Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa TanzaniaEbhana eeeeh duuuu
Na ndomana nikauliza kwann alitolewa U DC uko kigoma why...???
Hiyo ipo sana tena sio jeshi la wananchi ila majeshi yoteKwenye ngazi za kijeshi zimepigwa sarakasi hapo maana sio fair junior umrushe juu ya seniors labda mabifu au utashi wa Jiwe Ila hamna namna
Martin Mkisi mtu poa sana.Akiingia kwenye pindi au kama anahutubia
Anaanza kuzungumzia familia yake kwanza.
Familia yangu yote hakuna mwenye Degree, ni masters kwenda juu..
Mimi nina pesa..
Mkuu wa shule kubwa kabisa Tz na east africa,
Mwanajeshi pekee hendsome na aliyesoma...
Hapo hajazungumzia gari,
Hajataja sifa za mwanae,
Hajataja backgroud ya kwao....
Hahaa anyway ni mtu poa, hayo mengine ni mambo binafsi
Mbuge ana elimu kuliko Mkisi?Hiyo ipo sana tena sio jeshi la wananchi ila majeshi yote
Kutokana na sababu mbalimbali junior anaweza kuruka kumpita senior wala sio mara moja ni mara nyingi na anampita sana tu sio tuvyeo tuwili
Sasa kama senior form four halafu junior graduate inakuwaje?
Labda kama wana sifa sawa hapo tutajiuliza
Technology Kasulu Imekuwa Kubwa SanaDamu maskioni au puani???
Mbuge kapande vyeo kisa tuu ujunzi ule kwenda fasta bac ndomana kapanda vyeo fasta...lkn ampiti mkisi kielimu....Mbuge ana elimu kuliko Mkisi?
Mbuge ana akili kuliko Mkisi?
Sikuizi siasa nyingiMimi zamani nilikuwa najua kwamba mwanajeshi hawezi kupanda cheo bila nchi husika haipo kwenye vita. Nilijua vita pekee ndo vinaweza kumpatia cheo mwanajeshi.
MnyakyusaHuyo lazima kwao muleba
Ebhana eeeTechnology Kasulu Imekuwa Kubwa Sana
Yaani Ulale Ndani Ujikute Nje, Chooni, Damu Hazikati
Halafu Wazee Wa Kiha Wanakutazama
Kuna Dereva Wake Alikatika Mguu!!!
Kuwa Mbunge Sifa Za Msingi KujuaMbuge ana elimu kuliko Mkisi?
Mbuge ana akili kuliko Mkisi?
Hatari sana...Voda fasta karushwa kuwaruka wakubwa wake
Mkisi ana elimu, anajua biashara halafu alipasua sana pale UDSM
MnyakyusaMkisi ni Mhehe au Mbena
Sasa kwani DMI ndio wanamshauri Rais?Kuna kitu kwenye Majeshi yoote na zaidi kwenye usalama wa nji, kuna kitengo kinaitwa Military intelligence, hawa jamaa wana uchambuzi na file ya kila ofisa.
Sasa ikifika wakati wa kupanda ama kuhamishwa kwenda idara nyingine...hawa jamaa hutoa taarifa zako zote!, nyingi hazijulikani peupe. kwa hivyo musione mtu kakaa kwenye kiti kimoja miaka nenda miaka rudi, kuna mambo mambo ambayo hutayajui na hatutayajua!!!!!