Kamwe usiolewe na mwanaume asiyeweza kukulipia mahari

Bora umeenda straight tu mkaliwade😝
 
Hiyo tombatomba unayoiongelea wewe ni ipi kwanza??[emoji1787]
Ukishaoa mke una haki ya kufanya hivyo.

Nyie je!mmeoa?
Mbona mnafungua zipu zenu hizo hovyo kinasikhara..Sasa huu ndo ujinga wenyewe na kukosa akili kulikosemwa kwenye Mithali
Wanawake wa zamani hawakuwa wavivu na wenye mashauzi kama nyie katika kutoa huduma. Ndio maana umalaya ulikuwa hamna.
 
Tukiwapeleka kwa mfumo wa zamani kuwa wanawake inatakiwa muwe submissive mbona huwa mnang'aka? Kuishi katika amri za mume hamtaki kabisa.

Kwa hilo andiko seems mwanaume aliruhusiwa kuoa upya endapo kuna changamoto ya ndoa. Uzuri hilo swala lilikuwa rasmi. Ila kwa sasa wanaume wanafanya hilo hilo japo sio rasmi ndo unawaita wajinga?

Wewe papuchi hunipi kwa wakati huishiwi visababu mara sijiskii, mara nimechoka, mara vile...Mumeo akitafta suluhu pembeni unamuona mshenzi? Huzai mumeo kahangaika na wewe for years kaamua azae na mwanamke mwengine kwa siri..unamuita mjinga?
 
Kwa mdomo huo napata shaka kama unaweza kutulia ndani ya ndoa
 
Maneno yako makali sana
 
Ni wajinga ndiyo

Usianze kuweka assumptions zako, ingekuwa hivyo ingeandikwa.
 
Bikra zipo??

Jokajeusi unaitwa huku
Jokajeusi uzii wake ule kiboko yao naona umefutwa!? Au ni kwangu tu ndiyo siiuoni!?
Zipo mkuu
Ngoja niwaonyeshe wanaume walivyo wanafiki.

Kuna uzi wangu humu niliandika kuhusu kanuni za uchumba salama,kanuni ya kumi niliandika "Usizini"
Wote walinirushia maneno.
Leo hawana haya kunyanyua midomo kuongelea bikra utadhani sio wao walikuwa wanasema"endelea kujidai unabania utajioa mwenyewe"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…