Huwezi kufika ukanali kama hujatumikia jeshi walau 20yrshapo haikwepeki
Ndio jiwe awe anashauriwa sasa kuwa vyeo jeshini havigawiwi kiholela holela sasa huyo dogo miaka hajafika hata thelathini ila ana cheo cha kepteni inamaana ataanza kuvaa vijogoo umri mdogo kabisa
Hiyo kawaida saba jeshinihahahahaah
Atakuwa Senior major halafu wanaoingia umeja wanamkuta halafu wanamuacha kwenye umeja hahahah
Inaumiza sana yaani ye yupo Ukapteni watu wa chini wanapanda halafu wanamuacha hapo kwa nini nisiache kaziHiyo kawaida saba jeshini
Huwezi mkuta Kanali ana 35 yrs
Dogo anaweza tusua vizuri tu ila umeja utamkaa sana
Nina anko alikaa sana kwenye ukapteni akaamua kuacha jeshi
Dingi angu aliishia umejaInaumiza sana yaani ye yupo Ukapteni watu wa chini wanapanda halafu wanamuacha hapo kwa nini nisiache kazi
Tangu la 6 hadi Form 6 miaka mingapi mkuuAcha utani bwana tokea upo shule ya msingi ni meja mpaka unafika A level ni meja?
Pure wisdom. Salute kwako mkuu,tungekuwa na wababa kama wewe wa kutosha naimani tungepiga hatu.. hii nchi sehemu nyingi zimeharibika kwa kushadharau fatherhood system..Silii na ndoma na like post yako ila nimesema tuu nyny ndo wale mkija jeshini tuna waita ma officer wa voda fasta mana ww una vinyota viwili tuu unataka unipelekeshe mm mkongwe eti ww sagent njoo hapa mm nimeingia jeshini na miaka zaidi ya 20 now niko jeshini ww uko shuleni heshimini watu mnaotukuta kwenye chombo sisi ma askari tunajua mengi sana na iki chombo msilete dharau...sisi ndo tunawafundisha kazi nyny ni ite kustaarabu aisee Sagent njoo nakuomba mara moja na sio kunipelekesha eti njoo apa mtoto wa juzi ww unanita mm njoo hapa ila kuna wengine wastaarabu sana nawapenda ukimsalimia jambo afande anaitikia vzr na mnaongea vzr sana ndio atukatai ni mafande wetu lkn muwe mnatuheshimu aisee mana mmetukuta kwenye chomba stupid....
Hapa ndio vijana wengi mnafeli kimaisha kwakusoa nidhamu. Maisha ni zaidi ya hivyo vyeo. Kwenye maisha tunawahitaji sana wazee walio tutangulia haijalishi nyadhifa zao.. wale wana hekima zaidi yetu.. endekezeni viburi muone mtacho vuna.. mnasikitisha sana nyie..Swala la kusema kuwa wewe ulitangulia jeshini so tukuheshimu hio Haina mantiki ndani ya viunga vya jeshi[emoji1787]
Utapiga saluti kwa kunyooka wima na kwa utii pale afisa uliemzidi umri Mara anapokatiza mbela yako
Ukizingua utapelekwa court matial ukajibu mashtaka kwa kuleta dharau kwa afisa
Kama uliingia jeshini miaka 30 iliyopita na ukashindwa kuwa ofisa hio Ni juu yako unataka maana wengi wenu mmeingia jeshini na cheti Cha la Saba C mnataka kwahiyo usiwalaumu hao vijana wanaokula nyota za fasta fasta hawakucheza darasani they deserve
"Kwa hiyo bwana coplo/saameja hembu pita pale wape wale vijana kazi (unatii na unyooka unapiga saluti unakimbia na mvi zako miaka 54)" [emoji1787][emoji123]
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na huyu kijana hana nidhamu mkuu. Aelewi maisha , na haelewi umuhimu wa hekima ya watu walio mtangulia haijalishi wapo katika ngazi ipiUjanielewa ebu tulia afu usome vzr hu mjadara sawa usipanic mm sisemei kwamba siwatii ila wao wanatudharau sisi wapiganaji nawakati cc wapiganaji ndo kiungo jeshini sisi atukatai atuna elimu tumeishia lasaba ndio lkn tuheshimiane mana hii ni nchi yetu sote uwezi nipelekesha mm eti kisa ww ni luten usu niheshimu bac kama bro wako mana umenikuta kazini na hata kozi mm ndo nimekufundisha baadhi ya masomo katika uku kutafuta uwo u ofisa wako sawa ni heshimu mm mana mm ndo napiganisha section nyingi vitani sikatai mm ni mfuasi wako lkn niheshimu hata kama sins elimu nimeishia lasaba na uzee wangu niheshimu kumbuka kuna maiasha baada ya jeshi kutumikia miaka 40,35 jeshi unarudi urahiani unakuwa askari mstaafu na raia vile vile kwaiyo heshima ni kitu chs bure ma officer wa Voda fasta mtuheshimu makamanda wenu mnaotukuta ndani ya chombo...
