, polisi wengi, mnataka serikali iwafanyie kila kitu, mnataka big government. Halafu mnazaliana kiholela kama sungura. Mtajitegemea vipi kwa hali hiyo?
Kwani hao wengine waliwezaje kujitegemea na sisi tunashindwaje?Jasho la watanzania limeshindwa kuleta maendeleo miaka 60 uhuru, itawezaje leo? Tatizo siyo kujitegemea tatizo ni ujamaa na kujitegemea ndiyo sera zilizofeli. Mnataka elimu ya bure, mnataka matibabu ya bure, mnataka miundo mbinu ijengwe, mnataka ajira serikalini, mnataka viinua mgongo na pensheni mkistaafu, mnataka majeshi makubwa, polisi wengi, mnataka serikali iwafanyie kila kitu, mnataka big government. Halafu mnazaliana kiholela kama sungura. Mtajitegemea vipi kwa hali hiyo?
Ubepari uchwaraπHatutaki Ujamaa na kujitegemea tena Tanzania tunataka tufuate mfano kama Kenya Ubepari Uchwara ndio Nchi hii itasonga mbele.
Wanakopa kufanyia nini je ulishawahi kuwaona tanzania wanataka mkopo?Tuongeze tozo na Kodi? Utarudi hapa na Uzi wa kilio, kwa hiyo america, ulaya na Asia wanaokopa ni wajinga? Sisi ndio tuna akili? Kwa makusanyo ya trilioni 1.5 ufanye miradi ya trilioni 50? Ulipe Mishahara, ununue mafuta ya magari, dawa hospitali, ujenge shule na zahanati, madawa.....
Kwani hao wengine waliwezaje kujitegemea na sisi tunashindwaje?
China waliweza huko malasiya waliweza je sisi na umli huu mpaka lini?
Mnadekezwa na miaka yote hii y uhuru bila kuchukua hatua?
Kilichobaki ni nyie kuombwa malinda basi.
Trust me,hebu angalia Kenya ubepari uchwara ulivyowasaidia.Ubepari uchwaraπ
Mkuu Tanzania sio tunalalamika, tunapenda matokeo mkuu! Lets see impact uone kama kuna mtu atalalamika.Matajiri wengi wana kopa, we fanya savings zako kuna mtu ana akili ya kuchukua hiyo pesa na kuizungusha na kupata faida na akarudisha na riba. Sioni ubaya. Sasa reli ya matrillions uta tegemea tozo? Tozo zenyewe watu wana lalamika kila siku. Watanzania sijui tuna taka nini. Makodi na makato kibao kwa wafanyakazi wa uma alafu nyie wengine hamtaki kulipa kodi
Magufuli aliyekuwa muumini wa kujitegemea ndie anaeongoza kwakukopa pesa nyingi kwa kipindi kifupi,kakopa 29trln kwa miaka mitano tu record ambayo haijawahi kufikiwa na watangulizi wake.Inawezekana kabisa washauri na actors mbalimbali ndani ya Serikali kwa sasa ni waamini wa mikopo. They might have good sweeter arguments for now.
Lakini wazalendo wa kweli tutabaki na msimamo wetu.
Ni upuuzi kutegemea walami kutuneemesha watanzania... Hii ni fallacy.
Jingalao atasimama daima kwenye Sera za kujitegemea na sio upuuzi mwingine.
Nilisimama kipindi cha JK, Magufuli na sasa Samia.
I will never change on this.
Nipo tayari tozo iongezwe kama inahitajika lakini si mikopo ya kuhuni!!!
Maendeleo yataletwa na jasho la watanzania and not otherwise tusidanganye,tusidanganywe na kamwe tusichekelee misimamo mibovu.
Nchi hii itajengwa,italindwa na kustawishwa na watanzania.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Sasa utasemaje mkopo Ni msaada wakati unalipa. Mkopo Ni strategy ya ya kiuchumi. Ungekuwa umesoma finance ungeona ujinga wako lakini ndo hivyo Tena. Kuna kitu kinaitwa debt financing versus equity financing . Debt financing is more profitable than equity financing. Google ujielemishe vinginevyo itabaki na ujinga huohuo.Mkopo siyo pesa yako. Ingekuwa pesa yako utaikopaje? Hiyo ni pesa ya watu wengine ndo maana unadaiwa.
Badili jina tafadhali, hizi nondo siyo za jitu jinga,ila za jitu lililo elimikaInawezekana kabisa washauri na actors mbalimbali ndani ya Serikali kwa sasa ni waamini wa mikopo. They might have good sweeter arguments for now.
Lakini wazalendo wa kweli tutabaki na msimamo wetu.
Ni upuuzi kutegemea walami kutuneemesha watanzania... Hii ni fallacy.
Jingalao atasimama daima kwenye Sera za kujitegemea na sio upuuzi mwingine.
