Kamwe usiolewe na mwanaume asiyeweza kukulipia mahari

Ipo
Kwanini isiwepo??taasisi kubwa namna ile ikose advance???
Ila imeanzishwa mwaka 2011,waliwachukua wale waliokuwa kule uboizini wakawaleta huku.. na ndiyo walioanzisha shule.
ooohhh sawa, sio mwenyeji sana mbeya mkuu!
 
unanitukana sasa[emoji849][emoji849][emoji849]

wakinga hawali mbwa aiseee, hao ni wahehe
Ila si majirani zenu hao???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani nyie watu bwana...Mimi nikikaa na mtu wa hivyo nadhani nitashinda natapika kila siku
 
Mimi ww nakung'oa kavu kavu bla gharama labda gharama ntayoingia ni kula kugharamia chakula cha pamoja na wakwe na kununua soda
 
Sijamaanisha ulivyoelewa aisee...
Nimemaanisha umeolewa lini ndg wakati mimi na wewe tunafahamiana na unathubutu kuniongopea kabisa kisa JF.
[emoji44][emoji44]
Yawezekana unanifahamu mimi sikufahamu..au umenifananisha[emoji848]
 
Ila si majirani zenu hao???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani nyie watu bwana...Mimi nikikaa na mtu wa hivyo nadhani nitashinda natapika kila siku
we mtoto unatapika mtu anaekula mbwa?


unajuaje labda chuo umewahi share kitanda na binti aliekua anameza uchafu wa mchumba wake?[emoji44][emoji44][emoji44]


btw utajuaje anakula dog?
 
we mtoto unatapika mtu anaekula mbwa?


unajuaje labda chuo umewahi share kitanda na binti aliekua anameza uchafu wa mchumba wake?[emoji44][emoji44][emoji44]


btw utajuaje anakula dog?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijafika chuo mimi
 
Ukifika miaka 35 usilete uzi huku...
Kama umeolewa acha kupotosha wenzio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…