Wanatudharau wanasema tumeishia lasaba hatuna elimu sawa ndio atuna elimu lkn watuheshimu...Achana na huyu kijana hana nidhamu mkuu. Aelewi maisha , na haelewi umuhimu wa hekima ya watu walio mtangulia haijalishi wapo katika ngazi ipi
Hana hekima huyo. Hata siku moja mtu alie mature huwezi kuta anashindania elimu, na kudhaurau wazee ( senior ) katika field yoyote ile.. kuna hekima hata uwe na dgree mia hutokaa uipate kama huto submit na kuwa humble kwa walio kutanguliaWanatudharau wanasema tumeishia lasaba hatuna elimu sawa ndio atuna elimu lkn watuheshimu...
Tatizo wanajiona elimu kubwa lkn awana ufahamu elimu na ufahamu vitu viwili tofauti unaweza ukawa na Elimu kubwa mm na uzee wangu na elimu yangu ya darasa la saba nikawa na ufahamu mkubwa sana wa mambo ilo wao hawajui cheo sio kitu...cheo dhamana tu.Pure wisdom. Salute kwako mkuu,tungekuwa na wababa kama wewe wa kutosha naimani tungepiga hatu.. hii nchi sehemu nyingi zimeharibika kwa kushadharau fatherhood system..
Elimu pasipo hekima ni mavi matupu.. ndio hawa vijana wana elimu lakini mavi matupu kichwani na kwenye maisha yaoTatizo wanajiona elimu kubwa lkn awana ufahamu elimu na ufahamu vitu viwili tofauti unaweza ukawa na Elimu kubwa mm na uzee wangu na elimu yangu ya darasa la saba nikawa na ufahamu mkubwa sana wa mambo ilo wao hawajui cheo sio kitu...cheo dhamana tu.
Pole yakeWee acha bana, alopitia Kanali mkisi ni makubwa sana.
Jamaa ilifikia muda mwenyewe akaomba kutolewa uDC , jamaa alirogwa, alikua hawez kutoka hata kitandani.
Jiwe alipoona barua ya jamaa, akaamua kumtoa ,nasababu kubwa yeye akakazia et "Mjeda gan unaomba kutolewa kwa nafasi ulochaguliwa namkuu wako??"...utovu wa nidhamu.
Ila jamaaaa angekua keshasepa nakaburi limemeza, alirogwa akiwa DC
Ebhana eeeh ilikuwa noma eeehWee acha bana, alopitia Kanali mkisi ni makubwa sana.
Jamaa ilifikia muda mwenyewe akaomba kutolewa uDC , jamaa alirogwa, alikua hawez kutoka hata kitandani.
Jiwe alipoona barua ya jamaa, akaamua kumtoa ,nasababu kubwa yeye akakazia et "Mjeda gan unaomba kutolewa kwa nafasi ulochaguliwa namkuu wako??"...utovu wa nidhamu.
Ila jamaaaa angekua keshasepa nakaburi limemeza, alirogwa akiwa DC
Wee acha aiseee, mpaka ikafikia mkewe kumshaur jamaa aachane na uDCPole yake
Vyeo vikubwa vina mambo