KANAKAMFUMU:UKWELI MCHUNGU KUHUSU YANGA

KANAKAMFUMU:UKWELI MCHUNGU KUHUSU YANGA

Hahaaaah kwa hiyo kuongoza ligi ndo hatua kubwa mliyofikia...maajabu hayataisha duniani hapa
nadhani wewe sio mgeni wa Yanga hapa nchini? maajabu ni sehemu ya maisha ni kama vile Simba anavyoibeza Yanga kwa kusema mnatuachia kombe la mchangani wakati tiketi ya huko kimataifa mmeipatia kwa kombe hilohilo la mchangani tena baada ya miaka mitano, msalimie Kanakamfumo
 
Yanga washiriki wa ndondo cup tanzania simba washiriki ligi ya mabingwa hatua ya makundi africa...alafu mshabiki wa Yanga anawaona mashabiki wa simba mbumbumbu...kweli mbumbumbu ni mbumbumbu tu
Ndio maana mnaitwa mbumbumbu... Unasema Yanga anashiriki ndondo Tanzania wakati hiyo ndondo pia Simba anashiriki
 
Makundi ni hatua ambayo timu chache magwiji ya soka africa huingia baada ya kuzitoa timu pinzani....Hahaaaah eti yanga ndo ilikuwa ya kwanza kuingia kwenye makundi...mi tangu nimezaliwa sijawahi iona yanga imeingia makundi club bingwa africa...or nikumbushe yanga iliingia mwaka gani???tunaongea vitu current mkuu kama unataka historia njoo tukumbushane tu sababu kwenye swala la michuano ya kimataifa africa tukiangalia historia huwezi kufananisha yanga na simba...simba inarecord pana ya kufika mbali zaidi kwenye hii michuano ya kimataifa...tumekwenda makundini sababu tunastahili na tunauwezo wa kusonga
Kumbe watoto ni wengi sana ...tangu azaliwe hajaona Yanga ikiingia makundi klabu bingwa......
 
Kumbe ningesoma na mama yako ungekuwa mwanangu Wa kwanza. Hui huo mwaka ndio Yanga aliingia makundi .. Na ilikuwa zinaenda timu 8 sio kama sasa 16. Uone kipindi kipi kilikuwa kigumu kufuzu.
Nimezaliwa 1999 mkuu...enhee ilifika hatua ambayo simba sahivi ndo yupo mwaka gani????
 
Back
Top Bottom