Turnkey
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 7,359
- 5,837
Yanga ndio timu ya kwanza Afrika Mashariki kucheza makundi ya CAF champions league kwa mfumo huu mpya..Yanga washiriki wa ndondo cup tanzania simba washiriki ligi ya mabingwa hatua ya makundi africa...alafu mshabiki wa Yanga anawaona mashabiki wa simba mbumbumbu...kweli mbumbumbu ni mbumbumbu tu