Kanali Martini Mkisi kweli maisha ni gwaride

Kanali Martini Mkisi kweli maisha ni gwaride

Askari wa miguu Mtu mwenye V Mbili (a.k.a mbavu Mbili ) anaitwa Koplo na hapa kwetu anavaa beret ya kijani sasa ukienda Askari wa mizinga mtu mwenye V Mbili(a.k.a mbavu Mbili) anaitwa Bombardier na anavaa beret nyeusi so ni vitu viwili tofauti ndio maana hata kofia wanavaa kofia tofauti hazinafanani

The same inakuwa kwa hiyo kesi sababu hao wa 92 kj sio infantry kama ambavyo wenye nyota wengi ni watu wa Infantry

Sasa wewe mtu wa Infantry hata kama una nyota huwezi kumuamrisha Askari wa mizinga so kuna chain tofauti ya utoaji amri hapo

Inakuwa kama mwanajeshi wa jeshi la TZ umuamrishe mwanajeshi wa jeshi la Kenya

cc@T14 Armata
 
Askari wa miguu Mtu mwenye V Mbili (a.k.a mbavu Mbili ) anaitwa Koplo na hapa kwetu anavaa beret ya kijani sasa ukienda Askari wa mizinga mtu mwenye V Mbili(a.k.a mbavu Mbili) anaitwa Bombardier na anavaa beret nyeusi so ni vitu viwili tofauti ndio maana hata kofia wanavaa kofia tofauti hazinafanani

The same inakuwa kwa hiyo kesi sababu hao wa 92 kj sio infantry kama ambavyo wenye nyota wengi ni watu wa Infantry

Sasa wewe mtu wa Infantry hata kama una nyota huwezi kumuamrisha Askari wa mizinga so kuna chain tofauti ya utoaji amri hapo

Inakuwa kama mwanajeshi wa jeshi la TZ umuamrishe mwanajeshi wa jeshi la Kenya

cc@T14 Armata
Mmmh mmh mmh. Usidanganye!!
 
Ndugu, usidanganye!!
Kuna senior NCO hapo juu alikuwa anamuambia jamaa mmoja kuwa na pamoja na nyota zake sio kila kambi anaweza kwenda akaweza kutoa order mfano hiyo hapo ya 92kj ndio jamaa kwa ID ya T14 armata akauliza inawezaje kuwa hivyo
 
Weka attachment ya document inayokupa mamlaka ya kutoa maelekezo kwa mods

Alisikika kijana wa kihaya aliyehitimu certificate ya sheria [emoji23][emoji23]
JamiiForums-984794836.jpg

Alisikika kichaa akiwa jalalani
 
Askari wa miguu Mtu mwenye V Mbili (a.k.a mbavu Mbili ) anaitwa Koplo na hapa kwetu anavaa beret ya kijani sasa ukienda Askari wa mizinga mtu mwenye V Mbili(a.k.a mbavu Mbili) anaitwa Bombardier na anavaa beret nyeusi so ni vitu viwili tofauti ndio maana hata kofia wanavaa kofia tofauti hazinafanani

The same inakuwa kwa hiyo kesi sababu hao wa 92 kj sio infantry kama ambavyo wenye nyota wengi ni watu wa Infantry

Sasa wewe mtu wa Infantry hata kama una nyota huwezi kumuamrisha Askari wa mizinga so kuna chain tofauti ya utoaji amri hapo

Inakuwa kama mwanajeshi wa jeshi la TZ umuamrishe mwanajeshi wa jeshi la Kenya

cc@T14 Armata
Unalisha watu matango pori [emoji23][emoji23]
 
Akiingia kwenye pindi au kama anahutubia
Anaanza kuzungumzia familia yake kwanza.

Familia yangu yote hakuna mwenye Degree, ni masters kwenda juu,
Mimi na mke wangu tuu kitanda chetu kinalaliwa na degree 4.
Mimi nina pesa..
Mkuu wa shule kubwa kabisa Tz na east africa,
Mwanajeshi pekee handsome na aliyesoma...
Ukiona gari yangu inapita manzese ujue imeibiwa, toa taarifa,
Nalipwa mshahara na Jeshi, Shule na vyuo.

Hapo hajazungumzia gari,
Hajataja sifa za mwanae,
Hajataja backgroud ya kwao....

Hahaa anyway ni mtu poa na smart sana, hayo mengine ni mambo binafsi
Huyo jamaa ni muhaya ama?
Hiyo misifa yake pengine ndio inamuharibia Wakubwa zake wakisikia hawatakuwa na hamu ya kumpandisha kwa kuhofia nyodo zake
 
Kule Inasemekana Alikuwa Mtata Sana, Waha Wakamuonya Akawa Hivyo Hivyo, Mwisho Mambo Yakawa Hayaendi.
Humu Jamiiforums.comIpo Thread Yake Iliyomjadili Mpaka Kuomba Kuondolewa Kasulu
Maana Alikuwa Anapitia Mambo Mengi Sana Magumu
Kulazwa Nje, Kutoka Damu
Kudaadeki binadamu ni noma sana.
Jamaa wamemuondoa na mavyeo yake yote amesaliti amri.
 
Back
Top Bottom