Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,938
Itakua upumuaji..Chanzo cha kifo ni nini ?
Nawapa pole wafiwa
Na badoHapo Dodoma kunani tena?
Asubuhi alikuwa Mpangala now Mjengwa?!!!
Rip
Ripota fanya kazi yako utulete infoHapo Dodoma kunani tena?
Asubuhi alikuwa Mpangala now Mjengwa?!!!
Rip
Hah hah nimecheka kweli. Eti aliyetuweka level 4 kaona mbali. Eti shikamoo CDC. CDC ni baba lao! Hah hah hah!Na bado
Job iz next,mungu ni fundiHapo Dodoma kunani tena?
Asubuhi alikuwa Mpangala now Mjengwa?!!!
Rip
Ameugua kwa muda mrefu. Hujasoma?Chanzo cha kifo ni nini ?
Nawapa pole wafiwa
Dah wagalatia huu ugonjwa unatuondoa sana aisee.Mbunge wa Mbarali mstaafu,mkuu wa wilaya mstaafu Col Edmund Mjengwa ambaye ni baba mlezi wa Catherine Magige(Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Arusha) kafariki dunia Hospitali ya Benjamin Mkapa, Dodoma.
Kwa mujibu wa maggid, amesema kuwa Kanali Edmund Mjengwa ameugua kwa muda mrefu kabla ya mauti kumkuta.
Njaa inamsumbua huyo.Ameugua kwa muda mrefu. Hujasoma?
Pole Sana kwa Mwenyekiti wangu maggidChanzo cha kifo ni nini ?
Nawapa pole wafiwa