Hii jinsia ya kike n complicated sana wakuu maana nlikuwa na nae mmoja hv alinishangaza sana alikuwa anapenda sana starehe out kila weekends, mzigo nilipewa kila napouhitaji anauleta mwnyw gheto, alikuwa mtumiaj mzur tu anabdil style za nywele kila week, bundle la 2,000 kila cku anashinda Instagram, alikuw anajpenda sana kwakwel ila sina uhakika km alkuw ananipend mm maana mwisho wa siku aliniacha ghafla kisa nilikuwa napenda sana kuvaa ndala za matairi [emoji23][emoji23][emoji23], nkamwomba sana samahan nkaacha na kuvaa mgogo ikawa mwendo wa viatu akanambia nkitaka nimsameh nimpe 150,000 hapo ndo nikagundua hii haikuwa kuhusu viatu tvwas something else nkaja chunguza nkagundua kmbe amepata jamaa ana wazfa pale VODACOM