Nilisimama kipindi cha JK, Magufuli na sasa Samia.
I will never change on this.
Nipo tayari tozo iongezwe kama inahitajika lakini si mikopo ya kuhuni!!!
Maendeleo yataletwa na jasho la watanzania and not otherwise tusidanganye,tusidanganywe na kamwe tusichekelee misimamo mibovu.
Nchi hii itajengwa,italindwa na kustawishwa na watanzania.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Kwa hiyo ukiwa umenuna unamwaga kiingereza cha tuisheni?πππππInawezekana kabisa washauri na actors mbalimbali ndani ya Serikali kwa sasa ni waamini wa mikopo. They might have good sweeter arguments for now.
Lakini wazalendo wa kweli tutabaki na msimamo wetu.
Ni upuuzi kutegemea walami kutuneemesha watanzania... Hii ni fallacy.
Jingalao atasimama daima kwenye Sera za kujitegemea na sio upuuzi mwingine.
Nilisimama kipindi cha JK, Magufuli na sasa Samia.
I will never change on this.
Nipo tayari tozo iongezwe kama inahitajika lakini si mikopo ya kuhuni!!!
Maendeleo yataletwa na jasho la watanzania and not otherwise tusidanganye,tusidanganywe na kamwe tusichekelee misimamo mibovu.
Nchi hii itajengwa,italindwa na kustawishwa na watanzania.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Achaneni na kuabudu mtu/watu/kikundi.Inawezekana kabisa washauri na actors mbalimbali ndani ya Serikali kwa sasa ni waamini wa mikopo. They might have good sweeter arguments for now.
Lakini wazalendo wa kweli tutabaki na msimamo wetu.
Ni upuuzi kutegemea walami kutuneemesha watanzania... Hii ni fallacy.
Jingalao atasimama daima kwenye Sera za kujitegemea na sio upuuzi mwingine.
Nilisimama kipindi cha JK, Magufuli na sasa Samia.
I will never change on this.
Nipo tayari tozo iongezwe kama inahitajika lakini si mikopo ya kuhuni!!!
Maendeleo yataletwa na jasho la watanzania and not otherwise tusidanganye,tusidanganywe na kamwe tusichekelee misimamo mibovu.
Nchi hii itajengwa,italindwa na kustawishwa na watanzania.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Jana wakati nduguyo anakopa mbona hukusema tujitegemee!!??Tuko pamojaa
In conclusion. Nasikitika kukwambia huna akili Mana mkopo siyo msaada Ni pesa yako ileile.
Kwani sisi tunashindwa?Shida ni hiyo safari ya miaka mingi kuelekea kujitegemea ya milima na mabonde, Watanzania wataiweza kusubiri maendeleo kwa vitukuu..?
China na hiyo Malyasia hazikujengwa overnight, ni miaka mingi ya mateso na uvumilivu..
Inawezekana kabisa washauri na actors mbalimbali ndani ya Serikali kwa sasa ni waamini wa mikopo. They might have good sweeter arguments for now.
Lakini wazalendo wa kweli tutabaki na msimamo wetu.
Ni upuuzi kutegemea walami kutuneemesha watanzania... Hii ni fallacy.
Jingalao atasimama daima kwenye Sera za kujitegemea na sio upuuzi mwingine.
Nilisimama kipindi cha JK, Magufuli na sasa Samia.
I will never change on this.
Nipo tayari tozo iongezwe kama inahitajika lakini si mikopo ya kuhuni!!!
Maendeleo yataletwa na jasho la watanzania and not otherwise tusidanganye,tusidanganywe na kamwe tusichekelee misimamo mibovu.
Nchi hii itajengwa,italindwa na kustawishwa na watanzania.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Nikiwa nimekaa hapa nikiota moto, imenijia akilini kuwa maadui wetu wa maendeleo TZ ni watatu tu.Mkopo siyo pesa yako. Ingekuwa pesa yako utaikopaje? Hiyo ni pesa ya watu wengine ndo maana unadaiwa.
Nani alikopa trillion 29Inawezekana kabisa washauri na actors mbalimbali ndani ya Serikali kwa sasa ni waamini wa mikopo. They might have good sweeter arguments for now.
Lakini wazalendo wa kweli tutabaki na msimamo wetu.
Ni upuuzi kutegemea walami kutuneemesha watanzania... Hii ni fallacy.
Jingalao atasimama daima kwenye Sera za kujitegemea na sio upuuzi mwingine.
Nilisimama kipindi cha JK, Magufuli na sasa Samia.
I will never change on this.
Nipo tayari tozo iongezwe kama inahitajika lakini si mikopo ya kuhuni!!!
Maendeleo yataletwa na jasho la watanzania and not otherwise tusidanganye,tusidanganywe na kamwe tusichekelee misimamo mibovu.
Nchi hii itajengwa,italindwa na kustawishwa na watanzania.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!