Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
- Thread starter
-
- #501
Nani amesema hana thamani?Mimi kuoa mwanamke bila kutoa mahari haimaanishi kuwa hana thamani.Thamani ya binadamu ni kubwa sana kiasi kwamba hakuna bei inayoweza kumnunua
Sawa bossNakubaliana na wewe endapo tu pale binti anayekazaniwa iwe isiwe lazima atolewe mahari, naye lazima awe kigori hajaguswa kabisa na mabaharia hapo ni sawa hata wakisema ng`ombe mia ni sawa.
Moja ya dhana potofu iliyopo kwa wanaoamini katika mahari ni kwamba mwanamke asielipiwa mahari anakuwa hana thamani na inakuwa ni rahisi mwanamme kumnyanyasa na kutomuheshimu.Nani amesema hana thamani?
Na ndivyo ilivyoMoja ya dhana iliyopo kwa wanaoamini katika mahari ni kwamba mwanamke asielipiwa mahari anakuwa hana thamani na inakuwa ni rahisi mwanamme kumnyanyasa na kutomuheshimu.
hujawahi kumwona mtu aliyeolewa bure?Na ndivyo ilivyo
Hata yeye mwenyewe akikubali kuja bure nafsi yake itamsuta.
Anaolewaje bure?
Sijawahihujawahi kumwona mtu aliyeolewa bure?
Sasa mbona hapa ulinibishia?![emoji115]Nani amesema hana thamani?
Na ndivyo ilivyo
Hata yeye mwenyewe akikubali kuja bure nafsi yake itamsuta.
Anaolewaje bure?
mi nawafahamu wengi and they are proud!.......Sijawahi
UsinichosheSasa mbona hapa ulinibishia?![emoji115]
Hongera zake.mi nawafahamu wengi and they are proud!.......
umewahi kumsikia balozi Murro? at one time alikua balozi wa tz pale kwa malkia..... aliozesha watoto wake wa kike wote bila mahari!
mtoto wake wa mwisho aliolewa mwaka 87 nadhani huko mbeya, tena watoto wake walikua na degree imagine kipindi cha Nyerere!
Wala sikuchooshi mimi.Wewe mwenyewe ndiyo unajichoosha kwa sababu unajicontradict mwenyewe.Kujicontradict mwenyewe ni ishara kuwa hujui unachokitetea.Usinichoshe
SawaWala sikuchooshi mimi.Wewe mwenyewe ndiyo unajichoosha kwa sababu unajicontradict mwenyewe.Kujicontradict mwenyewe ni ishara kuwa hujui unachokitetea.
Asante sana mkuu umemkata kidomo mleta mada pia ajiandae kuwa mke wa tano chezea biblia wewe wanaume oyeeeeeeee[emoji14][emoji14][emoji14][emoji14]Nimeambatanisha hapo kusisitiza hoja, lakini pia manguli wengi wa bibliani hawakuwa na mke mmoja, sijui unatushauri vipi Mtakatifu Anne.View attachment 1595626
sikiliza,Hongera zake.
Mimi nitaolewa kwa mahari Kama jinsi maagizo yalivyo.
Siyo wa kusini tu!sikiliza,
hakuna maagizo yanayosema mahari lazima, hizo ni taratibu tu binadamu waliamua kuweka!
wewe sema utaolewa kwa mahari kwa vile ndio utamaduni wenu watu wa nyanda za juu
[emoji28][emoji28][emoji28]Sawa
Endelea kujadili mwenyewe.
Kama utaoa bure basi oa bure.
Mmy[emoji23][emoji23][emoji23]Tena ukienda kuoa sehemu ambayo kuna kaka yake anatarajia kuoa.
Unajikuta umemlipia na huyo mkuu.
Akili ni nini?Akili hamna
Au Mr. President alilipa shi ngapi kwa mama JanetiAdam alitoa mahari kwa nani?
Hapo tunasema collateral damageKuna mmoja alichukua mpaka mkopo kabisa kampa bwana akatoe posa, kweli akazitoa lakini mpaka sasa walisha achana mwaka wa tatu huu na kamwachia mtoto 1