Kanali Martini Mkisi kweli maisha ni gwaride

Who the fvck is this loser?

Who cares
 
Hio kutaja tu Russia na miaka aliyoingilia Jeshi pamoja na cheo chake tayari umesha disclose identity ya Dogo pamoja na yako sidhani kama umemtendea haki bwana mdogo kuja kumuaminika humu kiasi hicho.
 
CDF ni four stars mkuu hata gari yake ina stars nne iyo ya three stars ni Luteni general ambae ndio Chief of staff CoS
 
Wanatia hasira sana mda mwingine unatamani hata kuwapiga yani sema ndo hivyo sheria zinatubana na jeshini makosa makubwa yakukufanya ufukuzwe jeshi ni wizi na kupigana yani kuna dogo mmoja officer alinitia hasira bado kidogo nimpige ila nikawaza bado nina miaka 10 mbele nistaafu nina watoto 6 wadogo wanasoma japo ndio nina kipisi changu cha scania 124 cha mkopo bank kiko barabarani kinatembea kinaningizia pesa mwezi wa 9 namaliza mkopo wake,nyumba zangu 4 japo mbili ndo zaa maana mashamba 3 lkn bado jeshi sijalifaidi bado kuna kitu nakitaka kutoka jeshini sijakipata kufukuzwa kazi saizi ni jau ikanibidi nivumilia tuu ila maafisa wa voda fasta miyeyusho sana...kuna mwingine nae aliniomba aisee kamanda naomba uniwekee mzigo wangu unafika wilaya furani nikamwambia sipakii mzigo bure kwenye kipisi changu changia ela ya mafuta Afande yupo oooh hata mm afande wako nikamwambia iyo haipo...hi ni biashara atupo kazini hapa...
kuna Majamaa unaa ndio wanaona umahiri

utasikia Maafisa wote baba mmoja

mbona kuna maafande walikuwa poa sana wanafuata haki hawana kubagua wenyewe kazi mbele wanapendwa na kila mtu jeshini sababu wao haki bin haki
 
Mdogo ake ni wake madogo wa mujibu wa sheria wamekaa sana uzalendo pale TAU 95Kj yani watu wana connect dot uyu jamaa hajui....ana funguka tu kizembe zembe...
Hio kutaja tu Russia na miaka aliyoingilia Jeshi pamoja na cheo chake tayari umesha disclose identity ya Dogo pamoja na yako sidhani kama umemtendea haki bwana mdogo kuja kumuaminika humu kiasi hicho.
 
Swala la kusema kuwa wewe ulitangulia jeshini so tukuheshimu hio Haina mantiki ndani ya viunga vya jeshi[emoji1787]

Utapiga saluti kwa kunyooka wima na kwa utii pale afisa uliemzidi umri Mara anapokatiza mbela yako

Ukizingua utapelekwa court matial ukajibu mashtaka kwa kuleta dharau kwa afisa

Kama uliingia jeshini miaka 30 iliyopita na ukashindwa kuwa ofisa hio Ni juu yako unataka maana wengi wenu mmeingia jeshini na cheti Cha la Saba C mnataka kwahiyo usiwalaumu hao vijana wanaokula nyota za fasta fasta hawakucheza darasani they deserve

"Kwa hiyo bwana coplo/saameja hembu pita pale wape wale vijana kazi (unatii na unyooka unapiga saluti unakimbia na mvi zako miaka 54)" [emoji1787][emoji123]





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio hawa JF nangaz Wana mind wazee kuachwa vijana kupaa [emoji1787][emoji1787]

Unakuna senior ofisa ana makando kando kibao anatumia rank yake vibaya sio kwamba hajulikani au haonekani kuwa wengine Ni heri wabaki hapo hapo maana ukimzidishia cheo ataleta usumbufu na kusumbua watu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujanielewa ebu tulia afu usome vzr hu mjadara sawa usipanic mm sisemei kwamba siwatii ila wao wanatudharau sisi wapiganaji nawakati cc wapiganaji ndo kiungo jeshini sisi atukatai atuna elimu tumeishia lasaba ndio lkn tuheshimiane mana hii ni nchi yetu sote uwezi nipelekesha mm eti kisa ww ni luten usu niheshimu bac kama bro wako mana umenikuta kazini na hata kozi mm ndo nimekufundisha baadhi ya masomo katika uku kutafuta uwo u ofisa wako sawa ni heshimu mm mana mm ndo napiganisha section nyingi vitani sikatai mm ni mfuasi wako lkn niheshimu hata kama sins elimu nimeishia lasaba na uzee wangu niheshimu kumbuka kuna maiasha baada ya jeshi kutumikia miaka 40,35 jeshi unarudi urahiani unakuwa askari mstaafu na raia vile vile kwaiyo heshima ni kitu chs bure ma officer wa Voda fasta mtuheshimu makamanda wenu mnaotukuta ndani ya chombo...
 
Ewaaa huyu jamaa ndo zilikuwa zake hizo!

Kipindi hicho ni Captain alikuwa akijitapa kufundisha Mabrigedia Jenerali...

Huyu mwamba huyu hatari..Siku moja tuko Assemble alimfokea teacher mmoja kama mtoto mbele ya kadamnasi ya maticha na wanafunzi kibao..
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]dah
ujeuri wake

alipokea kadi ya kijani na kuiweka mfuko wa nyuma na kukaa

wakati mwenzie aliweka mfuko wa shati na salute
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…