Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Kwanza kabisa niwapongeze watani Kwa ushindi wa derby......nilikosa mechi kutokana na safari ya USA.....
.ALI KAMWE|+
[emoji860]"Ushindi wa Kolo naufananisha na ushindi wa mke wa Achraf Hakimi. Ameshinda kesi lakini mgao Nehi [emoji23].. Hivyo Kolo yoyote akikupigia kelele leo, mwambie Wewe huna tofauti na mke wa Hakimi,, Blaa blaa nyingi lakini wako palepale [emoji23]"
[emoji860]"Yanga tuko TOP OF THE TABLE na tutakwenda kuzimalizia mechi (4) za mwisho kwa nguvu kubwa zaidi INSHAA ALLAH"
[emoji860]"Kituo kinachofuata tunakwenda Nigeria. Mnawajua Wachezaji wetu, hii itakuwa mechi kubwa ya wao kupambana kuhakikisha tunashinda Mchezo huo na kuwapelekea Wananchi nusu fainali"
Je: tunakubaliana na hili na Lina maana gani????
.ALI KAMWE|+
[emoji860]"Ushindi wa Kolo naufananisha na ushindi wa mke wa Achraf Hakimi. Ameshinda kesi lakini mgao Nehi [emoji23].. Hivyo Kolo yoyote akikupigia kelele leo, mwambie Wewe huna tofauti na mke wa Hakimi,, Blaa blaa nyingi lakini wako palepale [emoji23]"
[emoji860]"Yanga tuko TOP OF THE TABLE na tutakwenda kuzimalizia mechi (4) za mwisho kwa nguvu kubwa zaidi INSHAA ALLAH"
[emoji860]"Kituo kinachofuata tunakwenda Nigeria. Mnawajua Wachezaji wetu, hii itakuwa mechi kubwa ya wao kupambana kuhakikisha tunashinda Mchezo huo na kuwapelekea Wananchi nusu fainali"
Je: tunakubaliana na hili na Lina maana gani????