Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
- Thread starter
-
- #601
Hayo ni madhara ya uzinzi.ila Mahari hizi ndo zinaletaga hasira, unatoa mahari halafu unakuta mke yupo bize na aki-flirt na wanaume wengine. Ooho! ndo chanzo cha mke kupata manundu kwa kipigo kunapoanziaga. [emoji23][emoji23][emoji23]
Mwanamke usikubali kuolewa na mwanaume usiyempenda kisa tu Katoa Mahari, Maana TAHADHARI MBELE KUNA KONA KALI
hutupendi vitombi eeh?Hayo ni madhara ya uzinzi.
Wanawake hadi wanajua radha tofauti ni kwa sababu nyie vitombi mlioanza kuwaonja kinyume na maagizo ya Mungu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hutupendi vitombi eeh?
Anne, Wewe ni wa kwanza kwangu, naomba kuwa wa kwanza kwako 😋[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mnapojionyesha miamba huko nje kumbuka na wanawake wenu wapo kufanyiwa mazoezi huko.
Ukitaka kuwa wa kwanza kwangu na wewe niwe wa kwanza kwako.
Wewe??!!!Anne, Wewe ni wa kwanza kwangu, naomba kuwa wa kwanza kwako [emoji39]
Wanaume gani hao na wapo eneo gani Tz wanalipiwa mahari na wanawake wao?basi hali ni teteSasa kumbe mnalalamika tu bure
Toeni mahari maisha yaendelee.
Eeh ndiyo mimi.Wewe??!!!
Sitaki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwenzio nalia [emoji24][emoji24][emoji24] Jamani Anne please, please! Mie kwangu nimeshakuweka wewe kwanza!
Mkuu wengine wapo hapa wanalialia humu kuhusu kutoa mahariWanaume gani hao na wapo eneo gani Tz wanalipiwa mahari na wanawake wao?basi hali ni tete
ID yangu haipo kule kwenye masikhara bana.Jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanza id nikishaiona tu kule kwenye masikhara Basi[emoji119]
Yesu wangu [emoji23][emoji23][emoji23]ID yangu haipo kule kwenye masikhara bana.
Anne, mwenzio ndo nishakuweka namba moja kwangu. Usifanye hivyo please[emoji24]
I have a feeling, You and i will be will be dazzling in front of the Saints. Starting with Saint Anne herself.
Huwa sipo serious Mkuu. Ukiwa online inabidi uzoee utani kama huo. Get used to it! Because online lifestyle, you will be encountering those kinda romantic jokes a lot. 😀😀 Utani huo bana.Yesu wangu [emoji23][emoji23][emoji23]
Usijichoshe bure
Kama umemaliza kuchangia mada sema[emoji23]
Hata Mimi siko siriazHuwa sipo serious Mkuu. Nizoee tu. [emoji3][emoji3] Utani huo bana.
💪🏾 me gusta!Hata Mimi siko siriaz
[emoji4][emoji1491] me gusta!
🤣🤣🤣ni hatari,kwa nini na hao wadada wanakubali kulipa mahari zao wenyewe.Mkiingia ndani ya ndoa mnaangalianaje?Mkuu wengine wapo hapa wanalialia humu kuhusu kutoa mahari
Ujinga tu mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ni hatari,kwa nini na hao wadada wanakubali kulipa mahari zao wenyewe.Mkiingia ndani ya ndoa mnaangalianaje?
ni makubaliano tu huwezi kuingilia mapenzi yaoUjinga tu mkuu
mambo gani ya kijinga ambayo wanaume wa leo wanayafanya?kuchepuka auTafuta yanayokufavor uje unipinge
Haina shida kabisa...ila wanaume wa zamani walikuwa na akili..hawakuwa wajinga Kama wa Sasa.
Ko walideserve tu.
Ujinga wa wanaume wa sasa ndio uliotengeneza mabinti tulionao Sasa
Na hao wanaokuambia habari za mke zaidi ya mmoja nawaona tu wanavyobwabwaja hapa
Ndugu zetu waislam na kwa Imani Yao wapo sawa kabisa..walifwata msingi wa Ibram na Sarai...
Sarai kabla ya kuwa Sara alikuwa hapati watoto..
Sarai alimruhusu Ibram azae na Hajir mjakazi wake...akamzaa Ismail
Lakini baadaye ndo akaja kupata mtoto (Isaka) na Hajir akafukuzwa pale..
Lakini waislam wa Leo wanajiolea tu wake utadhani wanabubuna karanga..wanasomba tu bila kuzingatia utaratibu huo wa kuruhusiwa na wake zao
Mahari yako sitaki[emoji23][emoji23]
hapo it means hata baba ako hana akiliTukiyafwata pia maandiko basi Hakuna mwanaume anayestahili kuoa.
Kwa sababu NENO linawahimiza muishi na wake zenu kwa akili,Sasa nyie akili mnatoa wapi wakati hamna hizo akili??
"Aziniye na mwanamke hana akili kabisa"
Si maneno yangu hayo bali ni ya MUNGU katika Mithali.
Msitegemee kuvuna ngano wakati mlipanda kunde.