Kamwe usiolewe na mwanaume asiyeweza kukulipia mahari

Kamwe usiolewe na mwanaume asiyeweza kukulipia mahari

Kwamba asiye na wazazi na ndugu alijilea pekeyake?
Sasa hao waliomlea ndiyo wazazi wake utakaowapelekea mahari

Kwamba asiye na wazazi na ndugu alijilea pekeyake?
Sasa hao waliomlea ndiyo wazazi wake utakaowapelekea mahari.
unakuta hata hao ndugu waliomlea hawapo tena,alafu wengine wanafosi ndoa hawa pia hamna kutoa mahari
 
Nikipata mtoto wa kike Mimi Kama baba naweza muozesha mwanangu bila mahari! Kikubwa yeye na mwenzake wanihakikishie kuwa wataishi kwa upendo na amani hiyo tu ndo itakuwa Kama mahari kwa binti yangu!.. mahari imeficha msingi wa ununuzi tu lkn inatofauti ipi ya kununua kitu..?
Kwani wazazi wa mwanaume wao hawajatunza mtoto wao..??

Mahari ni utamaduni tu uliowekwa ila sio lazima kuufata ni maamuzi ya mtu na mtu.. maana hata Adam hakutoa mahari kwa Eva!
Kila mtu na mtazamo wake na binafsi ndio naweza nikaoa kwa mahari ila sifikirii Sana kuja kuozesha mwanangu kwa mahari!
Kama unadhani mahari ni ununuzi pole.

Hakuna hela yenye thamani ya kumnunua mtu..haipo.
Mahari ni Akhsante kwa wazazi.
 
Umesahau Mkuu na magunia 20 ya mchele jogoo 30 na suti mpya 10 kwa Baba njemba Ina sema binti akistuka mimba tayari! Acha kabisa wahuni!
Mahari lazima mtoe tu
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Umehamia tena kwenye pombe??
Alijua madhara ya ulevi ndiyo maana akasema vile na akawaacha watumie busara zao.

Sasa kwanini uweke doubt kama unaamini ni la kweli?
wewe, kwanza inabidi uwe mwanafunzi wangu wa biblia........


nimesema kuna mafunuo ambayo ni personal, na kuna mafunuo ni unversal..... unaelewa hilo?


sasa, kwa viongozi wengi (hata hawa wa leo) huwa inawawia vigumu kuchanganua tofauti hiyo, kwamba hili ni personal na hili ni jumuishi (unversal)!


nakupa mfano, makanisa mengi hasa ya kipentecoste, pastors wanachanganya sana kati ya mafunuo yanayowahusu wao binafsi na yale yanayohusu taasisi, ndio mana unaona kuna wakat wanaleta vitu vinapata upinzani..........


turudi kwa Paul, (mimi sio muumini wa wake wengi btw), nimesema hatujui huo ufunuo wake ulikua targeted wap, yeye au jumuiya yote?,,, ndio mana nikaleta na mfano wa pombe!......


umeelewa sasa? haya lete ada![emoji23]
 
kwanza we Saint Anne umeolewa?kama ndio ulitolewa shingap kama mahari

kama bado mahari yako ni kiasi gani?
 
Bata wawili??
Wallah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kuna mzazi atakubali kutoa mtoto kwa bata wawili??
Embu kuweni na huruma[emoji23]
Kwani ni mauziano jamani?😀😀 si ni kama zawadi tu ya shukrani. Ndio uwezo wangu ulipoishia kwa sasa. Au unataka na mimi nianze kukuomba uniongezee mahali.
 
wewe, kwanza inabidi uwe mwanafunzi wangu wa biblia........


nimesema kuna mafunuo ambayo ni personal, na kuna mafunuo ni unversal..... unaelewa hilo?


sasa, kwa viongozi wengi (hata hawa wa leo) huwa inawawia vigumu kuchanganua tofauti hiyo, kwamba hili ni personal na hili ni jumuishi (unversal)!


nakupa mfano, makanisa mengi hasa ya kipentecoste, pastors wanachanganya sana kati ya mafunuo yanayowahusu wao binafsi na yale yanayohusu taasisi, ndio mana unaona kuna wakat wanaleta vitu vinapata upinzani..........


turudi kwa Paul, (mimi sio muumini wa wake wengi btw), nimesema hatujui huo ufunuo wake ulikua targeted wap, yeye au jumuiya yote?,,, ndio mana nikaleta na mfano wa pombe!......


umeelewa sasa? haya lete ada![emoji23]
Wewe tafsiri vyovyote unavyoweza ila waraka wake unawahusu watu wote.

Sitaki kabisa uwe mwalimu wangu,labda Mimi niwe mwalimu wako[emoji14]
Ada nilishalipa shule miaka mingi iliyopita na nilisoma somo la Elimu ya Biblia pale shule ya wavaa sketi za marinda.
 
Back
Top Bottom